Anna Tibaijuka: Dubai ni Mshindani Wetu kwenye kuendeleza Transhipment potential, tukimkabidhi Bandari zote ni sawa na Kujinyonga!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
90,312
156,762
Prof Anna Tibaijuka anasema Dubai ni Mshindani Wetu kwenye kuendeleza Transhipment potential so tukimkabidhi Bandari zote ni sawa na Kujinyonga

Tibaijuka anasema kupitia Ukurasa wake wa twitter kwamba bado ana Imani Mkataba Huo wa DP World utarekebishwa kwa kutumia Wataalamu Wetu wa Uchumi

Mlale unono!

Habari zaidi, soma:
  1. Sakata la DP WORLD: Rais Samia asema Serikali itatafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar, sasa kuchangia robo tatu ya bajeti ya nchi

Tibaijuka bandari.jpg
 
Mkataba wa Dp umevujishwa ndio maneno tuyasikiayo. Kama ni hivyo niini dhumuni la kuuvujisha? Kama ni kati ya haya mawili

1. Jamii ielewe na isituke na kujua kilichokuwa kinaendelea na pengine ichukue hatua kama hizi tunazoziona za kupiga kelele.

2. Kwa kusudi la kustukia kuendelea kufanya uwe siri ni kujiadangaya maana utekelezaji wake utaonekana hadharani.

Kwa sababu no. 1 yeyote aliefanya hivi ni Nzalendo "Watergate" Huyu au hawa Wazalendo walikuwa na suluhisho moja tu la kuvujisha basi?
 
Katia neno tu na hapa kuna ujumbe unasambaa sina maana mbaya ila ni kweli .

Nimeona meseji kule whatsap kwamba mpaka imeandikwa "forwarded many times" kuna ujumbe una hoja za kitoto na udini yaani wanasambaa kwamba nchi nzima watu fulani wakatae huo mkataba ila ukiangalia hoja unaweza kucheka.
 
Prof Anna Tibaijuka anasema Dubai ni Mshindani Wetu kwenye kuendeleza Transhipment potential so tukimkabidhi Bandari zote ni sawa na Kujinyonga

Tibaijuka anasema kupitia Ukurasa wake wa twitter kwamba bado ana Imani Mkataba Huo wa DP World utarekebishwa kwa kutumia Wataalamu Wetu wa Uchumi

Mlale unono!
Swali fikirishi je mfumo wetu wa uchumi wanasiasa wanaruhusiwa kuuchezea?, je tunao mfumo wa uchumi unaoeleweka ambao serikali hata mpya itautumia? ama ndiyo huo wa kwenye kijaruba, (brief case bag) ya waziri wa fedha? . Are politicians allowed to temper with National economy?, do we in Tanzania have a format of National economic system ?, if yes, the question is this are politicians in Tanzania allowed to temper with the National economy
 
Prof Anna Tibaijuka anasema Dubai ni Mshindani Wetu kwenye kuendeleza Transhipment potential so tukimkabidhi Bandari zote ni sawa na Kujinyonga

Tibaijuka anasema kupitia Ukurasa wake wa twitter kwamba bado ana Imani Mkataba Huo wa DP World utarekebishwa kwa kutumia Wataalamu Wetu wa Uchumi

Mlale unono!
Mama wa hela ya mboga umerud?
 
Prof Anna Tibaijuka anasema Dubai ni Mshindani Wetu kwenye kuendeleza Transhipment potential so tukimkabidhi Bandari zote ni sawa na Kujinyonga

Tibaijuka anasema kupitia Ukurasa wake wa twitter kwamba bado ana Imani Mkataba Huo wa DP World utarekebishwa kwa kutumia Wataalamu Wetu wa Uchumi

Mlale unono!
DPW hatakabidhiwa Bandari zote, wala Bandari yoyote, watakabidhiwa tuu zile Beth za makontena zilizokuwa chini ya Ticks kwenye Bandari moja tuu ya Dar es Salaam, hivyo tutakuwa free kuendeleza Bandari yetu ya Bagamoyo na Mchina.
P
 
Ni kweli mkataba una mapungufu ila nahisi mama ana hisa kwa braza Karamagi. Ni kama anapiga pasi hivi TICS ipewe bandari nyingine za Tanzania ikaoperate.
 
Back
Top Bottom