mnyalilungulu
Senior Member
- Sep 27, 2019
- 170
- 114
dah ni pigo kubwa sana la CHADEMA ikiwa ni siku chache tu baada ya MWAMBE na SUMAYE kuhamia CCM haiya kazi ndo kwa kwanza imeanza ikiwa ni dakika ya tatu ya mchezo mpaka tukafike 45 sijui itakuaje
Ngonjera za Vibendera hahahahMadaktari njaa sana aiseeeh! Hawaoni aibuu!?
Actually huyu alishaunga juhudi toka akiwa Katibu Mkuu CHADEMA, anachofanya ni kuhitimisha tu!
Kama kuna mtu anajua Mashinji akiwa katibu mkuu alifanya kipi kuimarisha CHADEMA aniambie! Karibu kundini
Nimesikia si Muda Mrefu viongozi wawili mbali na huyu wa Kitaifa wa Chadema muda si Mrefu wanamkimbia Mbowe, Wamedai kuwa ni Mtu hatari sana kwenye Carrier zao za Kisiasa. Wanasema Mtu akithubutu kutoa ushaur ambao unaenda kinyume na mawazo ya Mwenyekiti wanatumwa kikosi cha Mbow kilichotandika Makam.Mwaka Huu Usiishe Bila Kutenda Miujiza
hapo ndiyo patamu sasa.mwana wa Tanzania,
Kwahiyo ile Kesi yake iliyokuwa ikimkabili Yeye na Viongozi (Wabunge) wa CHADEMA atakuwa ameshanusurika nayo au atakuwa akiendelea Kuihudhuria huku akiwa amevalia Sare ya Chama chake Kipya?
Wenye akili wanaondoka CHADEMA kukimbia udhalilishaji wa kuongozwa kishikaji.
Wataelewa tudah ni pigo kubwa sana la CHADEMA ikiwa ni siku chache tu baada ya MWAMBE na SUMAYE kuhamia CCM haiya kazi ndo kwa kwanza imeanza ikiwa ni dakika ya tatu ya mchezo mpaka tukafike 45 sijui itakuaje
Mashinji nae alipigania kwa moyo?Mimi bado nasema Mbowe ana stahili kuubeba huu mzigo wa lawama 2015 alitukosea sana Kumpa Lowassa....wale waliopigania chama kwa moyo mmoja walitengwa kwenye baadhi ya maamuzi mazito leo upinzani umelegea.
Atuombe radhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi bado nasema Mbowe ana stahili kuubeba huu mzigo wa lawama 2015 alitukosea sana Kumpa Lowassa....wale waliopigania chama kwa moyo mmoja walitengwa kwenye baadhi ya maamuzi mazito leo upinzani umelegea.
Atuombe radhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
mwana wa Tanzania,
hivi kaacha legacy gani Chadema huyu?
Chama ni Chawana chama sio chama cha MwanachamaHuyu tangu mwanzo hakuwa mpinzani. Kipindi chake cha ukatibu mkuu aliiua Chademakabisa. Kumbe alikuwepo pale kimkakati. Mbowe hongera kumshtukia huyu bwana.. Karibu una maliza maotea shambani. Chama kibaki safi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa nakutafuta naomba Maoni yako