heshima ulokua unaipata kimataifa inagawiwa na mabeberu hasa pale wanapopata uwezekano wa kujitwalia kila watakacho katika nchi yako, kinyume na hapo ukishazindukana tayari ushakua adui yao hawawez kukupa heshima hiyo, sikulaumu sana maada media za mabeberu zimeharibu bongo zetu na kutuaminisha kila wasemacho ndo sahih zaidi kwetu.CCM Imeharibu maisha, uhuru, umoja na haki ya mtanzania
Tumeparaganyika
Hatuheshimiwi tena kimataifa, ikumbukwe tulikuwa na heshima ulimwenguni kote.
Niabu na fedheha.