Kifo hakina dhamana hujui nani atatangulia, ikiwa Dr. Ulimboko anataka kutoa dukuduku lake afanye tu kwa nini amsubire mpaka mkwere afe?Hivyo ni masuala ya kutoa dukuduku hivyo ni mambo binafsi, ni kama leo JK afe halafu Dr Ulimboka atoa dukuduku lake.
Na Mwere sidhani kama ata-mind ikiwa yatakyosemwa ni kweli.
Suala la kukosoa au kumsema vibaya Mheshimwa Magufuli ni suala binafsi kwa wale waliyoathirika katika utawala wake ninajua kuna wengi tu wanamsifia na kumzungumzia vizuri raisi wetu aliyepita na huu ndiyo msimamo wa kitaifa, hivyo basi wacheni wale wanaotoa dukuduku zao wafanye hivyo. Tumeona hata baadhi ya watu wanamsema MUNGU vibaya itakuwa binaadamu wenzetu.
Jaribu kujiweka huru kama jina lako ulilolichagua. Kwenye siasa usimuamini yoyote kwa lolote.