Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,101
Tumeona namna viongozi wa CCM waivyotofautiana kwenye majukwaa kuhusu maandamano. Finally Chadema wamefanikiwa lengo lao na hivyo yawezekana kabisa kamati Kuu ya chadema ina mikakati mingi isiyo wazi katika kutekeleza siasa na viongozi wake wanasomana.
Ukija CCM utaona Mkuu wa Mkoa,, Katibu Mkuu Nchimbi na Makonda wao ni kama awakuguatilia msimamo wa chama cha mapinduzi baada ya kauli ya chadema kutolewa hapo awali.
Badala yake wao pia walikimbilia kuandaa maandamano yao yasiyo rasmi ambayo yalilenga kufanya usafi kwa kutumia dola, kufanya mikutano mikoani ambapo Makonda anachofanya kupita kando ya barabara ya lami na siyo kwenda kwa wananchi, huku katibu mkuu akifanya kosa lilelile la JPM lakuangaika kuwashawishi akina Peneza wajiunge CCM na hivyo kuwafanya wana CCM wajione wakiwa na wasio na thamani kwani kwa miaka sasa wana chadema waliopewa ajira wanakaribia kulingana na wana CCM wenye ajira kwenye nafasi za juu mikoaoni na wilayani
Kama hali hii ya kila kiongozi kujibrand kivyake itaendelea ndani ya CCM sidhani kama kuna uhai wa fikra na utawala utazaliwa. Haiwezekani ukawa na chama ambacho wote mnaonyesha kumwamini mwenyekiti pekee huku wengine mkiona siyo watu. Hakuna mwenyekiti pasipo kuwa na team work from ground. One man show will take you no where, bebeni maono ya chama siyo fikra na utashi wenu.....mtakachofanikiwa tu nikiwafanya wenzenu watumbuliwe na mtaendelea kuzalisha mpasuko
Ukija CCM utaona Mkuu wa Mkoa,, Katibu Mkuu Nchimbi na Makonda wao ni kama awakuguatilia msimamo wa chama cha mapinduzi baada ya kauli ya chadema kutolewa hapo awali.
Badala yake wao pia walikimbilia kuandaa maandamano yao yasiyo rasmi ambayo yalilenga kufanya usafi kwa kutumia dola, kufanya mikutano mikoani ambapo Makonda anachofanya kupita kando ya barabara ya lami na siyo kwenda kwa wananchi, huku katibu mkuu akifanya kosa lilelile la JPM lakuangaika kuwashawishi akina Peneza wajiunge CCM na hivyo kuwafanya wana CCM wajione wakiwa na wasio na thamani kwani kwa miaka sasa wana chadema waliopewa ajira wanakaribia kulingana na wana CCM wenye ajira kwenye nafasi za juu mikoaoni na wilayani
Kama hali hii ya kila kiongozi kujibrand kivyake itaendelea ndani ya CCM sidhani kama kuna uhai wa fikra na utawala utazaliwa. Haiwezekani ukawa na chama ambacho wote mnaonyesha kumwamini mwenyekiti pekee huku wengine mkiona siyo watu. Hakuna mwenyekiti pasipo kuwa na team work from ground. One man show will take you no where, bebeni maono ya chama siyo fikra na utashi wenu.....mtakachofanikiwa tu nikiwafanya wenzenu watumbuliwe na mtaendelea kuzalisha mpasuko