A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

maundumula pole sana...labda nawe ni mmojawapo wa wale thenashara wanaofaidi hali halisi...imefika mwisho sasa
 
Wanajamvi

Nimesikia kuwa J Kikwete anategemea kwenda kumuona Dr Ulimboka Mchana huu


Stay tuned
 
Hivyo ndivyo walimfanyia Dokta wa watu??? Jamani ............... Jamani ............... Jamani............. hivi kumbe kuna ukatili wa kutisha hivi TANZANIA???? YAANI WANAFANYA LIVE - WALA HAWAOGOPI????? Of course its obvious - ni kwa vile ni kiongozi wa mgomo ..........na nia ni kunyamazisha hao madaktari ...............HOW I HATE THE CCM GOVERNMENT - I HATE THE PRESIDENT - I HATE THE PRIME MINISTERS ...........AND GOD HATES THEM MORE.

Dokta pole sana.
 
Wanajamvi

Nimesikia kuwa J Kikwete anategemea kwenda kumuona Dr Ulimboka Mchana huu


Stay tuned

Utasikia kujikosha anajidai serikali itagharamia matibabu yake apelekwe India..... hiyo ni baada ya kuona huyo bwana hakufa..... Madaktari kataeni asimwone... kwanza kwa hali yake hatakiwi kuonana na watu...wanaweza kumsababishia ugonjwa zaidi.
 
Kaka Nakuheshimu sana siyo kweli usemayo kuwa wao wanagoma kisa eti mshahara tu, serikali imeshindwa kuboresha hopspitali zake, vituo vyake vya afya vilivyoko vijijini hasa huko walikotoka bibi zako. Au unadhani ukiwa unafaidika na mfumo uliopo wanachi tuliopo vijijini au katika makando ya nchi hii tunaneemekaje au kwa vile nyie mpo Dar na kuna huduma bora ndiyo Watanganyika?

Madaktari waache Politics wakafanye kazi zao. Tulipokuwa tunasoma kila mtu alichagua njia yake ya maisha kwa sababu mbali mbali sitaki kuamini kwamba motivation yao ilikuwa ni mapesa tu!
 
Huu ni ukatili uliopitiliza, sijui watu hawa walitegemea nini, wanachotakiwa kujua ni kwamba hiyo haikuwa njia sahihi kumaliza hili tatizo
 
If they wanted him DEAD, he'd be dead by now, na mngekuwa mnaongea mambo mengine kabisa.......probably, they still need him for something..........the big question is wat is it??

and kimtazamo wangu, 1st, wat has bin done to him isnt fair, Unless, he(ulimboka) framed it....najua kwa hili, wengi mtanilaumu, but mkisoma stories nyingi kama hizi, mtaona, ulimboka hatokuwa wa kwanza, kufake something like this, but FOR GOOD REASONS..............cause, seriously, kama wangetaka afe, angekufa longtym........

2dnly, killing one person for the benefit of two or more people, i find it reasonable................
haya ni matatizo ya kuangalia tamthilia za Thailand!!!!
 
Madaktari hawapo katika kutetea huduma za afya wangekuwa wanatetea kuboreshwa huduma wasingekuwa wanagoma kuacha watu wafe. Wao wapo ki maslahi binafsi!

Pole kweli wewe, hivi unawezaje kumuhudumia mgonjwa mahututi wakati huohuo unamwambia kalete Groves,

kwa huko vijijini mama mzizi anaambiwa njoo na na mafuta ya taa ya kuchemshia maji, kuwasha taa, groves na maji yake.

hii kazi ni ngumu sana na ni hatari pia (naamini unanielewa )
 
Kila mtu atalipwa sawasawa na matendo na maneno yake sasa sijui weye mwenzangu utasimama wapi siku hiyo, Mungu anasema jambo moja anachukia nalo ni UNAFIKI na katika muktadha huu Umeonyesha UNAFIKI WA HALI YA JUU.
Madaktari waache Politics wakafanye kazi zao. Tulipokuwa tunasoma kila mtu alichagua njia yake ya maisha kwa sababu mbali mbali sitaki kuamini kwamba motivation yao ilikuwa ni mapesa tu!
 
Utasikia kujikosha anajidai serikali itagharamia matibabu yake apelekwe India..... hiyo ni baada ya kuona huyo bwana hakufa..... Madaktari kataeni asimwone... kwanza kwa hali yake hatakiwi kuonana na watu...wanaweza kumsababishia ugonjwa zaidi.

Unaweza kumkatalia mkuu wa nchi hasimuone mwananchi wake? sijui! Hata hivyo, huo si uamuzi wa maDaktari kumkatalia Rais kwenda kumuona Daktari mwenzao..bali ni uamuzi wa Dr Ulimboka mwenyewe na familia yake. Au Daktari mwangalizi wa Ulimboka anaweza kataa kwa misingi ya kitabibu kuwa mgonjwa wake hana hali nzuri kiasi cha kutembelewa!
 
[h=6]madaktari.
Washenzi kabisa.
Pengine hawana dini ni 'makafiri'.
Mmepewa fani muhimu sana kwa maisha yetu kama wanadamu.
Mnapogoma kwa sababu ya madai yenu kwa serikali, hamtutendei haki watanzania, hasa sisi wa kipato duni tunaojazana kwenye hospitali zenu zenye huduma mbofu mbofu.
Eti mnagoma kuishinikiza serikali, hao wakubwa waa swrikalini wana uwezo wa kutibiwa popote hata kama msingekupo ninyi.

Kuna wapumbavu wengine wanalishabikia hili suala kisiasa, acheni hizo.

Fikiria kama wewe ndo ungekuwa pale na mgonjwa wako mahututi halafu unambiwa kuna mgomo..

Uzalendo unahitajika!

Mbona enzi ya mwalimu hakukuwa upuuzi huu?

Eti migomo inatokea wakati huu ambao wenye taaluma hiyo tunashudia wakiishi maisha ya kifahari.[/h]
 
wanagoma na mwisho wa mwezi wanaenda na ATM kudraw Bank fedha zetu walipa kodi huku wagonjwa wetu wanakufa hospitali. hii ni halali? kwanini waendelee kulipwa mwezi huu? kwanini serikali haigomi kuwalipa kwa kususa kwao? hawatendi haki hata kidogo.
 
madoc msikubali amuone steve tumieni taaluma yenu asije akamuambukiza udhaifu doc steve.:lock1:
 
wanagoma na mwisho wa mwezi wanaenda na ATM kudraw Bank fedha zetu walipa kodi huku wagonjwa wetu wanakufa hospitali. hii ni halali? kwanini waendelee kulipwa mwezi huu? kwanini serikali haigomi kuwalipa kwa kususa kwao? hawatendi haki hata kidogo.
 
Wewe mvivu wa kufikiri, serikali haiwezi kufanya mbinu dhaifu kama hiyo, bila shaka system inawatu waliofundishwa kufanya hivyo kwa ustadi mkubwa na sio Tanzania tu, nchi zote duniani zina watu hao. Serikali haiwezi kumuua mtu na kuacha 'traces" rahisi hivyo. Kumbuka hawa madaktari wamesababisha watu wengi kufukuzwa kazi, wengi wamefiwa na ndugu zao wapendwa wakati wa mgomo, sasa kwanini hamkuanzia hapo. Unakurupuka na kuishtumu serikali, mawazo yaleyale ya chuki kama yakina Kijo Disimba. Usiwe mchovu wa kufikiri, tumia kichwa kuamua sio moyo
 
Kwa vyovyote vile hiyo ni serikali ya ccm,lakini hata wamuue watainuka kina Ulimboka wengine,hawajamaliza tatizo ndo kwanza wanaongeza tatizo,mtu wa kawaida hawezi fanya hayo yaliyotokea,hiyo ni serikali dhalimu,chinjachinja,wala rushwa,freemason,wachawi,wenye kila aina ya ushenzi na rais wao legelege
 
Back
Top Bottom