A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

nimefuatalia na kusikiliza hili suala la Dr. Ulimboka kwa makini sana. Tunapoleekea Watanzania ni kubaya mno ukiangalia matatizo ya nchi kama madagasca, Tunisia, Libya na Hata Syria ni vitu kama hivi kuanza na mtu mmoja kama ilivyo kwa Dr. Ulimboka.Si ajabu kuanzia leo ukaiona jumuia ya Madaktari wakiingia mtaani kutaka kuiwajibisha serikali na watu wengine wakaungana nao....

Nafikiri kama watanzania we need to do something rather than kuelezea tatizo, we all agree that we have a serious problem with rulers .
 
Nijuavyo mimi katika hali ile regardless who it was Kituo cha Tegeta as a matter of procedure walitakiwa wampeleke hospitali. Cha kushangaza tunaona Mwanaharakati wa haki za binadamu ndo aliyekwenda kumpeleka hospitali

Pia kuhusika kwa mtu toka ikulu

Pia state propaganda machinery TV ya taifa haikucover hiyo story

Pia kauli ya Pinda before and after the incident
You have a point mate.
 
Nasikia Dr Ulimboka alikuwa Jolly alipofikwa na maafa haya ni kweli?
 
Wale walevi wa kwa Davis pale Kijitonyama manifest well who these guys are....kawaone wanavyo behave in their free time

Ni kweli mkuu,tatizo usalama wa taifa wa Tanzania wengi wao huwa wanaingizwa watoto na
ndugu wa makada wa ccm,hivyo huu ni usalama wa ccm siyo wa Taifa.
 
Serikali haina cha kukwepa!

"Liwalo na liwe"
 
Mazingira na mpango wa tukio haukutekelezwa kitaalamu kwa kiwango cha wale wenye kazi hiyo unaofikiria wewe. Lazima tutizame pande zote kwani mpango na njama yenyewe haikufanywa kitaalamu. Tunakumbuka wengi waliokufa katika mazingira tata mfano Kolimba, Katabalo nk. Inaonekana waliofanya tukio hili hawana uzoefu unaomaanisha wewe.

Haukutekezwa nkitaalamu ili waweze kusingizia kuwa ni maadui wa Dr. Ulimboka ndio wamehusika. Usishangae uchunguzi wa polisi ukija na maswali badala ya majibu
 
Acha uvivu, kwenye profile yangu nimeandika nipo huku majuu tangu nilipo ingia JF 2007.
Si kitu kipya mimi kuwa huku labda wewe ni mpya hapa JF
Siujui ulitaka niseme uongo kama wa CCM na kusema nipo Kimanzichana?



Naona ulitaka tu kutufahamisha kwamba upo majuu mwenzetu, HONGERA.
 
Nafikiri kama watanzania we need to do something rather than kuelezea tatizo, we all agree that we have a serious problem with rulers .

I do agree with you hapo kwente red but tukubali pia Watanzania pia tuna problem vichwani mwetu. Haiwezekani tumekaa anakuja mtu anakutia vidole machoni unakazana kumwambia kiupole tena kwa kubembeleza ....wee aaaachaaa, bwana aaachaa ah, unajua mwendhio naumia achaah (kama Joti anapoigiza mtoto mdogo kwenye TV).....

Tujifunze kudai haki zetu kimatendo na kama hatuzijui basi tujitahidi kuzijua!
 
Acha uvivu, kwenye profile yangu nimeandika nipo huku majuu tangu nilipo ingia JF 2007.
Si kitu kipya mimi kuwa huku labda wewe ni mpya hapa JF
Siujui ulitaka niseme uongo kama wa CCM na kusema nipo Kimanzichana?

Sasa kama ulishaweka kwenye profile ilikuwa na haja gani kutufahamisha kwamba unabeba maboksi huko nje?
 
Nimeomba kujua hali yake kwasasa je haya ni yanini kuwa amechapwaje? Madaktari wanafanya kazi yao vizuri kumsaidia je wamefikia wapi?
 
you can kill a revolutionary but you can not kill revolution...afeni shakur,the mother of the late tupac shakur
 
Prof....Sijaelewa hapo kwenye Red unamaanisha nini..
Hatuna utamaduni wa kuwajibika...only very few.... record yangu ina majina machache sana....Ally Hassan Mwinyi, Augustine L. Mrema, Edward N.Lowassa na Peter Mavunde.....

May be kama unadhani hao kwenye Red nao wanaweza kuingia katika historia ya kuwajibika though for what.....Mbona yametokea mengi waliyopasa kuwajibika lakini wamekula jiwe...

Mkirua, Unakumbuka Pinda katika moja wapo ya mabunge ya hivi kiaribuni alijaribu kuwajibika hasa kulinda heshima yake, ila unadhani nini kilitokea? Katika uchaguzi uliopita, wakati wanatangaza matokeo ya Uraisi unakumbuka reaction ya Raisi pale wana-CCM walipokuwa wanamshangilia kwa nderemo na vifijo (hakufurahishwa na waliwanyamazisha maramoja, akiwa amejaa na hasira). Ni hivi, hata kama ni wewe, itategemea sana inteligence system inasimamia vipi maswala ya uongozi, je iko juu yako wewe kama mtawala au uko juu yake? Na inapaswa kuwa smart katika uongozi uwe na counter-inteligence system ili kuvalidate most of the information. Kinachojiri ni kuwa hata kama watataka kuwajibika leo, bado Inteligence system inaweza ikawazuia kufanya hivyo kwa minajili ya usalama wa nchi.

Mfano, Matokeo ya Uraisi yanaweza kuwa CCM wakashinda na CHADEMA wakafuatia kwa karibu, lakini kura zao zinaweza zisiwe zimefikia asilimia hamsini kwa ujumla, sasa basi, inabidi serikali ijiridhishe kuwa ina fedha na budget ya kutosha kurudia uchaguzi, kama haina there is no way nchi ikabaki bila Rais (Sisemi kuwa mbinu chavu inabidi zitumike a a!).

Au Waizi Mkuu anapotaka kuwajibika halafu inteligence information ina-brief Riasi kuwa altenative list yake hakuna credible person na ana-run risk ya kuwa na un-stable cabinate iwapo ata-pick any of his altenative list!!

Au Intleigence information zinamwambia, tushuma zinazomkabili Waziri Mkuu si za kweli na anapewa source iliyopelekea kutuhumiwa Waziri Mkuu na vyanzo vyake, katika judgement anaweza akaamua kumuonya Waziri Mkuu kutochukua hatua hizo hata kidogo, na kumkumbusha hatari zitakazojitokza iwapo ataamua vinginevyo.

Ila akijiridhisha kuwa ni kwa manufaa ya kitaifa, tuhuma ni za kweli, na hakuna risk yoyote ya kitaifa kwa yeye kutoka why not??
The last resort ya uwajibikaji ambayo huwa haitegemei inteligensia, ni public pressure, which has never been our tradition, and has never been enough in our country (with exception of Arusha and Mbeya which make it isolated cases due to histoy). Haijalishi Kiongozi huyo ni msafi kiasi gani ila basi tu public hairidhishwi na staili yake ya ungozi.
 
tangu mgogoro huu uanze,dr ulimboka ndio alikuwa kinara,na amekuwa akionekana kwenye vyombo vya habari.amejitengenezea maadui wengi bila yeye mwenyewe kujua.hivyo nakubaliana na hoja ya kuangalia nje ya sanduku,tusifunge mawazo yetu.tuyaache yawe huru ili tuweze kufikiria kwa usahihi na hatimaye tupate ukweli wa hili.
 
Hebu fikiria, ung'olewe meno bila ganzi, ung'olewe kucha na komeo, uvunjwe taya na fuvu la kichwa.... hili haliwezi kuisha hivi ni lazima, kwa namna yoyote ile, iko siku kuna mtu atalipia..... liwalo na liwe.....
 
Walidhamiria kumuua hawa.

Madaktari andamaneni juu ya ukatili dhidi ya Dr. Ulimboka
Wananchi tuandamane kudai huduma mahospitalini na
Wanaharakati wa haki za binadamu, andamaneni dhidi ya ukatili wa Dr. Ulimboka na ukosefu wa huduma kwa wananchi!

Ugua pole Dr.
 
Serikali hii kweli inatia kichefuchefu, cha kushangaza sana walofanya hivyo wanalipwa kwa kumn'goa kucha na kumvuhja taya. ila kutekeleza madai ya msingi hawataki, pesa wanayo ya kulipa watu wachinje na kujeruhi ...
 
Prof....Sijaelewa hapo kwenye Red unamaanisha nini..
Hatuna utamaduni wa kuwajibika...only very few.... record yangu ina majina machache sana....Ally Hassan Mwinyi, Augustine L. Mrema, Edward N.Lowassa na Peter Mavunde.....

May be kama unadhani hao kwenye Red nao wanaweza kuingia katika historia ya kuwajibika though for what.....Mbona yametokea mengi waliyopasa kuwajibika lakini wamekula jiwe...

Mkirua, Unakumbuka Pinda katika moja wapo ya mabunge ya hivi kiaribuni alijaribu kuwajibika hasa kulinda heshima yake, ila unadhani nini kilitokea? Katika uchaguzi uliopita, wakati wanatangaza matokeo ya Uraisi unakumbuka reaction ya Raisi pale wana-CCM walipokuwa wanamshangilia kwa nderemo na vifijo (hakufurahishwa na waliwanyamazisha maramoja, akiwa amejaa na hasira). Ni hivi, hata kama ni wewe, itategemea sana inteligence system inasimamia vipi maswala ya uongozi, je iko juu yako wewe kama mtawala au uko juu yake? Na inapaswa kuwa smart katika uongozi uwe na counter-inteligence system ili kuvalidate most of the information. Kinachojiri ni kuwa hata kama watataka kuwajibika leo, bado Inteligence system inaweza ikawazuia kufanya hivyo kwa minajili ya usalama wa nchi.

Mfano, Matokeo ya Uraisi yanaweza kuwa CCM wakashinda na CHADEMA wakafuatia kwa karibu, lakini kura zao zinaweza zisiwe zimefikia asilimia hamsini kwa ujumla, sasa basi, inabidi serikali ijiridhishe kuwa ina fedha na budget ya kutosha kurudia uchaguzi, kama haina there is no way nchi ikabaki bila Rais (Sisemi kuwa mbinu chavu inabidi zitumike a a!). Au Wazri Mkuu anapotaka kuwajibika halafu inteligence information ina-mbrief Raisi kuwa altenative list yake hakuna credible person na ana-run risk ya kuwa na un-stable cabinate iwapo ata-pick any of his altenative list!! Au Intleigence information zinamwambia, tuhuma zinazomkabili Waziri Mkuu si za kweli na anapewa source iliyopelekea kutuhumiwa Waziri Mkuu na vyanzo vyake, katika judgement anaweza akaamua kumuonya Waziri Mkuu kutochukua hatua hizo hata kidogo, na kumkumbusha hatari zitakazojitokza iwapo ataamua vinginevyo. Ila akijiridhisha kuwa ni kwa manufaa ya kitaifa, tuhuma ni za kweli, na hakuna risk yoyote ya kitaifa kwa yeye kutoka why not??

The last resort ya uwajibikaji ambayo huwa haitegemei inteligensia, ni public pressure, which has never been our tradition, and has never been enough in our country (with exception of Madaktaei ambao wameonyesha mfano, na Arusha and Mbeya which make it isolated cases due to histoy). Haijalishi Kiongozi huyo ni msafi kiasi gani ila basi tu public hairidhishwi na staili yake ya ungozi.
 
Back
Top Bottom