Anachofanyiwa Masanja ni kinyume na utu

Anachofanyiwa Masanja ni kinyume na utu

Ila katibu ana pisi kali sijawahi ona nimemfananisha na ma star wa kike wa bongo bado sijaona wa kumlinganisha nae iweje ajiue kisa mke wa masanja na lile komwe lake?
Hauwezi elewa katibu alikua anapewa nini

labda mama mchungaji alikua anaifinyia kwa ndani
 
Masanja alichagua kubakia na mke wake, unless polisi waseme otherwise, hilo jambo lilishaisha.

Ila ni kweli mtoto, kwa mujibu wa hizo picha, anafanana na katibu.
Si nilikuambia hili vazi la masanja alilovaa ni la kifreemason tena uvaaga sana wakati wa ibada ya kutoa kafara. Hukuniamini ona sasa.
1665657123113.jpg
 
Mkuu!....

Je!................

Ulibahatika pia kuiona ile clip ya video iliyokuwa ikimuonyesha huyo mama Mchungaji akifanya ubaradhuli wake?..............

Anachokifanya Masanja ni kulitetea kanisa lake ili lisisambaratike kutokana na kwamba,kama yeye Masanja atakili uzinzi wa mkewe(mama mchungaji wa kanisa) na huyo marehemu (katibu wa kanisa).

Endapo Masanja atamchukulia hatua yoyote ya kinidhamu mkewe huyo......

Itakuwa ni kukubali uchafu mkubwa uliokuwa ukitendeka nyuma ya Pazia la mimbari ya kanisa hilo.

Kitendo ambacho kitaweza kumfanya Masanja kupoteza mojawapo ya miradi yake muhimu inayomuingizia kipato kupitia sadaka za waumini katika ibada kanisani.

Pale waumini hao watakaposusa kwenda katika mimbari ya kanisa ambalo ni najisi.

Pili ni kwamba kati yetu sote hapa,hatujui kama Masanja binafsi kama Binadamu yeyote.
Huenda kuna jambo haliko sawa kimaumbile na hiyo ni siri kati yake na mkewe.
Ile video kweli ya dada yangu maana wasukuma tumezalilishwa sana na huyu dada
 
Mke umemuoa mwenyewe kwa hiyari yako na mungu amewabariki mmepata watoto sasa kumpost post kila wakati unampostia nani Kwan ww ndo umeoa peke yako Tanzania au duniani mi nadhani vitu vingine watu wanajitakia tena ana caption za vijembe huyo kipindi kile anampost mke wake kumbe jamaa anakula mzigo na mtoto wamezaa na mke wake we si unaona ni copy and paste hyo kabisa wacha inyeshe tuone panapo vuja.
 
mshauri masanja aache kumwanika mkewe kila mahali. Mke ni utupu wa mume, si sahihi kuuanika kila mahali, petrol stations, car wash, garage, ukiwa shopping, ukitibua/akitibua hata kidogo tu maneno lazima yawepo
Ushamba mkuu unawasumbua hawa mastar ndo maana wanachapiwa yaani maisha ya bongo haya watu wanakuchora tu.
 
Jamaa anafanyiwa cyber bullying kitu ambacho watu wengi wanaona sawa maana haijawai kuwatokea...imagine kila mtandao unakuta wanamjadili mtu huyo haswa page za umbea ...mtu aje kujinyonga bure !!kwa kweli kuvumilia maneno ya watu ni kazi unaandamwa kila siku.
 
Unakua mchekeshaji, mke anachepuka na mtu mkimya

Unakua mkimya, mke anachepuka na mchekeshaji

Yani TAFLANI
Ukimwelewa mwanamke ujue unakaribia kufa hakuna aliyeweza kumridhisha mwanamke na hatakaaa atokee cha umuhimu ni kuishi nao kwa akili
 
Kikampuni u hwara hivi kiliibuka na kuwapa matumaini watanzania ya kidownload pesa ukiweka elfu 20 unapewa kazi ya kuangalia matangazo unapata elf 4 kwa siku . watu wakawekeza malaki na mamilioni kampuni ikayeyuka mtandaoni. Waliowekeza pesa bado wapo kwenye maumivu makali
Asante bibie kwa ufafanuzi ulionipa kuna nyingine inaitwa scatec nayo ilikuwa inatoa huduma kama hiyo yeyemwenyewe unaingiza 130000 unakuwa unapokea kila siku 5000 na bro wangu yupo kwenye hiyo alinishirikisha hadi mimi me nikamuuza hiyo website imesajiliwa na Serikali hakasema hajui nikamwambia ni vizuri kuhakikisha kuliko kutokuwa na uhakika wakaambiwa wa upgrade hela walizoweka ili wapate hela nyingi watu wakaingiza hela zao ila bro alinisikiliza baada ya kugundua hiyo kampuni haijasajiliwa na Serikali wale walioweka wakaliwa pesa zao na website ikafuta pamoja na group lao la whasapp.

Watanzania wengi wanatapeliwa kwa kukosa maarifa pamoja na kupenda njia za shortcut za kupata pesa ndio maana yanawatokea haya
 
Aiseee ndoa ngumu sana hadi bilionea AY wameachana na mnyarwanda?
Nashauri.
Ukipenda kuoa mnyarwanda kwa sababu zako zo zote basi usioe wa Rwanda. Nenda mikoa ya Kagera, Kigoma, Geita na Shinyanga maeneo ya Kahama utawapata. Kwa kiasi hawa wamechanganya na tamaaduni za waha hivyo wana ka uvumilivu fulani katika ndoa. Hata hivyo, ukienda hayo maeneo tafuta wananzengo wakuoneshe yupi uoe.

Angalizo:

Mahari yao ni kubwa jiandae na 2-4 milion Tsh.
 
Back
Top Bottom