kalaghesye
Member
- Jan 16, 2012
- 79
- 11
Mgonjwa wa rafiki yangu alikufa kwa kukosekana vifaa vya kumfanyia operesheni. Je, hiyo ni mgomo wa madaktari. Tuweke uwigo mpana wa kujadili hili suala. Hata madaktari wakiwa kazini wagonjwa wanakufa kwa kukosa huduma. Mbona watanzania tunapenda kuhalalisha shida ambazo si shida .... maana huduma duni kwenye mahospitali ni matokeo ya UFISADI. Mbona hatuwasemi hawa mafisadi na kuingia mtaani kama tunavyowasema madaktari!?