jtwentytwo
Senior Member
- Apr 7, 2015
- 194
- 26
Mkuu big up hata Mwanza, ni basi tuu kwa vile ccm walifungia kampeni zao hapa wakaona ni aibu kupoteza jimbo ndio wizi na ubabe wa hali ya juu ukafanyika. Watueleze Mzee kipipa BWM alikuwa anafanya nini na kwa nini alikuwepo Mwanza kwa siri? Kuna watu tunawalipa pension kwa makosa kabisa.
acha kuwashobokea maku wa kaskazini ao mwanza tunajielewa na hatuyumbishwiii na mashoga ao kiuchumi wanafuata kwa mbali sana maendeleo hawatufikii wakawatishee watuu wa mikoa mingine lkn sio watu wa mwanza