Ahsanteni Kilimanjaro, Dar es Salaam na Arusha!

Ahsanteni Kilimanjaro, Dar es Salaam na Arusha!

Yale yale ya akili za kiCCM !

Kwamba kwa vitu vidogo nilivyovitaja hapo eti tayari unaona kama vile nimesema mimi ni tajiri na hivyo ukaamua kusema kinyume chake !. Pole sana !

By the way, wapo watu wengi sana ambao wanaichukia CCM kwa nguvu zote na wana hela nyingi na wanajiweza.....at least hata kama unaona mimi sina uwezo wa kununua hata smartphone, angalau basi ukubali kwamba kuna watu wengine wengi ambao wanajimudu wakiwa na uwezo wa kupata matibabu bora (ikibidi hata nje ya nchi na kwa fedha zao), kusomesha watoto wao kwenye shule nzuri (ikibidi hata nje ya nchi na kwa fedha zao) na kumudu vizuri sana maisha yao, lakini bado wanaichukia CCM......

Hivyo hata kama wewe huniamini mimi, basi assume hiyo message ina-represent mmoja wa hao watu !



We ni masikini tuuuu..
Tena wa kutupa.!
Kwanza nina wasiwasi apo utakua Internet Cafe...
Wanaojiweza huwa hawalalamiki nyuma ya keyboad.
CCM tulidhamilia kuitosa, shida ni UKAWA kukaribisha Fisadi ndo kaaribu kila kitu, mbona ukweli uko wazi..!!
 
Mikoa ya watu wenye elimu zao, wenye uchumi wao hawawezi kuichagua CCM. Umesahau na Mbeya. Mwanza naona wameamua kufanya ukabila. Shauri yao. Hiki Chama kimewekeza kwenye ujinga na umasikini wa watanzania . Ndo maana tutakaa na umasikini wetu milele.
 
Aliyeshiba hamjui mwenye njaa.
Asilimia 75 ya watanzania ni masikini na wakulima na wafanyakazi.

Hawako tayari kuona mafisadi wakiendelea kuwanyonya
Huo umaskini umeletwa na nini? Unamaanisha wanafurahia kuwa maskini kwa hiyo wameona bora waendelee na hali hiyo?
 
Wananchi WA dar es salaam wengi in wajinga wajinga kupindukia wamekubali kugeuzwa nyumbu safari hii, asiyejua Kilimanjaro na arusha ndio inayoongoza kwa ukabila nani.
Umesahau kanda ya ziwa kwa ujumla wake: Mwanza, Geita, Shinyanga, Simiyu, Kagera na Tabora.
 
Hyo mikoa ya ccm endeleeni kuwa hvyo hvyo maana umaskin mnaupenda sana,cc huku aaah!lami hadi kijijin,nauli 1000 kwa 2000 wilaya to wilaya,mkoa kwa mkoa,sasa hao wenzangu kutoka mkoani au wilayani naul sh 10000 hadi 20000 af full vumbi bdo na maccm yao,shame on them.
 
Sasa iwe marufuku Wabunge wa upinzani (Ukawa) ambao ni dhahiri sasa watakuwa wamoja zaidi na wenye nguvu kubwa kuwasemea wananchi kuhusu maji, elimu, miundombinu nk au hata kama Watapigwa,kubakwa, kunyanyaswa nk nk kama ilivyotokea kule mikoa ya Kusini.
Iwe mwiko kabisa kuwatetea wachimbaji wadogo wadogo wa Geita na kule Kahama, waacheni wasemewe na wabunge wao walio waamini. Acheni Kiherehere maana wakati mwingine mnatumia muda mwingi kuwasemea watu waliokosa huduma bora za Zahanati na maji mahali kama Mkoa wa Dodoma wakati wakina Lusinde na Badwel wapo hawashughulikii bali wao wapo kuwatukana nyie na leo wapiga kura wao hawawataki. Kiherehere chenu kinakera, mpende akupendae, asiyekupenda achana nae.
Yapo maeneo kama Nyamagana, yanafahamika kabisa kuwa dola imeingiza nguvu kubwa kubaka demokrasia, lakini yapo maeneo ambayo hata tume haikuwa na sababu za kuleta ujanja kwani ni "ccm mbele kwa mbele". Ukiona mtu anampigia Lusinde kura huyo huna hata haja ya kumjadili ni kumuacha na mambo yake yote.

Hapana mkuu...ukombozi unaendelea....hata Yesu alikuja kwa ajili ya watu wenye dhambi sio watakatifu. Ni kazi yetu kuendelea kuwaelimisha juu ya madhira makubwa yaliyosababishwa ccm ili baadae waelewe na hatimaye kuupata ukombozi wa kweli
 
Hizo dharau zenu kwa mikoa mingine ( ambayo kimsingi ndio inayowalisha) ndo zinafanya wananchi hao kuipenda ccm.

Hilo nalo neno.

Ngoja tuache kuwauzia chakula, watakula na kunywa mlima Kilimanjaro na maji chumvi ya bahari ya Hindi.
 
Wa2 wanapiga deki lami...halaf wanamchinja waliempigia deki.....unafik mbaya
 
Haa haaaaaa haaaaaaa!
Sasa mmeamisha majeshi ila tone yenu mmekubali kuwa mmeshindwa kihalali. Cha msingi hapa ambacho hamkioni ni akili ya watanzania kukataa kudanganywa kuwa lowassa na sumaye ndo waleta mabadiliko.
 
Mikoa mingne mfano katavi,rukwa yan hata chuo cha diploma cha aina yeyote hawana,katavi ndyo kabsa hata chuo cha certificate aina yeyote hawana miaka yote toka uhuru mpaka leo,af mijitu inaongea ccm juu,shule ya maana moja,hakuna hata sehemu moja ya mkoa kwa mkoa wameunganishwa na barabara ya lami toka uhuru mpaka leo.yan wajinga ni wajinga tu.Moshi toka mfumo wa vyama vingi 1995 mpaka leo jimbo lipo cdm na maendeleo kibao,hakuna sehemu yenye vumbi barabara za mitaa hadi vijijin.je hawa wapo tz au kenya?je viongozi wao wana akili kuliko wengne?
 
Dar es salaam ndioinayoongoza kwa Human Development index ikifuata KILIMANJARO then Arusha

Humu JF kuna michagga mingi sana na kazi ni kutukana watu wa mikoa mingine wanaodharau fikra za DJ Mbowe na kujisifia.Akili zao zimeoza kama meno yao
 
Mikoa mingne mfano katavi,rukwa yan hata chuo cha diploma cha aina yeyote hawana,katavi ndyo kabsa hata chuo cha certificate aina yeyote hawana miaka yote toka uhuru mpaka leo,af mijitu inaongea ccm juu,shule ya maana moja,hakuna hata sehemu moja ya mkoa kwa mkoa wameunganishwa na barabara ya lami toka uhuru mpaka leo.yan wajinga ni wajinga tu.Moshi toka mfumo wa vyama vingi 1995 mpaka leo jimbo lipo cdm na maendeleo kibao,hakuna sehemu yenye vumbi barabara za mitaa hadi vijijin.je hawa wapo tz au kenya?je viongozi wao wana akili kuliko wengne?

Asante sana ndugu unafikiria critical not like other lost sheep under this thread. Lakini naomba kusema kuwa ukiona mtu anaishabikia CCM basi ana interest nayo.
 
Hizo dharau zenu kwa mikoa mingine ( ambayo kimsingi ndio inayowalisha) ndo zinafanya wananchi hao kuipenda ccm.

Sasa wakipenda wanamkomoa nani ka si wao wenyewe kujiongezea umaskini,huduma mbovu za kijamii watoto wao kukaa chini, na kunywa maji mabwawani na ng'ombe. Aliyekutangulia siku zote katangulia
 
Mikoa ya watu wenye elimu zao, wenye uchumi wao hawawezi kuichagua CCM. Umesahau na Mbeya. Mwanza naona wameamua kufanya ukabila. Shauri yao. Hiki Chama kimewekeza kwenye ujinga na umasikini wa watanzania . Ndo maana tutakaa na umasikini wetu milele.

Hahahaa Mwanza imekua ukabila tena?, mlidanganywa na wale wanywa viroba wakawadekia Lami mkafikiri ndio ushindi. Kwahiyo kama Mwanza wamefanya ukabila Arusha na Kilimanjaro wamefanya nini?
 
We ni masikini tuuuu..
Tena wa kutupa.!
Kwanza nina wasiwasi apo utakua Internet Cafe...
Wanaojiweza huwa hawalalamiki nyuma ya keyboad.
CCM tulidhamilia kuitosa, shida ni UKAWA kukaribisha Fisadi ndo kaaribu kila kitu, mbona ukweli uko wazi..!!

Eti unajiita "IQ Warehouse" kwa hiyo majimbo ya Mwanza Singida , Dodoma, Ruvuma, Tabora, Geita etc kote huko alikua anagombea Lowassa?

Tusipokua na bunge Imara maendeleo Tz sahau kabisa. Tegemea bunge la ndiyoooo kama lilivokua bunge la mama Anna.
 
Mpumbavu ni yule anayesema eti Kilimanjaro ina uchumi mkubwa kuliko Mwanza na Mbeya. Hata hadhi ya jiji haijafikia...
Unaongelea Kilimanjaro, Mwanza na Mbeya kama mikoa au kama miji?
 
Back
Top Bottom