A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

Si vizuri kuombeana mabaya alichokuwa anakipigania ulimboka ni pamoja na uwapo wa madawa na vifaa tiba katika hospitali ili kufanya madaktari kufanya kazi kwa urahisi sana.

Kama unaelewa system ya afya hapa nchini usingekuwa unalaumu mgomo wa madaktari kila siku tunasikia madaktari au manesi wanalaumiwa kwa lugha chafu hii ni kutokana na kuwa wachache na hivyo kushindwa kutoa huduma stahiki kwa wote na kuwaridhisha pili tumekuwa tunalalamika hakuna dawa hii ndio jambo lingine walikuwa nao wanalisimamia na kupinga watu kulazwa chini wakatoi serikali inazo fedha za kutosha katika kuweza kutatua matatizo haya.

Fikiria kwa umakini utajua uwezo wa serikali kutatua tatizo upo lakini hakuna dhamira dhati ya kutatua hili tatizo,kama tumeweza kufanya uchaguzi kwa mamilioni,sherehe za mabilioni za uhuru kwa nini tushindwe kufanya maamuzi magumu katika sekta ya afya?

By the way Bob Marley once said that How long shall they kill our prophet while we stand aside and look.
 
si vizuri kuombeana mabaya alichokuwa anakipigania ulimboka ni pamoja na uwapo wa madawa na vifaa tiba katika hospitali ili kufanya madaktari kufanya kazi kwa urahisi sana.kama unaelewa system ya afya hapa nchini usingekuwa unalaumu mgomo wa madaktari kila siku tunasikia madaktari au manesi wanalaumiwa kwa lugha chafu hii ni kutokana na kuwa wachache na hivyo kushindwa kutoa huduma stahiki kwa wote na kuwaridhisha pili tumekuwa tunalalamika hakuna dawa hii ndio jambo lingine walikuwa nao wanalisimamia na kupinga watu kulazwa chini wakatoi serikali inazo fedha za kutosha katika kuweza kutatua matatizo haya. fikiria kwa umakini utajua uwezo wa serikali kutatua tatizo upo lakini hakuna dhamira dhati ya kutatua hili tatizo,kama tumeweza kufanya uchaguzi kwa mamilioni,sherehe za mabilioni za uhuru kwa nini tushindwe kufanya maamuzi magumu katika sekta ya afya?

by the way Bob Marley once say that How long shall they kill our prophet while we stand aside and look.

Madaktari hawapo katika kutetea huduma za afya wangekuwa wanatetea kuboreshwa huduma wasingekuwa wanagoma kuacha watu wafe. Wao wapo ki maslahi binafsi!
 
wengi wenu mna chuki binafsi na rais,hili litawasumbua sana kiasi mna shindwa kuangalia mambo kwa umakini badala yake mnaongozwa na chuki.
Of course..ikumbukwe kuwa kama "polisi njaa" wangetumika then kusingekuwa na coordination na uongozi wa polisi...Mfano alipopolekwa kituo cha polisi bunju Dr Uli hakupewa msaada wowote na kituo ilhali wakijua alikuwa amedhurika vibaya - hii inamaanisha tayari walikuwa na mwongozo kutoka juu kuwa wasihangaike kumpeleka hospitali. Pili, ukiangalia uongozi wa juu wa polisi na wizara ya mambo ya ndani inatetea huku wakijichanganya - hii inamaanisha uhusika wao hauna mashaka hata kidogo. Tatu, Polisi aliyepewa kibano pale Moi alisikika akiongea na Radiocall kuwa " Ulimboka kafikishwa MOI lakini bado yuko hai.....ikimaanisha kuna mpango uliokuwepo ambao walidhani angekuwa keshafariki hadi kufikia muda huo. kwa hiyo ni kuwa alikuwa anauarifu utawala kuwa jamaa bado hajafa. Yaani inasikitisha ila at the same time inaonesha jinsi ambavyo serikali ya tz haina akili hata kidogo na hasa baada ya JK aka (raisi mdhaifu) alipojipeleka hospitali kama kawaida yake na yale maneno yake ya kukariri" Serikali inampa pole dokta na tunamtakia kupona haraka na naomba madaktari wawe na moyo wa subira katika kipindi hiki kigumu" alafu huyoooo anasafiri leo nje ya nchi asikilizie soo kwa njia ya simu. Shame shame shame on the weak presida mwiba kura
 
Kweli kabisa hii imenistua sana! Yan walidhamiria kumuua kabisa.
 
Mkirua, Unakumbuka Pinda katika moja wapo ya mabunge ya hivi kiaribuni alijaribu kuwajibika hasa kulinda heshima yake, ila unadhani nini kilitokea? Katika uchaguzi uliopita, wakati wanatangaza matokeo ya Uraisi unakumbuka reaction ya Raisi pale wana-CCM walipokuwa wanamshangilia kwa nderemo na vifijo (hakufurahishwa na waliwanyamazisha maramoja, akiwa amejaa na hasira). Ni hivi, hata kama ni wewe, itategemea sana inteligence system inasimamia vipi maswala ya uongozi, je iko juu yako wewe kama mtawala au uko juu yake? Na inapaswa kuwa smart katika uongozi uwe na counter-inteligence system ili kuvalidate most of the information. Kinachojiri ni kuwa hata kama watataka kuwajibika leo, bado Inteligence system inaweza ikawazuia kufanya hivyo kwa minajili ya usalama wa nchi.

The last resort ya uwajibikaji ambayo huwa haitegemei inteligensia, ni public pressure, which has never been our tradition, and has never been enough in our country (with exception of Arusha and Mbeya which make it isolated cases due to histoy). Haijalishi Kiongozi huyo ni msafi kiasi gani ila basi tu public hairidhishwi na staili yake ya ungozi.

Prof, hapo kwenye Red nina wasiwasi kwani kumewahi kuwepo malalamiko kuwa huyu mheshimiwa hawasikilizi kabisa hawa jamaa na wanapompelekea taarifa especially kuhusiana na baadhi ya wateule wake wapendwa ...particularly wanamtandao hachukui hatua yeyote, in addition taarifa pia zinavuja na kuwafikia wahusika.......In addition sidhani kama kuna mahali (mathalani katika katiba) panapomlazimisha kukubali na kuufuata ushauri wa mtu yeyote including hao wa usalama......

Kwenye blue tupo pamoja na niliwahi kusema kuwa mgoma wa madaktari Tanzania ungekuwa na maana sana kama tungekuwa na hiyo kitu.....not necessarily kwa kuandamana bali kwa kuikataa (Kuaidhibu) serekali kwenye ballot box lakini je watu wetu (the normal voters) wana uelewa huu?? Wengi wao si wakishapewa pilau, fulana na vitenge wanasahau kila kitu??
 
wengi wenu mna chuki binafsi na rais,hili litawasumbua sana kiasi mna shindwa kuangalia mambo kwa umakini badala yake mnaongozwa na chuki.
Wewe mwenye Mahaba na Rais, mbona inaonekana unaongozwa na tumbo tu!?....
 
Hebu fikiria, ung'olewe meno bila ganzi, ung'olewe kucha na komeo, uvunjwe taya na fuvu la kichwa.... hili haliwezi kuisha hivi ni lazima, kwa namna yoyote ile, iko siku kuna mtu atalipia..... liwalo na liwe.....

The guys thought the job was finished...Mungu Mkubwa
 
I know you are here to kill me. Shoot, coward, you are only going to kill a man.​by Che Guevara
 
Mazingira na mpango wa tukio haukutekelezwa kitaalamu kwa kiwango cha wale wenye kazi hiyo unaofikiria wewe. Lazima tutizame pande zote kwani mpango na njama yenyewe haikufanywa kitaalamu. Tunakumbuka wengi waliokufa katika mazingira tata mfano Kolimba, Katabalo nk. Inaonekana waliofanya tukio hili hawana uzoefu unaomaanisha wewe.

Haukufanywa kitaalamu kwa sababu hakufa? Hivi wewe unakuwa kama hujui hayo majeshi yetu yana watu wa aina gani... mijitu mijinga jinga iliyofeli shule ndio mingi iko huko... unategemea nini kutoka kwa wavuta bangi, majizi na majambazi yaliyovimbiwa... eti wanaunda jopo la wataalamu kufanya upelelezi... wanachotaka kufanya ni kupotezea tu ushahidi... hakuna kushirikiana nao....inatia hasira sana!!!
 
Madaktari waache Politics wakafanye kazi zao. Tulipokuwa tunasoma kila mtu alichagua njia yake ya maisha kwa sababu mbali mbali sitaki kuamini kwamba motivation yao ilikuwa ni mapesa tu!
 
If they wanted him DEAD, he'd be dead by now, na mngekuwa mnaongea mambo mengine kabisa.......probably, they still need him for something..........the big question is wat is it??

and kimtazamo wangu, 1st, wat has bin done to him isnt fair, Unless, he(ulimboka) framed it....najua kwa hili, wengi mtanilaumu, but mkisoma stories nyingi kama hizi, mtaona, ulimboka hatokuwa wa kwanza, kufake something like this, but FOR GOOD REASONS..............cause, seriously, kama wangetaka afe, angekufa longtym........

2dnly, killing one person for the benefit of two or more people, i find it reasonable................

i can see nothing in ur brain that a plain white paper
 
Madakatari, hawa watu ni wabaya mithili ya swatwain. Sijui muwafanye nini, yaani. Komaeni madaktari, watu wenye akili wako nanyi. Pamoja na machungu tunayoyapata, lakini hii serikali ya CCM ina kibri sana.
 
Sote tunajua kilichofanyika kwa Dr ulimboka naamini walijiliziha amekufa maana wasingemuacha akiwa hai, kwakuwa Mungu kawaumbua tunaomba mlioko karibu naye mtujuze anahali gani. Pia mkiona inafaa wekeni namba ya M-pesa tumchangie akatibiwe mahali salama zaidi

good idea mkuu
 
Madaktari waache Politics wakafanye kazi zao. Tulipokuwa tunasoma kila mtu alichagua njia yake ya maisha kwa sababu mbali mbali sitaki kuamini kwamba motivation yao ilikuwa ni mapesa tu!

Naomba Mungu akupe uzima, ili siku ya ukombozi itakapowadia upokee sawasawa na stahili yako!
 
Mara nyingi sindano hutumika kukamilisha mission za namna hii. Ivi haiwezekani dr akawa amemiminiwa virus au chemical flan hasa baada ya majeraha kuwa exposed?
 
acha uhuni, kwa hiyo hata wali polisi walioingia msikitini mwembechai inawezekana hawakupata ruhusa serikalini ni watu tu walikuwa wanawatumia?
uamsho walivyopigwa mabomu mpaka msikitini utakubaliana nami kuwa yawezekana na mtu mwenye pesa kawaagiza tu?

Ebo! Sasa hapa muhuni kati ya mimi na wewe ni nani? Mbona unaleta mifano mfu? Inaonekana una udini sana umekukolea, mtu akifanya fujo, mwizi akiiba halafu akakimbilia msikitini, polisi ni wajibu wake kumkamata. Yaani wewe ufanye fujo halafu utegemee msikiti kujificha? Uamsho achome kanisa halafu akimbilie msikitini polisi wamwache tu?
 
Ukikaa chini ya kivuli kitakachokuwezesha kupata hewa na kutuliza akili yako kisha kileta picha ya tukio zima la Dr Ulimboka, pia unganisha sentensi na matamshi ya Pinda ni wazi huu mpango ulikuwepo tangu mgomo ule wa kwanza na alijua jambo hili.

Jana wakati wa tukio hili pale Muhimbili kijana mmoja alipokea radio call na mazungumzo ni kua Dr Ulimboka hakufa so alikua akitoa taarifa kwa aliekua amemuagiza. Definately njama hii nim ya Viongozi wa serikali na ndo maana Usalama wa Taifa wanahusika moja kwamoja.

Kisha jiulize ni sahihi kumuua kijana anetetea wananchi kwa kuitaka serikali inunue vifaa vya kututibi? Kutokana na habari zilizopo ni kwamba tangu mgomo wa kwanza madaktari waliwezeshwa kwa kutumia 9Bil kwa miezi mitatu tu, leo bujeti imetenga 17Bil kwa mwaka mzima! Kama umesoma hesabu za kujumlisha na kutoa utagundua mapungufu achilia Hospitali kubwa kama Muhimbili kukosa vifaa vya vipimo hata Oxygen machine?.......

Usalama wa Taifa nina mashska na utaalam wenu hasa katika karne hii ya dunia kama kijiji (utandawazi), mnatumia mbinu za enzi za Nyerere? Kwa mimi Dr Mboka ilibidi apewe ulinzi toka kwenu kwa kua position aliyokuwepo basi jambo lolote baya mnahusika moja kwa moja. Na ndivyo ilivyotokea.......

Haya mi naondoka naona kivuli kimeniacha na maji ya kupunguzia hasira yameisha, sina nauli sina mwamvuli ngoja nijongee njia juani ndo serikali ipendavyo.

MGOMO NAUNGA MKONO.......
 
Back
Top Bottom