A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

bado wapo honest, proffesionals with intergrity..., na hao ndio wanasaidia kufichua ujinga mwingi wa morons wa hii nchi..., tatizo lipo kwa kundi la othman....,, unproffesional na politicaly motivated
 
bado wapo honest, proffesionals with intergrity..., na hao ndio wanasaidia kufichua ujinga mwingi wa morons wa hii nchi..., tatizo lipo kwa kundi la othman....,, unproffesional na politicaly motivated

Hatuzungumzii, watu, tunazungumzia system. Kana act of establishment ya TISS, baada ya hapo wanatakiwa kutengeneza stategies, structures na policies and procedures. Uzuri mmoja hawaanzii zero, kuna aina nyingi za systems, kama CIA, KGB, nakadhalika. Ni kusoma tu hizo systems na kuangalia mzuri kuyachukua na kuyaboresha. Ukiwa kiongozi dhaifu, ukipewa act, ndio mwisho wa mchezo. Huwezi kuwa na mambo endelevu, unaishia kulimboka watu. Kwa bahati mbaya kiongozi wa TISS ndi structure, ndio policy, ndio strategy. Hii ni hatari kwa usalama wa Taifa. Hata uwe na watu wazuri vipi, system ikiwa mbovu, either wataharibika au watshindwa kufanya kazi. Ni sawa na mwalimu bila syllabus.
 
Matukio ni mengi bali nitawasilisha machache. Tukio la kutelekezwa Dk Harrison Mwakyembe alipopata ajali mkoani Iringa, Polisi Usalama barabarani walidaiwa kususia kutoa msaada eti tu kwa kuwa amekuwa akitoa misimamo mikali kwa Serikali hususani Kamati aliyoisamamia kuchunguza Richmond. Mwakyembe huyo huyo polisi kushindwa kutoa taarifa kuhusiana na waraka uliohusishwa na mauaji yaliyoelekezwa kwake akishirikishwa na baadhi ya wanasiasa wenye misimamo chanya. Mheshimiwa Samueli Sitaa kutishiwa kugongwa na gari aina ya Hammer. Dk Slaa kuwekewa vinasa sauti chumbani kwake,. Mwandishi wa habara Jerry Murro, pamoja na Jeshi la polisi kupeleka ushahidi wa kuokoteza, lakini bado Muroro aliwagalagaza. Sued Kubenea kumwagiwa tindikali, matukio ni mengi, cha ajabu ni hawahawa Usalama na Mkuu wao wamekuwa viherehere kujikosha kwa kutembelea hospitalini. Kuweni makini hawa si Usalama, hawa ni wana Uhasama. Watanzania muanze kujilinda wenyewe, hususani kufanya mazungumzo na watu unaowatilia mashaka. Kuitikia simu ambazo una mashaka nazo hususani zenye ushawishi wa aina flani flani. Ukiwa unapitia kipindi kiugumu epuka mienendo ya usiku. Yanayotokea Somalia si kwamba wamekosa kwa Mwenyezi Mungu. Dalili ya Mvua ni Mawingu
TUWE MAKINI.
 
Hawa wanaopanga kuua wengine wanaishi kama wao hawatakufa vile. Nao siku yao itafika watakufa tu, hakuna anayeishi milele bali mwenyezi Mungu pekee.
 
Watanzania waliowengi ni maskini hawana uwezo wowote katika haya yanayofanywa na CCM ,Bali tunaelekeza macho yetu juu kwa Yehova na kuyalaani haya ipo siku mungu atajibu maombi yetu, Hata Idd Amin alianza hivi kama wanayoyafanya CCM LEO, sasa yuko wapi? Tutapata mkombozi tu muda si mrefu
 
Matukio ni mengi bali
nitawasilisha machache. Tukio la kutelekezwa Dk Harrison Mwakyembe
alipopata ajali mkoani Iringa, Polisi Usalama barabarani walidaiwa
kususia kutoa msaada eti tu kwa kuwa amekuwa akitoa misimamo mikali kwa
Serikali hususani Kamati aliyoisamamia kuchunguza Richmond. Mwakyembe
huyo huyo polisi kushindwa kutoa taarifa kuhusiana na waraka
uliohusishwa na mauaji yaliyoelekezwa kwake akishirikishwa na baadhi ya
wanasiasa wenye misimamo chanya. Mheshimiwa Samueli Sitaa kutishiwa
kugongwa na gari aina ya Hammer. Dk Slaa kuwekewa vinasa sauti chumbani
kwake,. Mwandishi wa habara Jerry Murro, pamoja na Jeshi la polisi
kupeleka ushahidi wa kuokoteza, lakini bado Muroro aliwagalagaza. Sued
Kubenea kumwagiwa tindikali, matukio ni mengi, cha ajabu ni hawahawa
Usalama na Mkuu wao wamekuwa viherehere kujikosha kwa kutembelea
hospitalini. Kuweni makini hawa si Usalama, hawa ni wana Uhasama.
Watanzania muanze kujilinda wenyewe, hususani kufanya mazungumzo na watu
unaowatilia mashaka. Kuitikia simu ambazo una mashaka nazo hususani
zenye ushawishi wa aina flani flani. Ukiwa unapitia kipindi kiugumu
epuka mienendo ya usiku. Yanayotokea Somalia si kwamba wamekosa kwa
Mwenyezi Mungu. Dalili ya Mvua ni Mawingu
TUWE MAKINI.

kweli kabisa mkuu mimi nimekuelewa na ushauri wako nitaufanyia kazi!
 
Usalama nipachafu sana na mambo sasa hayaendeki hadi kikwete amelijua hilo baada ya jaribio la kumteka na sasa kaondoa walinzi wake wote na kaajiri wa zambia . Chukua kama unataka napia unaweza acha
 
Back
Top Bottom