A living legend: Bado namuomboleza Hayati Magufuli, Shujaa wa Afrika

Is gone so early due to curses levelled against him from noxious actions he committed against innocent civilians in general, It's God who passed His verdict to save the people from the would be more pangs were he led the country in this final term.
It's not curses that made him die. It needs smart brain to hold discussion about the matters concerning Magufuli's leadership on URT. And that's why am not engaging on politics topics nowdays.
As time going on and you keep growing the truth will reveal itself. Don't waste your time relax
Acha uongo
Wewe ndio unajua kila kitu sio ?
 
Time will tell, nimeshajiapiza moyoni mwangu, endapo itajulikana wazi kabisa alomuua rais wangu. Basi mimi binafsi kwa juhudi zangu binafsi na kwa njia yoyote ile uchawi, ama hadharani, lazima nimuue.
Mimi sio mchawi ila nitautafuta kwa gharama yoyote popote hapa duniani ili niue ikiwezekana kwa mkono wangu mwenyewe
Mkuu, ni KORONA.. Em ingia kazini basi😁
 
Kila mara nikikaa kuwaza au kufikiria juu ya Magufuli roho inaniumaa sana. Nawaza hivi kwa nini watu wema ndio huwa wanatangulia kuliko waovu.

Hayati Magufuli alijitahidi kutuonesha njia sisi watanzania kuwa tuna nchi ya aina gani.

Aliweza kuongea kwa ujasiri juu ya vile Tanzania imebarikiwa. Lakini hilo wasioitakia mema nchi yetu halikuwapendeza kwa kuwa alizuia maslahi yao yaliyopatikana kwa njia haramu.

Watu wengi walijitokeza kumpinga lakini yeye hilo alikumkatisha tamaa alizidi kuitumikia nchi yake Tanzania kwa uzalendo wote mpaka pale walipofanikisha adhma yake. Leo wanatamba. Eti legacy ijitetee.

Ukitazama mazingira ya kifo chake kwa kweli sio siri yanasikitisha. Ni kama vile kuna kitu nyuma yake ambayo ilikuwa a long plan ambayo ilihusisha kupoteza roho za watu wengi wasio hatia ili kutimiza lengo lao ionekana ni normal case but i think is not okay.

But i believe kama ni mipango ya watu walitakalo halitafanikiwa.
Tazama: inafikirisha sana tangu afariki Magufuli Matangazo ya Tanzia yamekwisha, is this a coincidence au? Au planned to justify someone death..??

Hapana waliohusika it's better watafutwe haiwezekani wao ndio wawe wanatuamulia nchi iweje..!

Narudia tena haiwezekani, Tanzia Tanzia Tanzia, then kimya ina maana ile Corona iliokuwa ikiua viongozi sasa imekwisha au tuingoje hata lini..? There is something fish planned and not a coincidence. Sure.

I'll always remember Hayati JPM.

I'm ready kupopolewa na Ufipa.

Muwe na usiku mwema.
Sina shida na content ya uzi wako, ni haki yako kuomboleza, na watu wote wana paswa kukupa pole endelevu! Tatizo dogo tu ni hiyo heading yako, hasa neno “living” nafikiri ungeweka neno “dead”, maana angekua living legend, kungekua na haja gani ya kumwombolezea?!
 
ubunge kitu gani we kuku wa kienyeji! Wenzio tunafurahia ukombozi ulioletwa kutoka juu mbinguni. Nchi nyingine katika hali ile huingia vitani kumwaga damu lakini siye Muumba wetu ameshuka mwenyewe kukatilia mbali muuaji mkuu! Na yajayo yanafurahisha--- Ngoja niwahi church kushukuru miye wakorintho waendeleze ukorintho aka ukahaba
muumba wenu nyumbu amejibu maombi yenu nyumbu.na akawasahulisha kwamba hata nyinyi mtakufa.

msisahau kupa sadaka hata ya kaki za kikamanda.
 
Habari .

Inasikitisha sana ukifuatilia page na post mbalimbali za Chadema wanavyotukanwa kwenye comments na wachangiaji.
Kuna group linaitwa Chadema in blood kule facebook yani kila wanachopost ni kutukanwa tu na watu, huko instagram ndiyo balaa kabisa, njoo Jamii forum hali ni hiyo hiyo!

Nimeangalia comments za kwenye hotuba ya Mbowe aliyoitoa akisema vibaya utawala wa hayati Magufuli, kwa kweli ni huzuni raia walivyomtukana Mbowe. Swali la kujiuliza Chadema imefikaje huku?
Enzi za Dr Slaa ulikuwa unavaa gwanda la Chadema kwa maringo yote ,leo tuvae kwa aibu ya kujifichaficha?
Je Tundu Lisu ameharibu image ya chama baada ya kuanza kutetea mabeberu?
Je ni Mbowe ameharibu image ya chama baada ya kuwa anaangushwa na konyagi anasingizia amepigwa na wasiojulikana?, au ule uongo wake wa kuibia familia inapompeleka mahakamani anasingizia amefungiwa akaunti zake na serikali??

Kiukweli inahitajika tathimini ya haraka sana kuikoa na kuirudisha Chadema kwa wananchi ili waiamini tena kama zamani.
Mnaotukana kwenye hiyo mitandao si nyie au mnafikiri hatuwajui. Tunawajua sana kuwa ni kikundi kinachojiita CCM mtandaoni kikiongozwa na kiongozi wenu Msiba na sasa hivi mna stress hatari maana haijulikani kama mtaendelea kupewa hizo posho.
 
Kila mara nikikaa kuwaza au kufikiria juu ya Magufuli roho inaniumaa sana. Nawaza hivi kwa nini watu wema ndio huwa wanatangulia kuliko waovu.

Hayati Magufuli alijitahidi kutuonesha njia sisi watanzania kuwa tuna nchi ya aina gani.

Aliweza kuongea kwa ujasiri juu ya vile Tanzania imebarikiwa. Lakini hilo wasioitakia mema nchi yetu halikuwapendeza kwa kuwa alizuia maslahi yao yaliyopatikana kwa njia haramu.

Watu wengi walijitokeza kumpinga lakini yeye hilo alikumkatisha tamaa alizidi kuitumikia nchi yake Tanzania kwa uzalendo wote mpaka pale walipofanikisha adhma yake. Leo wanatamba. Eti legacy ijitetee.

Ukitazama mazingira ya kifo chake kwa kweli sio siri yanasikitisha. Ni kama vile kuna kitu nyuma yake ambayo ilikuwa a long plan ambayo ilihusisha kupoteza roho za watu wengi wasio hatia ili kutimiza lengo lao ionekana ni normal case but i think is not okay.

But i believe kama ni mipango ya watu walitakalo halitafanikiwa.
Tazama: inafikirisha sana tangu afariki Magufuli Matangazo ya Tanzia yamekwisha, is this a coincidence au? Au planned to justify someone death..??

Hapana waliohusika it's better watafutwe haiwezekani wao ndio wawe wanatuamulia nchi iweje..!

Narudia tena haiwezekani, Tanzia Tanzia Tanzia, then kimya ina maana ile Corona iliokuwa ikiua viongozi sasa imekwisha au tuingoje hata lini..? There is something fish planned and not a coincidence. Sure.

I'll always remember Hayati JPM.

I'm ready kupopolewa na Ufipa.

Muwe na usiku mwema.
Sina shida na content ya uzi wako, ni haki yako kuomboleza, na watu wote wana paswa kukupa pole endelevu! Tatizo dogo tu ni hiyo heading yako, hasa neno “living” nafikiri ungeweka neno “dead”, maana angekua living legend, kungekua na haja gani ya kumwombolezea?!
 
Kila mara nikikaa kuwaza au kufikiria juu ya Magufuli roho inaniumaa sana. Nawaza hivi kwa nini watu wema ndio huwa wanatangulia kuliko waovu.

Hayati Magufuli alijitahidi kutuonesha njia sisi watanzania kuwa tuna nchi ya aina gani.

Aliweza kuongea kwa ujasiri juu ya vile Tanzania imebarikiwa. Lakini hilo wasioitakia mema nchi yetu halikuwapendeza kwa kuwa alizuia maslahi yao yaliyopatikana kwa njia haramu.

Watu wengi walijitokeza kumpinga lakini yeye hilo alikumkatisha tamaa alizidi kuitumikia nchi yake Tanzania kwa uzalendo wote mpaka pale walipofanikisha adhma yake. Leo wanatamba. Eti legacy ijitetee.

Ukitazama mazingira ya kifo chake kwa kweli sio siri yanasikitisha. Ni kama vile kuna kitu nyuma yake ambayo ilikuwa a long plan ambayo ilihusisha kupoteza roho za watu wengi wasio hatia ili kutimiza lengo lao ionekana ni normal case but i think is not okay.

But i believe kama ni mipango ya watu walitakalo halitafanikiwa.
Tazama: inafikirisha sana tangu afariki Magufuli Matangazo ya Tanzia yamekwisha, is this a coincidence au? Au planned to justify someone death..??

Hapana waliohusika it's better watafutwe haiwezekani wao ndio wawe wanatuamulia nchi iweje..!

Narudia tena haiwezekani, Tanzia Tanzia Tanzia, then kimya ina maana ile Corona iliokuwa ikiua viongozi sasa imekwisha au tuingoje hata lini..? There is something fish planned and not a coincidence. Sure.

I'll always remember Hayati JPM.

I'm ready kupopolewa na Ufipa.

Muwe na usiku mwema.
Mkuu hakuna watu wengi wanao jitokeza kumpinga, ni wachumiatumbo njaatu na maskini ambao kwa uvivuwao wa kazi wamejikuta hivyo, hao ndio wanaotapika nyongozao kwa hasira humu maana walizoea kubebwa na wajombazao mafisadi, wengine ni vyetifeki walio tumbuliwa.

Ukitaka kujua hilo angalia wenye akili waliojuwa uzalendo na maono waliamua kuunga mkono juhudi za Hayati Magu ilikujenga nchi pamoja.

Hawa humu wanaopiga makelele niwachovu wachache tu wenye ID mbili mbili.
 
muumba wenu nyumbu amejibu maombi yenu nyumbu.na akawasahulisha kwamba hata nyinyi mtakufa.

msisahau kupa sadaka hata ya kaki za kikamanda.
Mlidhani umaaluni mliokuwa mnatenda mlikuwa mnatenda mbwa! Sasa ni zamu yenu! Kuleni waya mkono kutoka juu upo kazini! Bashiri umemuona alivyovimbisha mashavu kama anayepuliza moto!? Ilifikia mahali hadi kuvamia madhabahu za muumba! Yajayo yanafurahisha---
 
Mlidhani umaaluni mliokuwa mnatenda mlikuwa mnatenda mbwa! Sasa ni zamu yenu! Kuleni waya mkono kutoka juu upo kazini! Bashiri umemuona alivyovimbisha mashavu kama anayepuliza moto!? Ilifikia mahali hadi kuvamia madhabahu za muumba! Yajayo yanafurahisha---
muumba hatabiriki na wala hana rafiki wa kudumu.

ni ujinga kudhani anapendelea sehemu fulani kwa sababu fulani,tena ni kumkasirisha kama hufahamu.
 
LINDI NA MTWARA BADO WANAMSUBIRI AKAWALIPE KOROSHO ZAO.

Hayati MR.MISIFA
 
Kila mara nikikaa kuwaza au kufikiria juu ya Magufuli roho inaniumaa sana. Nawaza hivi kwa nini watu wema ndio huwa wanatangulia kuliko waovu.

Hayati Magufuli alijitahidi kutuonesha njia sisi watanzania kuwa tuna nchi ya aina gani.

Aliweza kuongea kwa ujasiri juu ya vile Tanzania imebarikiwa. Lakini hilo wasioitakia mema nchi yetu halikuwapendeza kwa kuwa alizuia maslahi yao yaliyopatikana kwa njia haramu.

Watu wengi walijitokeza kumpinga lakini yeye hilo alikumkatisha tamaa alizidi kuitumikia nchi yake Tanzania kwa uzalendo wote mpaka pale walipofanikisha adhma yake. Leo wanatamba. Eti legacy ijitetee.

Ukitazama mazingira ya kifo chake kwa kweli sio siri yanasikitisha. Ni kama vile kuna kitu nyuma yake ambayo ilikuwa a long plan ambayo ilihusisha kupoteza roho za watu wengi wasio hatia ili kutimiza lengo lao ionekana ni normal case but i think is not okay.

But i believe kama ni mipango ya watu walitakalo halitafanikiwa.
Tazama: inafikirisha sana tangu afariki Magufuli Matangazo ya Tanzia yamekwisha, is this a coincidence au? Au planned to justify someone death..??

Hapana waliohusika it's better watafutwe haiwezekani wao ndio wawe wanatuamulia nchi iweje..!

Narudia tena haiwezekani, Tanzia Tanzia Tanzia, then kimya ina maana ile Corona iliokuwa ikiua viongozi sasa imekwisha au tuingoje hata lini..? There is something fish planned and not a coincidence. Sure.

I'll always remember Hayati JPM.

I'm ready kupopolewa na Ufipa.

Muwe na usiku mwema.
Kwani si uomboleze kimyakimya lazima utupigie makelele ?
 
Kila mara nikikaa kuwaza au kufikiria juu ya Magufuli roho inaniumaa sana. Nawaza hivi kwa nini watu wema ndio huwa wanatangulia kuliko waovu.

Hayati Magufuli alijitahidi kutuonesha njia sisi watanzania kuwa tuna nchi ya aina gani.

Aliweza kuongea kwa ujasiri juu ya vile Tanzania imebarikiwa. Lakini hilo wasioitakia mema nchi yetu halikuwapendeza kwa kuwa alizuia maslahi yao yaliyopatikana kwa njia haramu.

Watu wengi walijitokeza kumpinga lakini yeye hilo alikumkatisha tamaa alizidi kuitumikia nchi yake Tanzania kwa uzalendo wote mpaka pale walipofanikisha adhma yake. Leo wanatamba. Eti legacy ijitetee.

Ukitazama mazingira ya kifo chake kwa kweli sio siri yanasikitisha. Ni kama vile kuna kitu nyuma yake ambayo ilikuwa a long plan ambayo ilihusisha kupoteza roho za watu wengi wasio hatia ili kutimiza lengo lao ionekana ni normal case but i think is not okay.

But i believe kama ni mipango ya watu walitakalo halitafanikiwa.
Tazama: inafikirisha sana tangu afariki Magufuli Matangazo ya Tanzia yamekwisha, is this a coincidence au? Au planned to justify someone death..??

Hapana waliohusika it's better watafutwe haiwezekani wao ndio wawe wanatuamulia nchi iweje..!

Narudia tena haiwezekani, Tanzia Tanzia Tanzia, then kimya ina maana ile Corona iliokuwa ikiua viongozi sasa imekwisha au tuingoje hata lini..? There is something fish planned and not a coincidence. Sure.

I'll always remember Hayati JPM.

I'm ready kupopolewa na Ufipa.

Muwe na usiku mwema.
Angekuwa shujaa kweli na msafi asinge mchukia prof. Assad kumkagua na kueleza wizi wake wa matrilion huku akijificha kwenye mgongo wa kuita watu wanyonge, huyo shujaa wenu wa chato hajafikia na hata fikia level ya hata kuwa shujaa wa mkoa

Shujaa anakimbia kukosolewa na ukimkosoa unapotea huyo ni shujaa au jambazi? Shujaa hataki kupingwa na yeyote shujaa alionesha njia gani kwa mfano kufungia vyombo vya habari vinavyo mwambia ukweli na kueleza madhaifu yake? Huyo shujaa wenu vipi jaman? Msipingane na ukweli kwamba mungu ameona ni vyema na ni haki shujaa wenu huyo apumzishwe milele.
 
Habari .

Inasikitisha sana ukifuatilia page na post mbalimbali za Chadema wanavyotukanwa kwenye comments na wachangiaji.
Kuna group linaitwa Chadema in blood kule facebook yani kila wanachopost ni kutukanwa tu na watu, huko instagram ndiyo balaa kabisa, njoo Jamii forum hali ni hiyo hiyo!

Nimeangalia comments za kwenye hotuba ya Mbowe aliyoitoa akisema vibaya utawala wa hayati Magufuli, kwa kweli ni huzuni raia walivyomtukana Mbowe. Swali la kujiuliza Chadema imefikaje huku?
Enzi za Dr Slaa ulikuwa unavaa gwanda la Chadema kwa maringo yote ,leo tuvae kwa aibu ya kujifichaficha?
Je Tundu Lisu ameharibu image ya chama baada ya kuanza kutetea mabeberu?
Je ni Mbowe ameharibu image ya chama baada ya kuwa anaangushwa na konyagi anasingizia amepigwa na wasiojulikana?, au ule uongo wake wa kuibia familia inapompeleka mahakamani anasingizia amefungiwa akaunti zake na serikali??

Kiukweli inahitajika tathimini ya haraka sana kuikoa na kuirudisha Chadema kwa wananchi ili waiamini tena kama zamani.
Dogo, jikite kwenye mada..

Hizi propaganda za kitoto zilisha buma kitambo. Hata mwenzako musiba anajua.

Ukitaka kujua Cdm ipo juu kuliko ccm kwa Tz bara, itisha uchaguzi HURU (kusiwe na figisu wala wizi wa kura) jimbo lolote uone
 
Kila mara nikikaa kuwaza au kufikiria juu ya Magufuli roho inaniumaa sana. Nawaza hivi kwa nini watu wema ndio huwa wanatangulia kuliko waovu.

Hayati Magufuli alijitahidi kutuonesha njia sisi watanzania kuwa tuna nchi ya aina gani.

Aliweza kuongea kwa ujasiri juu ya vile Tanzania imebarikiwa. Lakini hilo wasioitakia mema nchi yetu halikuwapendeza kwa kuwa alizuia maslahi yao yaliyopatikana kwa njia haramu.

Watu wengi walijitokeza kumpinga lakini yeye hilo alikumkatisha tamaa alizidi kuitumikia nchi yake Tanzania kwa uzalendo wote mpaka pale walipofanikisha adhma yake. Leo wanatamba. Eti legacy ijitetee.

Ukitazama mazingira ya kifo chake kwa kweli sio siri yanasikitisha. Ni kama vile kuna kitu nyuma yake ambayo ilikuwa a long plan ambayo ilihusisha kupoteza roho za watu wengi wasio hatia ili kutimiza lengo lao ionekana ni normal case but i think is not okay.

But i believe kama ni mipango ya watu walitakalo halitafanikiwa.
Tazama: inafikirisha sana tangu afariki Magufuli Matangazo ya Tanzia yamekwisha, is this a coincidence au? Au planned to justify someone death..??

Hapana waliohusika it's better watafutwe haiwezekani wao ndio wawe wanatuamulia nchi iweje..!

Narudia tena haiwezekani, Tanzia Tanzia Tanzia, then kimya ina maana ile Corona iliokuwa ikiua viongozi sasa imekwisha au tuingoje hata lini..? There is something fish planned and not a coincidence. Sure.

I'll always remember Hayati JPM.

I'm ready kupopolewa na Ufipa.

Muwe na usiku mwema.
hahaaa haaaa kichekesho kweli
 
muumba hatabiriki na wala hana rafiki wa kudumu.

ni ujinga kudhani anapendelea sehemu fulani kwa sababu fulani,tena ni kumkasirisha kama hufahamu.
Nyie mlishamtambua mwenda zake kuwa ni mungu "nukuu ya Kabudi" na wengine wakamtambua kama yesu kristo Nukuu ya kangi lugola. Na wengine wakasema ni zaidi ya manabii isa na mtume mohamed "nukuu" ya sheikh wa Dar. Kiongozi wa malaika "nukuu ya mwendazake"
Ukweli ilikuwa hakuna jinsi ila kumbeba kiumbe aliyejifananisha na muumba poleni lakini tuanze upya sasa at a level ground!
 
Habari .

Inasikitisha sana ukifuatilia page na post mbalimbali za Chadema wanavyotukanwa kwenye comments na wachangiaji.
Kuna group linaitwa Chadema in blood kule facebook yani kila wanachopost ni kutukanwa tu na watu, huko instagram ndiyo balaa kabisa, njoo Jamii forum hali ni hiyo hiyo!

Nimeangalia comments za kwenye hotuba ya Mbowe aliyoitoa akisema vibaya utawala wa hayati Magufuli, kwa kweli ni huzuni raia walivyomtukana Mbowe. Swali la kujiuliza Chadema imefikaje huku?
Enzi za Dr Slaa ulikuwa unavaa gwanda la Chadema kwa maringo yote ,leo tuvae kwa aibu ya kujifichaficha?
Je Tundu Lisu ameharibu image ya chama baada ya kuanza kutetea mabeberu?
Je ni Mbowe ameharibu image ya chama baada ya kuwa anaangushwa na konyagi anasingizia amepigwa na wasiojulikana?, au ule uongo wake wa kuibia familia inapompeleka mahakamani anasingizia amefungiwa akaunti zake na serikali??

Kiukweli inahitajika tathimini ya haraka sana kuikoa na kuirudisha Chadema kwa wananchi ili waiamini tena kama zamani.
Mzee mbona unajitia dole na kunusa mwenyewe
Eti chadema wanatukanwa kila sehemu kwani umesahau mwaka jana kwenye kampeini chadema ilijaza watu na huyo mwendazake akiwa anapondwa?

Ila endelea kunusa hilo dole lako mwisho utachoka maana aliyesema chadema itakufa kafa yeye
 
Back
Top Bottom