ACT-Wazalendo yaridhia kushiriki kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar na Vyombo vya Uwakilishi

HAWA KAMA WAMEKUBALI KUSHIRIKI KUUNDA SEREKALI THATS MEANS WAMESHA WAMEHALALISHA UCHAGUZI NA NI KIBALI KIBALI CHA WAZI SASA KWA COVID 19 KUINGIA KAZINI
Hawakuwa na namna nyingine. Maalim alishindwa kupindua meza mwaka 2015. Ulitegemea angefurukuta mwaka huu tena wakati hao jamaa wamempa 19% tu kura zote?

ACT hawakuona faifa za kususia baada ya uzoefu wao wa 2015-2020. Kibaya zaidi watu waliogopa/waligoma/walipuuza kuwaunga mkono kwenye maandamano waliyoyaitisha. Option waliobaki nayo ni kujoin tu
 
Kufuatia uamuzi was chama Cha Act Wazalendo kukubali kushiriki serikali ya mapinduzi Zanzibar huku wakijua kuwa uchaguzi haukuwa huru na haki , huku wakijua kuna watu wameuawawa , kupigwa , kuteswa , kufungwa , bambikiwa kesi , chomewa nyumba bila kujali madhira waliyoyapata wafuasi na wanachama wao leo hii Zitto Kabwe...
Usaliti ulianza pale walipomgeuka BERNARD MEMBE,

Sasa zamu yetu kugeukwa,tuvumilie tu maana tuliipenda yenyewe
 
Enzi KANU inatamba ccm huko Kenya, wapambe wake walikuwa wanasema KANU ndio chama pekee kinaweza kuiongoza Kenya. Leo hii KANU imeondolewa madarakani, na Kenya ni bora kiuchumi, kielimu, kibiashara, kiafya nk, kuliko Tanzania ambayo haijawahi kutawaliwa na chama nje ya ccm.
Hakuna chochote Kenya imeizidi tz,!

Kingine Pale Kenya KANU bado ipo kwenye madaraka sema ili jigeuza tu sura.

Ruling class ya KENYA bado ni ile ile tangu inapata Uhuru.
 
Tunasubur na Rufaa za akina Mdee huko CHADEMA. Nako Kamati kuu ya CDM wataunga na kuitambua see siku sio nyingi kwa kuwaruhusu akina Mdee kuingia bungeni.

Siasa za Tanzania usiziweke kama mtaji,we weka tu ni Kama mambo yanatokea na kupita
 
Mkuu fikiria mara mbili mbili ,Zitto kwasasa sio mbunge ,kwahiyo karata yake ya mwisho ni Ruzuku za chama,sasa akikataa hapo lazima maisha yawe magumu!! Tatizo NJAA mkuu harakati ngumu kama una njaa.
Aiseee tuna wapinzani wa ajabu sana nchi hii , usije kuta hawa ni maafisa vipeuo .
 
Kufuatia uamuzi was chama Cha Act Wazalendo kukubali kushiriki serikali ya mapinduzi Zanzibar huku wakijua kuwa uchaguzi haukuwa huru na haki , huku wakijua kuna watu wameuawawa...
Nani alikuambia huu uchaguzi haukuwa huru? Mmeshindwa kwenye sanduku la kura bado mnabwatuka! Ndo maana wananchi hawawaungi mkono kwa uovu na uchafuzi wenu kisa mnataka madaraka!
 
Tatizo ni pale mdau anapotaka kufananisha SIASA ZA ZANZIBAR na siasa "aijuayo" ama aionayo huku bara.

Kuna UWIANO unaoshahabiana kati ya nguvu ya vyama vikubwa viwili vya huko Zanzibar.

HISTORIA ya mapambano yao ya KISIASA imelalalia KATIKA HIVYO VYAMA VIWILI.

Sasa jaribu UKOSEE utake kufananisha na nguvu ya vyama viwili vya MAREKANI..

ACT inajua hilo...
Maalim Seif anajua hayo.
Wanaomzunguka wanajua hayo.
Wafuasi na wanachama wao wanayajua hayo.

Kilichoamuliwa kamwe si USALITI ukirejea HISTORIA YA SIASA ZAO....

Lakini ukiamua kuzirejea SIASA unazoziamini ama "kuziwish" basi utakuwa hujakosea kusema walioufanya ni USALITI.


Kila la heri kwa SUK
Hakika mmeendelea kuisimamia Zanzibar yenu.

Kudos MAKUBALIANO.
Kudos MWAFAKA.
 
Nimefurahi sana membe kuondoka huku na kuamua kurudi nyumbani tulimwambia hivi vyama havina sela wala hoja yeyote hakusikia mmmmh sasa yako wapi
 
Nani alikuambia huu uchaguzi haukuwa huru? Mmeshindwa kwenye sanduku la kura bado mnabwatuka! Ndo maana wananchi hawawaungi mkono kwa uovu na uchafuzi wenu kisa mnataka madaraka!
Kama ni Lumumba pita kushoto , ili uchaguzi uwe huru na haki kuna sifa zake ( characteristics ) zinazoaangaliwa na sio mapenzi ya kijani kibichi .
 
Nadhani sasa CHADEMA wawarudishie akina Halima Mdee uanachama wao waendelee na ubunge wao!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom