Ahsanteni Kilimanjaro, Dar es Salaam na Arusha!

Ahsanteni Kilimanjaro, Dar es Salaam na Arusha!

Kwa macho madogo tu ya kawaida kabisa mikoa tajwa hapo juu ndio mikoa tajiri Tanzania, na ndio mikoa yenye wananchi wanaojitambua zaidi hapa Tanzania!

Ni wakati wa Mabadiliko! Walielewa na wakaamua!

Ahsanteni wana DSM! Ahsanteni Kilimanjaro! Ahsanteni Arusha!

Segerea, Ilala na Kigamboni ni uzembe fulani, lakini mlionyesha mpo very serious na mabadiliko! Wakati mwingine dhamira yenu itatimia!

Kwa hiyo kujitambua ni kuchagua CHAgaDEMA? Na huo utajiri uko wapi? Haya tumewarejesheeni mchunga ng'ombe wenu na washauri wake Gwajima na Kingunge
 
Wala sio watu kuwa na interest na CCM - ni uelewa wa mambo na IQ kidogo tu. Haiwezekani watu hao hao waliokuwa Mawaziri wakuu na mwingine waziri wakubwa (Senior Minister) na Mshauri mkubwa wa Marais wote waliopita - leo eti wanakuja kutuambia CCM haikufanya kitu wakati wao walikuwa ndio watendaji wakubwa wa serikali na washauri wa Rais. Kama CCM haikufanya kitu wakati wao walikuwepo; na mmoja wao ndio mgomvea na wengine ni wapiga kampeni - hivyo na wao hawafai pia. Maana hata hao wangechaguliwa sasa - nina hakika ingefika 2020 wangehama UKAWA pia na kusema UKAWA haikufanya kitu ; na sio wao. Wanasahau kuwa chama ni watu - na wao wenyewe walikuwa sehemu ya watu. Hivyo watu kama hao hawafai kupewa uongozi. Maana badala ys kukubali walichofanya kama kilikuwa na "weakness" ili waweze kufanya vizuri zaidi; wao wanakana kabisa kuwa hawakuwa sehemu ya watu waliokuwa wanafanya maamuzi wakati wakiwa mawaziri wakuu na washauri wa Ma-Rais. Huo ni uongo mkubwa na uinaonyesha hao watu hawana "qualities" za uongozi - ni wababaishaji.
 
Hayo mambo unayosema kuwa kura zimeibwa - itabidi uwasaidie vijana wa "KOVA" baadae - ili uonyeshe huo ushahidi wa jinsi kura zilivyoibwa. Maana inaonekana wewe unajua sana.
 
Unakuta we unaeshabikia ccm huna lolote, wenzio wanashabikia wamewekeza.......watu wachache wapumbav ambao hawajui mustakabal wa maisha yao ndio wanaotuangusha.......ila magufuli akipita urais, ntashukur kuwa sote tutaisoma namba yahali ngum ya maisha
 
Namshukuru Mungu nimezaliwa Arusha ,vinginevyo sasa hivi ningekua nawaza kwenda kuuza kahawa Dar nikitegemea kama kazi ya msingi kwa ufinyu Wa upeo ( wagogo)
Hongera Sana wana Dar es Salaam ,Kilimanjaro, Mbeya
 
Wewe lofa kweli,Kilimanjaro kuna uchumi gani?Kılimanjaro ınazidi Mwanza,Mbeya?

Soma report za kiuchumi wewe haya mambo ya kiuchumi huwa hatuongei bila takwimu. Kuna report ilitolewa mwaka huu mwanzani ya 'human development index report' ndo uone hiyo level ya maendeleo kilimanjaro na mikoa mingine
 
Nadhani tuchague maneno ya kutumia humu.
Kejeli na dharau si muafaka kabisa, huwa nasikitika sana mtu anapobisha hoja kwa kutokutumia facts anatumia
- tofauti za kipato, dini, kabila, etc.
Wote mnajua sio kweli ila mnaona raha kuwaudhi wengine kwa maneno ya kejeli.

Haitufikishi mbali zaidi ya kutusononesha wote.
Au Tanzania tu na malengo mbalimbali?
Nadhani tukiwa na common goal, mambo mengine tukiweka pembeni kidogo, haswa kwa kalamu, rekodi itapendeza sana

Hebu tutendeane mema.

Wenye facts ambazo zinajadilika azitoe zijadiliwe, sio hisia matusi kejeli nk.

Kushinda au kutokushinda kwa mmoja wa wagombea isiwe mwisho wa kuipenda nchi yetu.
Tuiboreshe kwa kusimamia systems zitakazoleta maendeleo na kuziba mianya ya uonevu (adui zetu ni wale wanaotunyonya na kutuonea) sio wananchi wenzetu ambao wana namna tofauti ya kupigania hilo.

Umoja wetu wananchi ndio utakaoondoa udhalimu, utengano wetu ndio furaha yao
 
Soma report za kiuchumi wewe haya mambo ya kiuchumi huwa hatuongei bila takwimu. Kuna report ilitolewa mwaka huu mwanzani ya 'human development index report' ndo uone hiyo level ya maendeleo kilimanjaro na mikoa mingine


Hiyo ndio report ya kiuchumi?
 
Namshukuru Mungu nimezaliwa Arusha ,vinginevyo sasa hivi ningekua nawaza kwenda kuuza kahawa Dar nikitegemea kama kazi ya msingi kwa ufinyu Wa upeo ( wagogo)
Hongera Sana wana Dar es Salaam ,Kilimanjaro, Mbeya


Mbona Lindi huwapi hongera? Wamewapa wabunge 4 wa upinzani kama Mbeya tu...!!
 
Soma report za kiuchumi wewe haya mambo ya kiuchumi huwa hatuongei bila takwimu. Kuna report ilitolewa mwaka huu mwanzani ya 'human development index report' ndo uone hiyo level ya maendeleo kilimanjaro na mikoa mingine

Mmetuibia sana sasa tumewashtukia
 
Kwa macho madogo tu ya kawaida kabisa mikoa tajwa hapo juu ndio mikoa tajiri Tanzania, na ndio mikoa yenye wananchi wanaojitambua zaidi hapa Tanzania!

Ni wakati wa Mabadiliko! Walielewa na wakaamua!

Ahsanteni wana DSM! Ahsanteni Kilimanjaro! Ahsanteni Arusha!

Segerea, Ilala na Kigamboni ni uzembe fulani, lakini mlionyesha mpo very serious na mabadiliko! Wakati mwingine dhamira yenu itatimia!

na ndiyo yenye mafisadi papa
 
Back
Top Bottom