Thubutu! Upate taifa la viwanda chini ya utawala wa CCM? Kila uchao ni kukurupuka tu. Hakuna kinachoeleweka.
Tusijidanganye wadau TZ hakuna chama chenye uwezo wa kuendesha nchi vizuri kuliko ccm, muhimu ni kushauri tu lakini sioni chama chenye uthubutu zaidi ya ccm.