Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,817
4,568

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema usafi uliopangwa kufanyika hautaathiri maandamano yaliyopangwa kufanywa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Januari 24 iwapo watakuwa na kibali cha kufanya hivyo.

Chalamila ametoa kauli hiyo leo, Jumatatu Januari 22, Jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari ambapo amesema Jeshi la Polisi ndilo lenye kutoa kibali cha maandamano.
 
Mwalimu alisema wacha Mrema abebwe km mfu na hakufanya lolote na maandamano yake. Sembuse hawa CDM. wawaache tu, serikali isome political climate
 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema usafi uliopangwa kufanyika hautaathiri maandamano yaliyopangwa kufanywa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Januari 24 iwapo watakuwa na kibali cha kufanya hivyo...

Kama Chalamila amesema hivyo basi huenda huyu ndiye mkuu wa mkoa mwenye uelewa mdogo kuliko wote!

Yaani mkuu wa mkoa hata hajui sheria. Tangu lini polisi wanatoa kibali? Ni sheria gani inayosema Polisi huwa wanatoa vibali kwa wanaotaka kuandamana?

Sheria inasema Polisi watapewa taarifa angalao si chini ya masaa 48 ili kuandaa ulinzi, siyo kutoa kibali.
 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema usafi uliopangwa kufanyika hautaathiri maandamano yaliyopangwa kufanywa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Januari 24 iwapo watakuwa na kibali cha kufanya hivyo.

Chalamila ametoa kauli hiyo leo, Jumatatu Januari 22, Jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari ambapo amesema Jeshi la Polisi ndilo lenye kutoa kibali cha maandamano.
Huyu nae ni kiongozi? Kazi ipo
 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema usafi uliopangwa kufanyika hautaathiri maandamano yaliyopangwa kufanywa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Januari 24 iwapo watakuwa na kibali cha kufanya hivyo.

Chalamila ametoa kauli hiyo leo, Jumatatu Januari 22, Jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari ambapo amesema Jeshi la Polisi ndilo lenye kutoa kibali cha maandamano.
Ni pale na wao watakapoamua kuingia kwenye maandamano.
 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema usafi uliopangwa kufanyika hautaathiri maandamano yaliyopangwa kufanywa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Januari 24 iwapo watakuwa na kibali cha kufanya hivyo.

Chalamila ametoa kauli hiyo leo, Jumatatu Januari 22, Jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari ambapo amesema Jeshi la Polisi ndilo lenye kutoa kibali cha maandamano.
Chamila siamini kama ana akili timamu
 
rc wa dar es salaam ndugu chalamila kanukuliwa jana katika press conference yake akisema kuwa usafi utakaofanywa kuanzia leo tarehe 23 hadi kesho tarehe 24 ambao utajumuisha vikosi vya ulinzi na usalama ( hasa polisi na jwtz ) ni wa kupambanua hasa na ugonjwa wa kipindupindu na wala si kwa ajili ya kuwazuia au kupambana na chadema ambao kesho jumanne tarehe 24 januari wana jambo lao

kuna watendaji wengine wa serikalini kutokana na upumbavu wao huwa wanatulazimisha na hata wachache wenye akili ( akina cognizant ) tuwe tunamdharau pia na boss wao mkuu aliyewateua
 
Kama Chalamila amesema hivyo basi huenda huyu ndiye mkuu wa mkoa mwenye uelewa mdogo kuliko wote!

Yaani mkuu wa mkoa hata hajui sheria. Tangu lini polisi wanatoa kibali? Ni sheria gani inayosema Polisi huwa wanatoa vibali kwa wanaotaka kuandamana?

Sheria inasema Polisi watapewa taarifa angalao si chini ya masaa 48 ili kuandaa ulinzi, siyo kutoa kibali.
kinaweza kisiitwe kibali,ila kikaitwa green light.

wao sio watoaji wa kibali bali ni wazuiaji wa maandamano kwa kigezo cha usalama.
 
Kama Chalamila amesema hivyo basi huenda huyu ndiye mkuu wa mkoa mwenye uelewa mdogo kuliko wote!

Yaani mkuu wa mkoa hata hajui sheria. Tangu lini polisi wanatoa kibali? Ni sheria gani inayosema Polisi huwa wanatoa vibali kwa wanaotaka kuandamana?

Sheria inasema Polisi watapewa taarifa angalao si chini ya masaa 48 ili kuandaa ulinzi, siyo kutoa kibali.
"Polisi kuzuia maandamano kwa sababu za kiusalama baada ya kupewa taarifa."

Haya mamlaka wanayo kisheria?
 
Ukiona huu huu mkanganyiko wa uongozi wa Dar onanikumbusha Mheshimiwa Mwigulu kuwa aliona mbali alipopendekeza Burundi kwa wale ambao wataona ukichaa humu ndani. Ingawa si Burundi, vijana wengi wana hamu ya kwenda nje ya Tanzania. Haya pia ni aina ya maandamano. Sijui kama wenzetu hasa wenye Phd serikalini wanaliona hili? Sijui usafi utafanywa wapi kuzuia hili. Mipakani?
 
Back
Top Bottom