Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Kwa nini miaka mitano ya Magufuli inatosha?
*Utawala wake hauheshimu katiba na sheria
*Maamuzi mengi ni ya mtu mmoja. Baraza la mawaziri lipo tu.
*Bunge limekosa ueledi wa kusimamia serikali. Amekua akilisimamia atakavo
*Matumizi nje ya Bajeti za Bunge
*Usiri katika matumizi ya miradi yake.
*Kuwatia hasara wafanyakazi kwa kusimama kwa miradi ya Mifuko ya hifadhi. Mabilioni yame kwama.
*Mifuko ya hifadhi kutumika kufanya investments kinyume na SSRA investments guidelines.
*Kusababisha biashara kupungua kutokana na yeye kutopenda wafanya biashara.
*Ukosefu wa ajira both serikalini na secta binafsi
*Wanafunzi wengi kukosa nafasi za kuingia shule na kuendelea secondary kutokana na ukosefu wa shule na madarasa mapya.
*Elimu kushuka kiwango cha kutisha
*Miradi mikubwa kujengwa chini ya kiwango na nje ya master plans za miji na taifa.
*SGR kuwa implemented hovyo bila kufikiria uchumi wa bandari
*Manunuzi ya ndege bila kuwa na working plan yoyote na kufanya ndege hizo ku park tu muda mrefu.
*Kuufuta mradi wa kimkakati wa bagamoyo kwa sababu za kubuni. Mradi ambao ungekuza sana uchumi wa bandari na viwanda. Hata SGR ingeanza bagamoyo. Mapungufu ya mkataba sio sababu kwani investors huzungumza
*Kuzorota kwa haki za binadamu. Watu kupotea na wengine kuuawa bila kufanyiwa uchunguzi kama walio potea ni kuku.
*kupigwa risasi mbunge Lissu na kutojali.
*Uhuru wa vyombo vya habari kumalizwa kabisa na kila mmoja kuogopa kuandika ukweli.
* Waandishi kupotea kama Azory na kuonekana kama kapotea kuku
*Wakulima wa Korosho , ufuta , mbaazi na tumbaku kutiwa hasara kibabe
* Miji yote kuchafuliwa kwa sera mbovu ya kuwaachia machinga wafanye wanavo taka.
*Sera ya viwanda ilo goma
*Sheria za kubana social media na kuweka masharti magumu kwa wahabarishaji.
*Kufungia magazeti yasio tii amri za kusifu mfamo Tanzania Daima.
*Kupungua kwa FDI kutokana na sera zisizo eleweka
*Diplomacy na mahusiano na marafiki na dunia kupungua au kutoweka kabisa.
* Kuzorota kwa urafiki na mahusiano na jumuia za EA na Sadc
*Kujaribu kuua kwa makusudi mfumo wa vyama vingi.
*Kutoa vipaumbele kwa maeneo yenye ccm wengi
*Kujenga chato kwa upendeleo tu.
Masheikh wa Zanzibar bado kubaki wakiteseka bila kesi wala ushahidi
*Kesi za uhujumu za kukomoana
* Washukiwa ufisadi kutoa ngawira kuachiwa
*Ufisadi zimamoto na uhamiaji kumalizwa kishkaji
Na sababu lukuki ambazo ni valid kuwa ni bora akapumzika


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini miaka mitano ya Magufuli inatosha?
*Utawala wake hauheshimu katiba na sheria
*Maamuzi mengi ni ya mtu mmoja. Baraza la mawaziri lipo tu.
*Bunge limekosa ueledi wa kusimamia serikali. Amekua akilisimamia atakavo
*Matumizi nje ya Bajeti za Bunge
*Usiri katika matumizi ya miradi yake.
*Kuwatia hasara wafanyakazi kwa kusimama kwa miradi ya Mifuko ya hifadhi. Mabilioni yame kwama.
*Mifuko ya hifadhi kutumika kufanya investments kinyume na SSRA investments guidelines.
*Kusababisha biashara kupungua kutokana na yeye kutopenda wafanya biashara.
*Ukosefu wa ajira both serikalini na secta binafsi
*Wanafunzi wengi kukosa nafasi za kuingia shule na kuendelea secondary kutokana na ukosefu wa shule na madarasa mapya.
*Elimu kushuka kiwango cha kutisha
*Miradi mikubwa kujengwa chini ya kiwango na nje ya master plans za miji na taifa.
*SGR kuwa implemented hovyo bila kufikiria uchumi wa bandari
*Manunuzi ya ndege bila kuwa na working plan yoyote na kufanya ndege hizo ku park tu muda mrefu.
*Kuufuta mradi wa kimkakati wa bagamoyo kwa sababu za kubuni. Mradi ambao ungekuza sana uchumi wa bandari na viwanda. Hata SGR ingeanza bagamoyo. Mapungufu ya mkataba sio sababu kwani investors huzungumza
*Kuzorota kwa haki za binadamu. Watu kupotea na wengine kuuawa bila kufanyiwa uchunguzi kama walio potea ni kuku.
*kupigwa risasi mbunge Lissu na kutojali.
*Uhuru wa vyombo vya habari kumalizwa kabisa na kila mmoja kuogopa kuandika ukweli.
* Waandishi kupotea kama Azory na kuonekana kama kapotea kuku
*Wakulima wa Korosho , ufuta , mbaazi na tumbaku kutiwa hasara kibabe
* Miji yote kuchafuliwa kwa sera mbovu ya kuwaachia machinga wafanye wanavo taka.
*Sera ya viwanda ilo goma
*Sheria za kubana social media na kuweka masharti magumu kwa wahabarishaji.
*Kufungia magazeti yasio tii amri za kusifu mfamo Tanzania Daima.
*Kupungua kwa FDI kutokana na sera zisizo eleweka
*Diplomacy na mahusiano na marafiki na dunia kupungua au kutoweka kabisa.
* Kuzorota kwa urafiki na mahusiano na jumuia za EA na Sadc
*Kujaribu kuua kwa makusudi mfumo wa vyama vingi.
*Kutoa vipaumbele kwa maeneo yenye ccm wengi
*Kujenga chato kwa upendeleo tu.
Masheikh wa Zanzibar bado kubaki wakiteseka bila kesi wala ushahidi
*Kesi za uhujumu za kukomoana
* Washukiwa ufisadi kutoa ngawira kuachiwa
*Ufisadi zimamoto na uhamiaji kumalizwa kishkaji
Na sababu lukuki ambazo ni valid kuwa ni bora akapumzika


Sent using Jamii Forums mobile app


Uzuri hata yeye mwenyewe anajua kuwa ametosha miaka mitano..! Anajua..najua ataachia kwa amani
 
Hoja hujibiwa kwa hoja.

Naunga mkono hoja, labda tu kama anaweza ghafla kubadilika kuwa:

IMG_20200804_210728_515.jpg


Tunaweza pia kubadilika kumfikiria mitano mingine katika minajili ile ile ya 7x70 ya kwenye misahafu.

Mtanzania ni mwenye kusamehe na hasa neno samahani au pole yakitamkwa kwa dhati kabisa.
 
Kama kichwa cha habari kinakatisha tamaa utajibu nini?? Kipofu asiyeona maendeleo yaliyoletwa na JPM utamjibu nini?
 
Kwa nini miaka mitano ya Magufuli inatosha?
*Utawala wake hauheshimu katiba na sheria
*Maamuzi mengi ni ya mtu mmoja. Baraza la mawaziri lipo tu.
*Bunge limekosa ueledi wa kusimamia serikali. Amekua akilisimamia atakavo
*Matumizi nje ya Bajeti za Bunge
*Usiri katika matumizi ya miradi yake.
*Kuwatia hasara wafanyakazi kwa kusimama kwa miradi ya Mifuko ya hifadhi. Mabilioni yame kwama.
*Mifuko ya hifadhi kutumika kufanya investments kinyume na SSRA investments guidelines.
*Kusababisha biashara kupungua kutokana na yeye kutopenda wafanya biashara.
*Ukosefu wa ajira both serikalini na secta binafsi
*Wanafunzi wengi kukosa nafasi za kuingia shule na kuendelea secondary kutokana na ukosefu wa shule na madarasa mapya.
*Elimu kushuka kiwango cha kutisha
*Miradi mikubwa kujengwa chini ya kiwango na nje ya master plans za miji na taifa.
*SGR kuwa implemented hovyo bila kufikiria uchumi wa bandari
*Manunuzi ya ndege bila kuwa na working plan yoyote na kufanya ndege hizo ku park tu muda mrefu.
*Kuufuta mradi wa kimkakati wa bagamoyo kwa sababu za kubuni. Mradi ambao ungekuza sana uchumi wa bandari na viwanda. Hata SGR ingeanza bagamoyo. Mapungufu ya mkataba sio sababu kwani investors huzungumza
*Kuzorota kwa haki za binadamu. Watu kupotea na wengine kuuawa bila kufanyiwa uchunguzi kama walio potea ni kuku.
*kupigwa risasi mbunge Lissu na kutojali.
*Uhuru wa vyombo vya habari kumalizwa kabisa na kila mmoja kuogopa kuandika ukweli.
* Waandishi kupotea kama Azory na kuonekana kama kapotea kuku
*Wakulima wa Korosho , ufuta , mbaazi na tumbaku kutiwa hasara kibabe
* Miji yote kuchafuliwa kwa sera mbovu ya kuwaachia machinga wafanye wanavo taka.
*Sera ya viwanda ilo goma
*Sheria za kubana social media na kuweka masharti magumu kwa wahabarishaji.
*Kufungia magazeti yasio tii amri za kusifu mfamo Tanzania Daima.
*Kupungua kwa FDI kutokana na sera zisizo eleweka
*Diplomacy na mahusiano na marafiki na dunia kupungua au kutoweka kabisa.
* Kuzorota kwa urafiki na mahusiano na jumuia za EA na Sadc
*Kujaribu kuua kwa makusudi mfumo wa vyama vingi.
*Kutoa vipaumbele kwa maeneo yenye ccm wengi
*Kujenga chato kwa upendeleo tu.
Masheikh wa Zanzibar bado kubaki wakiteseka bila kesi wala ushahidi
*Kesi za uhujumu za kukomoana
* Washukiwa ufisadi kutoa ngawira kuachiwa
*Ufisadi zimamoto na uhamiaji kumalizwa kishkaji
Na sababu lukuki ambazo ni valid kuwa ni bora akapumzika


Sent using Jamii Forums mobile app
Amen
 
Tuliyenaye hatumtaki wanaotaka chukua nafasi yake hatuwaamini maana hata hawajui wanasimamia wapi. Mara kuna corona watu wanakufa, halafu hao hao wanafanya mikutano hawana barakoa hakuna social distance wanakusanya watu.
Mara flani fisadi kwa miaka minane wana ushahidi, halafu ndani ya siku moja siyo fisadi mwenye ushahidi apeleke Mahakamani.
Mara serikali inabidi ifufue shirika la ndege ilikuwa ni hoja enzi zilee, enzi hizi likafufuliwa maneno yakabadirika.
Yani siasa za nchi hii bora liende tu maana hakuna wa kuaminika.
 
Kwa nini miaka mitano ya Magufuli inatosha?
*Utawala wake hauheshimu katiba na sheria
*Maamuzi mengi ni ya mtu mmoja. Baraza la mawaziri lipo tu.
*Bunge limekosa ueledi wa kusimamia serikali. Amekua akilisimamia atakavo
*Matumizi nje ya Bajeti za Bunge
*Usiri katika matumizi ya miradi yake.
*Kuwatia hasara wafanyakazi kwa kusimama kwa miradi ya Mifuko ya hifadhi. Mabilioni yame kwama.
*Mifuko ya hifadhi kutumika kufanya investments kinyume na SSRA investments guidelines.
*Kusababisha biashara kupungua kutokana na yeye kutopenda wafanya biashara.
*Ukosefu wa ajira both serikalini na secta binafsi
*Wanafunzi wengi kukosa nafasi za kuingia shule na kuendelea secondary kutokana na ukosefu wa shule na madarasa mapya.
*Elimu kushuka kiwango cha kutisha
*Miradi mikubwa kujengwa chini ya kiwango na nje ya master plans za miji na taifa.
*SGR kuwa implemented hovyo bila kufikiria uchumi wa bandari
*Manunuzi ya ndege bila kuwa na working plan yoyote na kufanya ndege hizo ku park tu muda mrefu.
*Kuufuta mradi wa kimkakati wa bagamoyo kwa sababu za kubuni. Mradi ambao ungekuza sana uchumi wa bandari na viwanda. Hata SGR ingeanza bagamoyo. Mapungufu ya mkataba sio sababu kwani investors huzungumza
*Kuzorota kwa haki za binadamu. Watu kupotea na wengine kuuawa bila kufanyiwa uchunguzi kama walio potea ni kuku.
*kupigwa risasi mbunge Lissu na kutojali.
*Uhuru wa vyombo vya habari kumalizwa kabisa na kila mmoja kuogopa kuandika ukweli.
* Waandishi kupotea kama Azory na kuonekana kama kapotea kuku
*Wakulima wa Korosho , ufuta , mbaazi na tumbaku kutiwa hasara kibabe
* Miji yote kuchafuliwa kwa sera mbovu ya kuwaachia machinga wafanye wanavo taka.
*Sera ya viwanda ilo goma
*Sheria za kubana social media na kuweka masharti magumu kwa wahabarishaji.
*Kufungia magazeti yasio tii amri za kusifu mfamo Tanzania Daima.
*Kupungua kwa FDI kutokana na sera zisizo eleweka
*Diplomacy na mahusiano na marafiki na dunia kupungua au kutoweka kabisa.
* Kuzorota kwa urafiki na mahusiano na jumuia za EA na Sadc
*Kujaribu kuua kwa makusudi mfumo wa vyama vingi.
*Kutoa vipaumbele kwa maeneo yenye ccm wengi
*Kujenga chato kwa upendeleo tu.
Masheikh wa Zanzibar bado kubaki wakiteseka bila kesi wala ushahidi
*Kesi za uhujumu za kukomoana
* Washukiwa ufisadi kutoa ngawira kuachiwa
*Ufisadi zimamoto na uhamiaji kumalizwa kishkaji
Na sababu lukuki ambazo ni valid kuwa ni bora akapumzika


Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa akili na ubongo havijawasiliana.
 
Baada ya miaka mitano ya utawala wake, tumejua ametupeleke kwenye nchi ya majonzi, iliyojaa masikitiko, manyanyaso, Ili uishi pasipo shida basi unga mkono juhudi zake, ubabe, upendeleo katika kutekeleza miradi inayohusu wananchi, na kubwa zaidi ni nchi kuwa na mfumo wa chama kimoja cha siasa, kutokuheshimu haki za raia, matumizi mabaya ya pesa za umma. kujikita zaidi kwenye maendeleo ya vitu baadala ya maendeleo ya watu.
 
Baada ya miaka mitano ya utawala wake, tumejua ametupeleke kwenye nchi ya majonzi, iliyojaa masikitiko, manyanyaso, Ili uishi pasipo shida basi unga mkono juhudi zake, ubabe, upendeleo katika kutekeleza miradi inayohusu wananchi, na kubwa zaidi ni nchi kuwa na mfumo wa chama kimoja cha siasa, kutokuheshimu haki za raia, matumizi mabaya ya pesa za umma. kujikita zaidi kwenye maendeleo ya vitu baadala ya maendeleo ya watu.
Hongera kwa kukariri hayo.

Kwa kuwa unashabikia chama kisichokuwa na Sera ila kupinga maendeleo, huwezi kujua yanayotekelezwa na Serikali ya CCM.

Kwa ufupi tu, waulize akina mama wajawazito, wafanyabiashara ndogondogo, wachimba madini wadogo, wakulima wanaohitaji kusafirisha mavuno yako kwenda kwenye masoko, wazazi wenye uwezo mdogo kusomesha watoto wao, nk, utapata majibu.

Waulize wanasiasa wanaotaka madaraka kwa lugha ya hadaa, utapata majibu hayo uliyoyaandika kama ndiyo kero za WaTz
 
Hongera kwa kukariri hayo.

Kwa kuwa unashabikia chama kisichokuwa na Sera ila kupinga maendeleo, huwezi kujua yanayotekelezwa na Serikali ya CCM.

Kwa ufupi tu, waulize akina mama wajawazito, wafanyabiashara ndogondogo, wachimba madini wadogo, wakulima wanaohitaji kusafirisha mavuno yako kwenda kwenye masoko, wazazi wenye uwezo mdogo kusomesha watoto wao, nk, utapata majibu.

Waulize wanasiasa wanaotaka madaraka kwa lugha ya hadaa, utapata majibu hayo uliyoyaandika kama ndiyo kero za WaTz
Mkuuu acha kuficha nyumba ya keyboard, rudi field fanya research upya. Kuanzia Mtwara hadi Kagera wananchi wanalia, wameumizwa pakubwa kuliko mazuri waliyofanyiwa.
 
Mkuuu acha kuficha nyumba ya keyboard, rudi field fanya research upya. Kuanzia Mtwara hadi Kagera wananchi wanalia, wameumizwa pakubwa kuliko mazuri waliyofanyiwa.
Yawezekana wewe ndiye umejificha nyuma ya keyboard, au unapumbazwa na umati wa watu kwenye msafara wa Lissu wakati wagombea wengine hawajaanza kupanda majukwaani.

Kimya kingi kina kishindo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom