wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,940
- 5,754
Ukanda wapi wakati kazi umeona tulivyopiga???
Nataman maisha yawe magumu mara kumi ya sasa
Ukanda wapi wakati kazi umeona tulivyopiga???
Hilo nalo neno.
Ngoja tuache kuwauzia chakula, watakula na kunywa mlima Kilimanjaro na maji chumvi ya bahari ya Hindi.
Naitwa naantombeMushiYour name though...
Mkuu big up hata Mwanza, ni basi tuu kwa vile ccm walifungia kampeni zao hapa wakaona ni aibu kupoteza jimbo ndio wizi na ubabe wa hali ya juu ukafanyika. Watueleze Mzee kipipa BWM alikuwa anafanya nini na kwa nini alikuwepo Mwanza kwa siri? Kuna watu tunawalipa pension kwa makosa kabisa.Big up Dar!!!!
Mi nadhani kuna utofauti wa kuiba na kupora.Hapa naona kama ni uporaji.Mkuu nakumbuka nimeandika makala zaidi ya tano ya kuwaasa ukawa juu ya kuwa makini na wizi wa kura nadhani nlianza kiandika tangu mwaka 2013. Lakini kusema kweli chadema hawakutight vizuri na kuwa wakali. Mimi nlistuka zaidi nikikumbuka usanii aliofanya sita kupata kura za kuiputisha katiba. Na lowasa ni mpole hataki kuudhi mtu. Ingekua mimi sentensi yangu ya kwanza ingekua " kikwete wewe ni rafiki yangu lakini tuheshimiane, uliniletea usanii ukakata jina langu ccm nimekuja huku napo unaniletea usani" tuheshimiane... Lowasa angekua mkali kidogo. Kikwete kampandia kichwani mno na akimchekea anamchakachua tena."!!!
Acha kulia wewe hakuna dharau mnaambiwa ukweliWatu tunawachukia wachaga kwa dharau zenu na kashfa, mnajiona mna akili kuliko wengine, ukabila tu umewajaa kama wapemba
Watu tunawachukia wachaga kwa dharau zenu na kashfa, mnajiona mna akili kuliko wengine, ukabila tu umewajaa kama wapemba
Wananchi WA dar es salaam wengi in wajinga wajinga kupindukia wamekubali kugeuzwa nyumbu safari hii, asiyejua Kilimanjaro na arusha ndio inayoongoza kwa ukabila nani.
Hizo dharau zenu kwa mikoa mingine ( ambayo kimsingi ndio inayowalisha) ndo zinafanya wananchi hao kuipenda ccm.
Mikoa mingi yenye umaskini uliokithiri CCM wameshinda kwa kishindo,hawajitambui kabisa acha waendelee kulizwa na wazee wa 10% for the next 5 years.
Mpumbavu ni yule anayesema eti Kilimanjaro ina uchumi mkubwa kuliko Mwanza na Mbeya. Hata hadhi ya jiji haijafikia...
Mikoa mingi yenye umaskini uliokithiri CCM wameshinda kwa kishindo,hawajitambui kabisa acha waendelee kulizwa na wazee wa 10% for the next 5 years.
Hizo dharau zenu kwa mikoa mingine ( ambayo kimsingi ndio inayowalisha) ndo zinafanya wananchi hao kuipenda ccm.
Acha waipende watukomae sisi wa dsm, kilimanjaro na arusha! Statistics za kiuchumi zinaonyesha uchumi mkubwa upo kaskazini na dsm! Sasa nyie huko endeleeni kutukomoa. Sawa eeehhhh!
U might say so.....but look at it deeply, then u will realize what I'm saying is very significant.......mara nyingi mmekuwa na maneno ya kejeli kwa watanzania masikini.
Mkuu achana nao, kipindi kilichopita Kigoma ilitoa wabunge wa upinzani wengi, lakini washenzi hawa hakuwa kuipa credit lakini walikuwa wanajiona wao ndo wapinzaniMbona Lindi huwapi hongera? Wamewapa wabunge 4 wa upinzani kama Mbeya tu...!!
Na mbeya pia imo katika mikoa inayojitambua mwanza vilaza tu