Mkuu nakumbuka nimeandika makala zaidi ya tano ya kuwaasa ukawa juu ya kuwa makini na wizi wa kura nadhani nlianza kiandika tangu mwaka 2013. Lakini kusema kweli chadema hawakutight vizuri na kuwa wakali. Mimi nlistuka zaidi nikikumbuka usanii aliofanya sita kupata kura za kuiputisha katiba. Na lowasa ni mpole hataki kuudhi mtu. Ingekua mimi sentensi yangu ya kwanza ingekua " kikwete wewe ni rafiki yangu lakini tuheshimiane, uliniletea usanii ukakata jina langu ccm nimekuja huku napo unaniletea usani" tuheshimiane... Lowasa angekua mkali kidogo. Kikwete kampandia kichwani mno na akimchekea anamchakachua tena."!!!