Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,044
- 71,288
Huhitajiki kua Rais ili uwe Kiongozi Bora Bali kuielewa tafasiri halisi ya Uongozi inatosha kabisa kuwekwa Moyoni mwa Wananchi.
Mpango, Majaliwa, Mko wapi?? Mbona Uthubutu alonao Makonda, ni mkubwa kuliko hata Nafasi yake?.
Ni sahihi kusema Makonda amezaliwa kua Kiongozi?.
Katibu Mwenezi tu, lakini kazi anayopiga, Uthubutu alonao , kwanini asipendwe ?.
Inawezekana akawa wa Maneno tu, pengine utekelezaji ukawa Mdogo kwakua watekelezaji ndio wanaomkwamisha ..Lakini kitendo Cha Uthubutu wake ,bila kujali nafasi yake, kunatosha kabisa kumpa Sifa ya Ubora wa Uongozi.
Ziara za Makonda, zinaendelea kuonyesha ,nini Wananchi wanataka, watu wanajisikia Amani, wanaona wanajaliwa, wanakua na tumaini .
Laiti kama Kuanzia Wenyeviti wa mitaa , mpaka mawaziri , Watumishi wote wa umma, wangezijua nafasi zao , Ni wazi , Ziara za Makonda zingekutana na malalamiko kidogo.
Mungu akulinde sana Mh Paul Makonda . !!.
Mpango, Majaliwa, Mko wapi?? Mbona Uthubutu alonao Makonda, ni mkubwa kuliko hata Nafasi yake?.
Ni sahihi kusema Makonda amezaliwa kua Kiongozi?.
Katibu Mwenezi tu, lakini kazi anayopiga, Uthubutu alonao , kwanini asipendwe ?.
Inawezekana akawa wa Maneno tu, pengine utekelezaji ukawa Mdogo kwakua watekelezaji ndio wanaomkwamisha ..Lakini kitendo Cha Uthubutu wake ,bila kujali nafasi yake, kunatosha kabisa kumpa Sifa ya Ubora wa Uongozi.
Ziara za Makonda, zinaendelea kuonyesha ,nini Wananchi wanataka, watu wanajisikia Amani, wanaona wanajaliwa, wanakua na tumaini .
Laiti kama Kuanzia Wenyeviti wa mitaa , mpaka mawaziri , Watumishi wote wa umma, wangezijua nafasi zao , Ni wazi , Ziara za Makonda zingekutana na malalamiko kidogo.
Mungu akulinde sana Mh Paul Makonda . !!.