Baba Masagu
Senior Member
- Aug 30, 2020
- 128
- 41
Mzunguko utafute ulete wewe, sasa serikali inafanya biashara,
Au umesikia kuna watu wanadai mishahara hawajalipwa?
Nawashangaa sana. Wao wanalimia wapi? Serikali ndio imewafilisi? Mbona hatujasikia hayo malalamiko ya watu wa kyela?
Uzushi ndio kazi yao.
CCM itaendelea kushika dola.