johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 91,116
- 158,378
Nilifuatilia ziara ya Mwenezi wa CCM Paul Makonda hadi pale ilipokatishwa kufuatia msiba wa Lowassa
Aidha niliyafuatilia Maandamano ya Chadema DSM, Mwanza, Mbeya na Arusha
Matukio yote yamekuwa na matokeo Chanya hivyo CCM na Chadema wanapaswa kupongezwa kwa kuishinikiza Serikali
Kwa mfano kufuatia ziara ya Makonda matatizo mbalimbali ya Wananchi kwa level ya Halmashauri yalitatuliwa na Chadema wamesaidia Mgao wa Umeme kuondolewa Mapema
Lakini kilichonifurahisha ni Rais Samia kuanza kusikiliza matatizo ya Wananchi pale Ofisi ndogo Lumumba na hili limenifurahisha mno
Kwamba yapo matatizo ambayo Mawaziri walipaswa kuyatatua na ni mengi sana huko mikoani na DSM lakini Wameshindwa
Sasa Watu Wenye matatizo yaliyoshindikana kwenye level ya Waziri sasa Watakutanishwa moja kwa moja na Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri
Huu ndio Uongozi
Mungu wa mbinguni mbariki Paul Makonda
Aidha niliyafuatilia Maandamano ya Chadema DSM, Mwanza, Mbeya na Arusha
Matukio yote yamekuwa na matokeo Chanya hivyo CCM na Chadema wanapaswa kupongezwa kwa kuishinikiza Serikali
Kwa mfano kufuatia ziara ya Makonda matatizo mbalimbali ya Wananchi kwa level ya Halmashauri yalitatuliwa na Chadema wamesaidia Mgao wa Umeme kuondolewa Mapema
Lakini kilichonifurahisha ni Rais Samia kuanza kusikiliza matatizo ya Wananchi pale Ofisi ndogo Lumumba na hili limenifurahisha mno
Kwamba yapo matatizo ambayo Mawaziri walipaswa kuyatatua na ni mengi sana huko mikoani na DSM lakini Wameshindwa
Sasa Watu Wenye matatizo yaliyoshindikana kwenye level ya Waziri sasa Watakutanishwa moja kwa moja na Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri
Huu ndio Uongozi
Mungu wa mbinguni mbariki Paul Makonda