YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,907
Bakheresa wateja wake wakubwa ni wakulima wa kyela wanaoingia naye mikataba ya contract farming huchukua mazao yao yote Hao watakuwa wakulima wa Chadema wabishiKyela mavuno ya mpunga mwaka huu ni makubwa mno lakini hakuna wateja kabisa baada ya wateja wakubwa kufilisika