Ahsanteni Kilimanjaro, Dar es Salaam na Arusha!

Ahsanteni Kilimanjaro, Dar es Salaam na Arusha!

Hizo dharau zenu kwa mikoa mingine ( ambayo kimsingi ndio inayowalisha) ndo zinafanya wananchi hao kuipenda ccm.

Kuwalisha????????? Hayo anayosema mleta mada tunastahili..... Mikoa yetu watu hawajielewi.
 
Mtwara wameanza kujitambua.. Mtwara haikuwahi kuwa na Mbunge wa upinzani tangia 1995, Mtwara haikuwahi kuachia Halmashauri zake zitawaliwe na Upinzani. Lakini mwaka huu katika majimbo 9, Ukawa wamechukua matatu pamoja na Halmashauri zake, Imechukua Halmashauri ya Newala Mjini hapo MKUCHIKA alilazimisha kushinda ila kiuhalisia alishindwa, CCM imeshinda kiuhalali Majimbo 3, Jimbo moja walilinunua mapema na Jimbo moja litaenda UKAWA 100%.. So kwa MTWARA ngoma itakuwa Ukawa 4 CCM 5 and It's not a bad start...

Kwa kura za URAIS ni dhahiri wameiba kupita maelezo, huko MAGUFULI jimbo alilomzidi LOWASSA kihalali ni LULINDI, NEWALA VIJIJINI na MTWARA VIJIJINI Pekee ila kwingine kote LOWASSA alimkimbiza MAGUFULI kwa mbali sana.. Nadhani kosa pekee la UKAWA huko ni kutoweka wasimamizi imara wa kura za Urais na ucheleweshaji wa matokeo ya Wabunge ambao uliwapa mwanya wa CCM kuchakachua kura za Rais..

Strategy ambayo CCM wanaitumia mwaka huu ni kuchelewesha matokeo ya Wabunge katika majimbo mengi nchini ili wabunge na wananchi wakiwa busy kuhesabu na kudai matokeo wao ndio wanapata mwanya wa kuchakachua kura za Rais maana wakati huo Mbunge na UKAWA wote kwa jumla wanakuwa wanatoa macho kwenye kura za Mbunge wao na kusahau za Rais.. Haiwezekani sehemu ambazo UKAWA wamechukua Jimbo, wamechukua 75% ya kata zote alafu MAGUFULI amkimbize LOWASSA kwa mbali.. Haya mambo ya Uchaguzi ni Ujinga na kupotezeana muda tu
 
Aliyeshiba hamjui mwenye njaa.
Asilimia 75 ya watanzania ni masikini na wakulima na wafanyakazi.

Hawako tayari kuona mafisadi wakiendelea kuwanyonya

Unamaanisha..mafisadi kama kina chenge,ngeleja,tibaijuka na wengine wengi tu waendelee kugawana mapesa kama yale ya escrow!ama kweli wewe ni jingalao!!!
 
Mara.arusha.manyara.dar es salaam . morogoro kidogo. ..iko siku watalikomboa hili taifa. .mikoa mingne masikini wanaotafuta maji km80 bado wamelala hawajitambui
 
Unamaanisha..mafisadi kama kina chenge,ngeleja,tibaijuka na wengine wengi tu waendelee kugawana mapesa kama yale ya escrow!ama kweli wewe ni jingalao!!!
This is a joke of a century. ..kuwarudisha hao watu
 
Hilo nalo neno.

Ngoja tuache kuwauzia chakula, watakula na kunywa mlima Kilimanjaro na maji chumvi ya bahari ya Hindi.

Hatuna shida na vi mchele vya morogoro, tutaagiza mchele wa vietnam na kuku wa Brazil, ok.
 
Kama kuna kpindi wananchi wa DSM wamenifurahisha basi ni mwaka huu 2015. Mbarikiwe kwa mageuzi ya maana.
 
Wananchi WA dar es salaam wengi in wajinga wajinga kupindukia wamekubali kugeuzwa nyumbu safari hii, asiyejua Kilimanjaro na arusha ndio inayoongoza kwa ukabila nani.

Wewe unaonekana msukuma usiyejitambua. Mkaribishe Magufuli huko kwenu kwa pushapu.

Dar ndio kila kitu. Tutaheshimiana tu.
 
Kwa macho madogo tu ya kawaida kabisa mikoa tajwa hapo juu ndio mikoa tajiri Tanzania, na ndio mikoa yenye wananchi wanaojitambua zaidi hapa Tanzania!

Ni wakati wa Mabadiliko! Walielewa na wakaamua!

Ahsanteni wana DSM! Ahsanteni Kilimanjaro! Ahsanteni Arusha!

Segerea, Ilala na Kigamboni ni uzembe fulani, lakini mlionyesha mpo very serious na mabadiliko! Wakati mwingine dhamira yenu itatimia!

Hongereni.I hope mtafanyia kazi kero za Dar,kama vile foleni,maji na joto.
 
Mikoa mingi yenye umaskini uliokithiri CCM wameshinda kwa kishindo,hawajitambui kabisa acha waendelee kulizwa na wazee wa 10% for the next 5 years.
Kweli mkuu hayo majinga na masenge kweli na wataendelea kujifungulia chini na kuendelea kulima hadi wafe.
 
Back
Top Bottom