Mpaka sasa bado sijaona makosa ya Hayati Magufuli labda kosa alilonalo ni kuipenda Tanzania kwa maisha yake na huo ndio upendo wa kweli.

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
2,590
4,603
Mpaka sasa najaribu kutafuta makosa ya Hayati JPM nikiri kusema sijaona makosa yoyote labda pengine macho yangu yameamua kuangalia yanayopendezwa nayo au kwa sababu nyingine yoyote ila sijaona.

Nakumbuka Hayati aliwahi kusema alikuwa anafuatwa na makandarasi na kumuahidi mabilioni ya shilingi ili kupata upendeleo kwenye tenda za ujenzi lakini aligoma kufanya hivyo kwa mapenzi aliyokuwa nayo kwa nchi hii.

Kama angeamua kuchukua kutoka kwao bilioni 1 kwa kila mkandarasi ukizidisha kwa jumla ya wakandarasi labda wapo 4000 au 5000, Hayati angekuwa na utajiri wa shilingi trilion 4 au 5 za kitanzania ni kusema kwamba angekuwa tajiri namba moja Tanzania lakini hakuwa na utajiri huo wala wa hata robo wala hata 0.2% ya huo utajiri.

Hii yote ni kuonesha mapenzi makubwa aliyokuwa nayo Hayati JPM ,shujaa anayeliliwa kila leo na kila mtu. Hakuwa na makosa yoyote Bali aliacha alama ya kudumu.

Neno la Mungu kupitia Biblia linasema ni furaha gani mtu aliyonayo anapojitoa maisha yake kwa ajili ya wengine. Si furaha ndogo ni kubwa sana na JPM alipo anaiona ,anahihisi furaha hiyo kuu kama ambavyo nasi tunavyoiona.

Narudia Tena kosa pekee alilonalo Hayati Magufuli ni kulipenda Taifa hili kwa uhai wake , upendo wa juu kabisa wa mwanadamu kwa wengine. Mnaoona makosa kwake nionesheni, maana mimi sijayaona?
 
Mpaka sasa najaribu kutafuta makosa ya Hayati JPM nikiri kusema sijaona makosa yoyote labda pengine macho yangu yameamua kuangalia yanayopendezwa nayo au kwa sababu nyingine yoyote ila sijaona.

Nakumbuka Hayati aliwahi kusema alikuwa anafuatwa na makandarasi na kumuahidi mabilioni ya shilingi ili kupata upendeleo kwenye tenda za ujenzi lakini aligoma kufanya hivyo kwa mapenzi aliyokuwa nayo kwa nchi hii.

Kama angeamua kuchukua kutoka kwao bilioni 1 kwa kila mkandarasi ukizidisha kwa jumla ya wakandarasi labda wapo 4000 au 5000, Hayati angekuwa na utajiri wa shilingi trilion 4 au 5 za kitanzania ni kusema kwamba angekuwa tajiri namba moja Tanzania lakini hakuwa na utajiri huo wala wa hata robo wala hata 0.2% ya huo utajiri.

Hii yote ni kuonesha mapenzi makubwa aliyokuwa nayo Hayati JPM ,shujaa anayeliliwa kila leo na kila mtu. Hakuwa na makosa yoyote Bali aliacha alama ya kudumu.

Neno la Mungu kupitia Biblia linasema ni furaha gani mtu aliyonayo anapojitoa maisha yake kwa ajili ya wengine. Si furaha ndogo ni kubwa sana na JPM alipo anaiona ,anahihisi furaha hiyo kuu kama ambavyo nasi tunavyoiona.

Narudia Tena kosa pekee alilonalo Hayati Magufuli ni kulipenda Taifa hili kwa uhai wake , upendo wa juu kabisa wa mwanadamu kwa wengine. Mnaoona makosa kwake nionesheni, maana mimi sijayaona?
Ama kwa hakika ww ni mwilapwa kwelikweli!! Btw tafiti kama hizi wanapaswa wazifanye wale wasio na mrengo wowote! Over
 
Mpaka sasa najaribu kutafuta makosa ya Hayati JPM nikiri kusema sijaona makosa yoyote labda pengine macho yangu yameamua kuangalia yanayopendezwa nayo au kwa sababu nyingine yoyote ila sijaona.

Nakumbuka Hayati aliwahi kusema alikuwa anafuatwa na makandarasi na kumuahidi mabilioni ya shilingi ili kupata upendeleo kwenye tenda za ujenzi lakini aligoma kufanya hivyo kwa mapenzi aliyokuwa nayo kwa nchi hii.

Kama angeamua kuchukua kutoka kwao bilioni 1 kwa kila mkandarasi ukizidisha kwa jumla ya wakandarasi labda wapo 4000 au 5000, Hayati angekuwa na utajiri wa shilingi trilion 4 au 5 za kitanzania ni kusema kwamba angekuwa tajiri namba moja Tanzania lakini hakuwa na utajiri huo wala wa hata robo wala hata 0.2% ya huo utajiri.

Hii yote ni kuonesha mapenzi makubwa aliyokuwa nayo Hayati JPM ,shujaa anayeliliwa kila leo na kila mtu. Hakuwa na makosa yoyote Bali aliacha alama ya kudumu.

Neno la Mungu kupitia Biblia linasema ni furaha gani mtu aliyonayo anapojitoa maisha yake kwa ajili ya wengine. Si furaha ndogo ni kubwa sana na JPM alipo anaiona ,anahihisi furaha hiyo kuu kama ambavyo nasi tunavyoiona.

Narudia Tena kosa pekee alilonalo Hayati Magufuli ni kulipenda Taifa hili kwa uhai wake , upendo wa juu kabisa wa mwanadamu kwa wengine. Mnaoona makosa kwake nionesheni, maana mimi sijayaona?
Kwa hiyo ukiipend Tanzania ndio unaiba 1.5 trillion, unapika data za TRA, unafungia ripoti ya CAG, unafanya maamuzi pasi lupitishwa na bunge, unaua, unateka, unatukana wananchi, unajipa umungu mpaka viongozi wa chini yako wanakuita mungu, unapiga risasi hadharani na kutesa vyama pinzani, unaiba uvhaguzi bila aibu

Kama huku ndio kuipenda Tanzania basi mimi sitaki kabisa kuipenda Tanzania
 
Mpaka sasa najaribu kutafuta makosa ya Hayati JPM nikiri kusema sijaona makosa yoyote labda pengine macho yangu yameamua kuangalia yanayopendezwa nayo au kwa sababu nyingine yoyote ila sijaona.

Nakumbuka Hayati aliwahi kusema alikuwa anafuatwa na makandarasi na kumuahidi mabilioni ya shilingi ili kupata upendeleo kwenye tenda za ujenzi lakini aligoma kufanya hivyo kwa mapenzi aliyokuwa nayo kwa nchi hii.

Kama angeamua kuchukua kutoka kwao bilioni 1 kwa kila mkandarasi ukizidisha kwa jumla ya wakandarasi labda wapo 4000 au 5000, Hayati angekuwa na utajiri wa shilingi trilion 4 au 5 za kitanzania ni kusema kwamba angekuwa tajiri namba moja Tanzania lakini hakuwa na utajiri huo wala wa hata robo wala hata 0.2% ya huo utajiri.

Hii yote ni kuonesha mapenzi makubwa aliyokuwa nayo Hayati JPM ,shujaa anayeliliwa kila leo na kila mtu. Hakuwa na makosa yoyote Bali aliacha alama ya kudumu.

Neno la Mungu kupitia Biblia linasema ni furaha gani mtu aliyonayo anapojitoa maisha yake kwa ajili ya wengine. Si furaha ndogo ni kubwa sana na JPM alipo anaiona ,anahihisi furaha hiyo kuu kama ambavyo nasi tunavyoiona.

Narudia Tena kosa pekee alilonalo Hayati Magufuli ni kulipenda Taifa hili kwa uhai wake , upendo wa juu kabisa wa mwanadamu kwa wengine. Mnaoona makosa kwake nionesheni, maana mimi sijayaona?
Sijakuelewa kwa kweli maana umesema mpaka sasa ujaona kosa la hayati magufuli lakini apoapo unasema kwamba kosa lake kubwa lilikuwa ni kupenda nchi yake.. ARE U SERIOUSLY
 
Ukitizama Ni Chuki Binafsi na Wivu Uliopitiliza.

Nakumbuka Hayati aliwahi kusema alikuwa anafuatwa na makandarasi na kumuahidi mabilioni ya shilingi ili kupata upendeleo kwenye tenda za ujenzi
.....Ikiwa na pamoja na Chamwino Dodoma Kabla hata hajakuwa Waziri, Ukweli mtupu. Walihangaika sana. Nyakati zile, unasikia 'Wizarani pagumu sasa hivi'
 
Mpaka sasa najaribu kutafuta makosa ya Hayati JPM nikiri kusema sijaona makosa yoyote labda pengine macho yangu yameamua kuangalia yanayopendezwa nayo au kwa sababu nyingine yoyote ila sijaona.

Nakumbuka Hayati aliwahi kusema alikuwa anafuatwa na makandarasi na kumuahidi mabilioni ya shilingi ili kupata upendeleo kwenye tenda za ujenzi lakini aligoma kufanya hivyo kwa mapenzi aliyokuwa nayo kwa nchi hii.

Kama angeamua kuchukua kutoka kwao bilioni 1 kwa kila mkandarasi ukizidisha kwa jumla ya wakandarasi labda wapo 4000 au 5000, Hayati angekuwa na utajiri wa shilingi trilion 4 au 5 za kitanzania ni kusema kwamba angekuwa tajiri namba moja Tanzania lakini hakuwa na utajiri huo wala wa hata robo wala hata 0.2% ya huo utajiri.

Hii yote ni kuonesha mapenzi makubwa aliyokuwa nayo Hayati JPM ,shujaa anayeliliwa kila leo na kila mtu. Hakuwa na makosa yoyote Bali aliacha alama ya kudumu.

Neno la Mungu kupitia Biblia linasema ni furaha gani mtu aliyonayo anapojitoa maisha yake kwa ajili ya wengine. Si furaha ndogo ni kubwa sana na JPM alipo anaiona ,anahihisi furaha hiyo kuu kama ambavyo nasi tunavyoiona.

Narudia Tena kosa pekee alilonalo Hayati Magufuli ni kulipenda Taifa hili kwa uhai wake , upendo wa juu kabisa wa mwanadamu kwa wengine. Mnaoona makosa kwake nionesheni, maana mimi sijayaona?
Sawq
 
Mpaka sasa najaribu kutafuta makosa ya Hayati JPM nikiri kusema sijaona makosa yoyote labda pengine macho yangu yameamua kuangalia yanayopendezwa nayo au kwa sababu nyingine yoyote ila sijaona.

Nakumbuka Hayati aliwahi kusema alikuwa anafuatwa na makandarasi na kumuahidi mabilioni ya shilingi ili kupata upendeleo kwenye tenda za ujenzi lakini aligoma kufanya hivyo kwa mapenzi aliyokuwa nayo kwa nchi hii.

Kama angeamua kuchukua kutoka kwao bilioni 1 kwa kila mkandarasi ukizidisha kwa jumla ya wakandarasi labda wapo 4000 au 5000, Hayati angekuwa na utajiri wa shilingi trilion 4 au 5 za kitanzania ni kusema kwamba angekuwa tajiri namba moja Tanzania lakini hakuwa na utajiri huo wala wa hata robo wala hata 0.2% ya huo utajiri.

Hii yote ni kuonesha mapenzi makubwa aliyokuwa nayo Hayati JPM ,shujaa anayeliliwa kila leo na kila mtu. Hakuwa na makosa yoyote Bali aliacha alama ya kudumu.

Neno la Mungu kupitia Biblia linasema ni furaha gani mtu aliyonayo anapojitoa maisha yake kwa ajili ya wengine. Si furaha ndogo ni kubwa sana na JPM alipo anaiona ,anahihisi furaha hiyo kuu kama ambavyo nasi tunavyoiona.

Narudia Tena kosa pekee alilonalo Hayati Magufuli ni kulipenda Taifa hili kwa uhai wake , upendo wa juu kabisa wa mwanadamu kwa wengine. Mnaoona makosa kwake nionesheni, maana mimi sijayaona?
Yaani hata Upatikanaji wa Bunge la Ovyo....hujui kosa ni la nani!?
 
Kwa hiyo ukiipend Tanzania ndio unaiba 1.5 trillion, unapika data za TRA, unafungia ripoti ya CAG, unafanya maamuzi pasi lupitishwa na bunge, unaua, unateka, unatukana wananchi, unajipa umungu mpaka viongozi wa chini yako wanakuita mungu, unapiga risasi hadharani na kutesa vyama pinzani, unaiba uvhaguzi bila aibu

Kama huku ndio kuipenda Tanzania basi mimi sitaki kabisa kuipenda Tanzania
Umemezeshwa maneno😂
😂😂😂😂😂.
Umeyatema kana Kasuku wa murogolo!

Tatizo mnayasema hayo yote bila ya Ushahidi. Weka ushahidi mmoja tu wa lolote uliyoorodhesha. Moja tu.
 
Mpaka sasa najaribu kutafuta makosa ya Hayati JPM nikiri kusema sijaona makosa yoyote labda pengine macho yangu yameamua kuangalia yanayopendezwa nayo au kwa sababu nyingine yoyote ila sijaona.

Nakumbuka Hayati aliwahi kusema alikuwa anafuatwa na makandarasi na kumuahidi mabilioni ya shilingi ili kupata upendeleo kwenye tenda za ujenzi lakini aligoma kufanya hivyo kwa mapenzi aliyokuwa nayo kwa nchi hii.

Kama angeamua kuchukua kutoka kwao bilioni 1 kwa kila mkandarasi ukizidisha kwa jumla ya wakandarasi labda wapo 4000 au 5000, Hayati angekuwa na utajiri wa shilingi trilion 4 au 5 za kitanzania ni kusema kwamba angekuwa tajiri namba moja Tanzania lakini hakuwa na utajiri huo wala wa hata robo wala hata 0.2% ya huo utajiri.

Hii yote ni kuonesha mapenzi makubwa aliyokuwa nayo Hayati JPM ,shujaa anayeliliwa kila leo na kila mtu. Hakuwa na makosa yoyote Bali aliacha alama ya kudumu.

Neno la Mungu kupitia Biblia linasema ni furaha gani mtu aliyonayo anapojitoa maisha yake kwa ajili ya wengine. Si furaha ndogo ni kubwa sana na JPM alipo anaiona ,anahihisi furaha hiyo kuu kama ambavyo nasi tunavyoiona.

Narudia Tena kosa pekee alilonalo Hayati Magufuli ni kulipenda Taifa hili kwa uhai wake , upendo wa juu kabisa wa mwanadamu kwa wengine. Mnaoona makosa kwake nionesheni, maana mimi sijayaona?
Shikilia Ukweli unaoujua.
 
Usitukumbushe machungu ya rais wetu mzalendo na makini katika uongozi.!

Udhaifu pekee ni kuingiza wabunge ccm tuu na kutopenda kukosolewa.

Nikipewa ku rate Magufuli nampa 84%
Samia 87%

Swala la wabunge pekee wa ccm,lilitokana na upinzani kutosimamia ajenda maalum.

Kila kitu wanakataa,kila kitu wanakubali.

Akaona hawa ni wahuni tu.
 
Kwa hiyo ukiipend Tanzania ndio unaiba 1.5 trillion, unapika data za TRA, unafungia ripoti ya CAG, unafanya maamuzi pasi lupitishwa na bunge, unaua, unateka, unatukana wananchi, unajipa umungu mpaka viongozi wa chini yako wanakuita mungu, unapiga risasi hadharani na kutesa vyama pinzani, unaiba uvhaguzi bila aibu

Kama huku ndio kuipenda Tanzania basi mimi sitaki kabisa kuipenda Tanzania
1.5 trillion haikuibwa, bali ilienda kwenye matumizi nje ya bajeti iliyopitishwa na Bunge!
 
1.5 Trilion
Fedha za Plea Bargain
Fedha za Bureu de Change
Fedha za vitambulisho vya wachinga
Uhuni wa uchafuzi aliouita uchaguzi wa serikali za mitaa madiwani na wabunge
Sarakasi zake Kijijini kwao Chato
 
Kama huku ndio kuipenda Tanzania basi mimi sitaki kabisa kuipenda Tanzania
Mkuu, ungetukumbusha pia kuwa weww ni NANI labda.

Kwani umeshapewa hiyo nafasi ya kuipenda nchi?

Unayo ushahidi wa kila uliloliongea?

Kariakoo wamegoma kule!
 
Alikuwa Rais wa hovyo sana...

1.Kuwanyima watumishi haki zao za kisheria halikuwa kosa? Hakupandisha madaraja kwa wakati, hakuna cha nyongeza ya mshahara, na akafanya uhamisho ukawa mgumu sana (hata kwa wale waliotaka kusogea karibu na wenzi wao).

2.Na wale wakulima wa korosho nao aliwapenda? Watu wanadai hela zao kisha yeye akawatishia kuwapiga, hadi na shangazi zao. Ile ilikuwa sawa kweli?

Ndo maana roho yake na hata lile 'bichwa' lake lenye komwe vilifanana na korosho.
 
Back
Top Bottom