mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
Na wa maeneo haya pia wanalia?Mkuuu acha kuficha nyumba ya keyboard, rudi field fanya research upya. Kuanzia Mtwara hadi Kagera wananchi wanalia, wameumizwa pakubwa kuliko mazuri waliyofanyiwa.
Na wa maeneo haya pia wanalia?Mkuuu acha kuficha nyumba ya keyboard, rudi field fanya research upya. Kuanzia Mtwara hadi Kagera wananchi wanalia, wameumizwa pakubwa kuliko mazuri waliyofanyiwa.
Je umeisha jiuliza yafuatayo?Hongera kwa kukariri hayo.
Kwa kuwa unashabikia chama kisichokuwa na Sera ila kupinga maendeleo, huwezi kujua yanayotekelezwa na Serikali ya CCM.
Kwa ufupi tu, waulize akina mama wajawazito, wafanyabiashara ndogondogo, wachimba madini wadogo, wakulima wanaohitaji kusafirisha mavuno yako kwenda kwenye masoko, wazazi wenye uwezo mdogo kusomesha watoto wao, nk, utapata majibu.
Waulize wanasiasa wanaotaka madaraka kwa lugha ya hadaa, utapata majibu hayo uliyoyaandika kama ndiyo kero za WaTz
Swali ni je, anajua jinsi ya kututoa?! Anajua anakotupeleka?
Kiualisia naona unajitoa ufaham sioni mantiki ya ww kutojua unapoelekea kama uko ndani ya nchi....labda useme unapenda kuona nchi ikirudi nyuma kimaendeleo ntakuelewaAlikuwa speed ila hajui anakoelekea..
Uelekeo ni muhimu kuliko mbio,, so tz tuko mbio ila hatujui tunakoelekea
You've started asking the right questions!We are all humans tusitumie nguvu kubwa kutawala.
kuna nini ndani ya nyumba ile?
Kuheshimiwa kimataifa huku tukiwa tunaibiwa gesi nk kulikuwa kunatusaidia Nini? Hatuotaki heshima ya hivyoHatuheshimiwi tena kimataifa, ikumbukwe tulikuwa na heshima ulimwenguni kote.
SERA ZA MAJUKWAANI AMBAZO HAZINA SHERIA AMA KANUNI 'policy uncertainty'BAADA YA MIAKA 50 YA CHAMA KIMOJA TUMEFIKIA HAPA NA IKUMBUKWE 1960 TULIKUWA NA UCHUMI SAWA NA KOREA YA KUSINI SASA ANGALIA HIKI CHAMA
HAKUNA UHURU WA MAONI
HAKUNA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI
HAKUNA MIJADALA YA HOJA KWENYE MEDIA
MIHIMILI YA TAIFA HUTAWALIWA NA MTU MMOJA
RAIS AMEKUWA MFALME
DENI LA TAIFA LINAONGEZEKA KWA KASI
MAZINGIRA MAGUMU YA KAZI
UKANDAMIZAJI WA DEMOCRASIA
ELIMU MBOVU
AJIRA HAKUNA
FEDHA INASHUKA THAMANI
DENI LA TAIFA LINAONGEZEKA KWA KASI
AJIRA HAKUNA
UKANDAMIZAJI WA HAKI ZA BINADAMU
KESI LUKUKI ZA KUMBAMBIKIWA
SHERIA KANDAMIZI
DOLA IMEKUWA SEHEMU YA CHAMA
UMASIKINI UMEONGEZEKA
VIWANDA LUKUKI VIMEKUFA
BUNGE SIO LIVE TENA HATUONI WAWAKILISHI WETU WAKITUSEMEA MATATIZO YETU
MEDIA KUWA SEHEMU YA WATAWALA
MAISHA MAGUMU
UONGOZI KUWA NDO AJIRA
HOJA KUJIBIWA KWA RUNGU
WAPINZANI KUKANDAMIZWA
KUFUNGIWA MIKUTANO YA KISIASA
DINI KUTUMIKA KISIASA
USHAMIRI WA PROPAGANDA
UBAGUZI WA KISIASA NA KIITIKADI
RUSHWA IMEWALEMEA PCCB
MISHARA KUTOONGEZEKA NA MADARAJA KUTOPANDISHWA
BUNGE HALINA HESHIMA NA HALISIKILIZWI
KULAZIMISHA UPENDO KWENYE VYAMA
VITU KUPANDA BEI
HAKUNA MPANGO WA KUONGEZA WIGO WA BIASHARA KWA TAIFA
KODI KUTUMIKA KWA MATAKWA BINAFSI
HAKUNA MIIKO YA UONGOZI
MIUNDOMINU MIBOVU SUBIRI MVUA ZINYEESHE
MAFAO YA WAZEE TABU TUPU
KUNA KIKUNDI KINAITWA WASIOJULIKANA
KUTOPEWA DHAMANA KWA KOSA
UCHUMI KUDORORA
MZUNGUKO MDOGO WA SARAFU
KATIBA SI KITU TENA JAPO INAMAPUNGUFU LUKUKI
WAKULIMA WANALIA
UTEKAJI NYARA
UVAMIZI WA VIONGOZI NS HAKUNA HATUA MADHUBUTI
KUAMULIWA VIONGOZI
UKWELI NI DHAMBI KUU
KUKOSOA SERIKALI NI KOSA LA JINAI
MAITI KUCHUKUA HOSPITALI HELA KIBAO
MZAZI KUJIFUNGUA KWA OPERATION HELA KIBAO
USHIRIKA MBOVU NA MATAIFA YA NJE
UHUSIANO NA MAJIRANI UNAZOROTA
KODI KUBWA
TAASISI ZA SERIKALI MKANGANYIKO MF NIDA
KUPATA PASSPORT AU LESENI SHUGHULI
DAWA CHACHE
UKIMALIZA CHUO NI KUJIAJIRI HATA BODABODA
HAKI IMEKUWA KAMA PUNJE YA MCHANGA NDANI YA GUNIA LA CHUMVI
TUNAELEKEA KUWA KOREA KASKAZINI,TANGANYIKA YA NYERERE TUNAITAKA TUMECHOKA KWA KWELI.
NI MTAZAMO TU.......MBONA KUNA WATU WALIKUWA DUNI TOKA ENZI ZA MWALIMU? KULIKUWA HAKUNA HELA? KULIKUWA HAKUNA VYOMBO VYA HABARI? NI WAPI PANASOMEKA KWAMBA ILI UISHI MAISHA MZURI LAZIMA UAJIRIWE? WATANZANIA WAKO MILIONI NGAPI WALIOSOMA MPAKA GVT. IMUAJIRI KILA MTU? .....ACHA KUISHI KWA HEKAYA ZA WALIOFANIKIWA, USIAMINI KILA KITU AMBACHO WATU WOTE WANAAMINIBAADA YA MIAKA 50 YA CHAMA KIMOJA TUMEFIKIA HAPA NA IKUMBUKWE 1960 TULIKUWA NA UCHUMI SAWA NA KOREA YA KUSINI SASA ANGALIA HIKI CHAMA
HAKUNA UHURU WA MAONI
HAKUNA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI
HAKUNA MIJADALA YA HOJA KWENYE MEDIA
MIHIMILI YA TAIFA HUTAWALIWA NA MTU MMOJA
RAIS AMEKUWA MFALME
DENI LA TAIFA LINAONGEZEKA KWA KASI
MAZINGIRA MAGUMU YA KAZI
UKANDAMIZAJI WA DEMOCRASIA
ELIMU MBOVU
AJIRA HAKUNA
FEDHA INASHUKA THAMANI
DENI LA TAIFA LINAONGEZEKA KWA KASI
AJIRA HAKUNA
UKANDAMIZAJI WA HAKI ZA BINADAMU
KESI LUKUKI ZA KUMBAMBIKIWA
SHERIA KANDAMIZI
DOLA IMEKUWA SEHEMU YA CHAMA
UMASIKINI UMEONGEZEKA
VIWANDA LUKUKI VIMEKUFA
BUNGE SIO LIVE TENA HATUONI WAWAKILISHI WETU WAKITUSEMEA MATATIZO YETU
MEDIA KUWA SEHEMU YA WATAWALA
MAISHA MAGUMU
UONGOZI KUWA NDO AJIRA
HOJA KUJIBIWA KWA RUNGU
WAPINZANI KUKANDAMIZWA
KUFUNGIWA MIKUTANO YA KISIASA
DINI KUTUMIKA KISIASA
USHAMIRI WA PROPAGANDA
UBAGUZI WA KISIASA NA KIITIKADI
RUSHWA IMEWALEMEA PCCB
MISHARA KUTOONGEZEKA NA MADARAJA KUTOPANDISHWA
BUNGE HALINA HESHIMA NA HALISIKILIZWI
KULAZIMISHA UPENDO KWENYE VYAMA
VITU KUPANDA BEI
HAKUNA MPANGO WA KUONGEZA WIGO WA BIASHARA KWA TAIFA
KODI KUTUMIKA KWA MATAKWA BINAFSI
HAKUNA MIIKO YA UONGOZI
MIUNDOMINU MIBOVU SUBIRI MVUA ZINYEESHE
MAFAO YA WAZEE TABU TUPU
KUNA KIKUNDI KINAITWA WASIOJULIKANA
KUTOPEWA DHAMANA KWA KOSA
UCHUMI KUDORORA
MZUNGUKO MDOGO WA SARAFU
KATIBA SI KITU TENA JAPO INAMAPUNGUFU LUKUKI
WAKULIMA WANALIA
UTEKAJI NYARA
UVAMIZI WA VIONGOZI NS HAKUNA HATUA MADHUBUTI
KUAMULIWA VIONGOZI
UKWELI NI DHAMBI KUU
KUKOSOA SERIKALI NI KOSA LA JINAI
MAITI KUCHUKUA HOSPITALI HELA KIBAO
MZAZI KUJIFUNGUA KWA OPERATION HELA KIBAO
USHIRIKA MBOVU NA MATAIFA YA NJE
UHUSIANO NA MAJIRANI UNAZOROTA
KODI KUBWA
TAASISI ZA SERIKALI MKANGANYIKO MF NIDA
KUPATA PASSPORT AU LESENI SHUGHULI
DAWA CHACHE
UKIMALIZA CHUO NI KUJIAJIRI HATA BODABODA
HAKI IMEKUWA KAMA PUNJE YA MCHANGA NDANI YA GUNIA LA CHUMVI
TUNAELEKEA KUWA KOREA KASKAZINI,TANGANYIKA YA NYERERE TUNAITAKA TUMECHOKA KWA KWELI.
CCM ni donda dungu kwa watanzania....!! tusipolitibu watakata mguu -- saa ya ukombozi ni sasa.
[
Kuheshimiwa kimataifa huku tukiwa tunaibiwa gesi nk kulikuwa kunatusaidia Nini? Hatuotaki heshima ya hivyo