A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

Madaktari achaeni mzaha na hili jambo,for sure tuko wengi sana tunahitaji kujua Jemedari,dr Ulimboka S anaendeleaje,japo najua mna miiko(Ethics) inayowaongoza lakini kwa hili tafadhalini mtujuze tujue anaendeleaje,msitufiche tafadhali wengi wetu humu JF ni watu wazima na wengine tulishakitana na majaribu hivyo tutavumilia whetever the condition is,ila i hope dr is doing well,zaidi tupeni confirmation.
Kingine watanzania wenye nia ya dhati,watanzania tusio sehemu ya matatizo ya nchi hii,wananchi wenye moyo wa utu,nadhani kuna haja ya kuwa waangalifu na watu wasio tutakia mema,kama kuna mtu anaangalia bunge asubuhi hii nadhani mmeona baadhi ya wabunge waliokuwa wakilitaka bunge lijadili mgogoro huu kati ya madaktari na serikali,na kwa kuwa bunge ni chombo pekee cha kuisimamia serikali kwa niaba ya wananchi,mmemushuhudia Spika Makinda alivyoendelea kukataa suala hili lisijadiliwe bungeni na kutimiza wajibu wa bunge wa kuisimamia serikali.
Kwangu mimi Spika wa bunge Makinda ni adui namba moja wa afya ya watanzania,lakini pia naona kuana dalili tosha kwa wabunge wa CCM kuwa wanakaa kimya ili serikali yao isiangushwe,au isionekane kama imeshindwa.tuwe macho na watu kama hawa
 
Yap!! tena giza tororo!! ... But namqoute tena mdau mmoja aliyemqoute Gandhi!! ... Huwezi kuficha 3 things;Jua, Mwezi na Ukweli!! ... All will be known and avenged!
 
Watu wa karibu wamshauri Baba Riz 1 asiende kumuona Uli kwa hali ilivyo labda atoe tamko la serikali!! Hali ni mbaya kitaifa si MNH pekee
 
Jamani naona watu mmecharge kama mafahali wawili ndani ya zizi! Ni vizuri kuwa na tahadhari kumhusisha Rais na kutekwa kwa Dr. Yes uongozi wake una matatizo lakini kumhusisha na hili jambo tunakwenda mbali. Kikwete si mtu wa visasi vya namna hii. Ana njia nyingi tu kama angetaka za kumdhibiti Dr. na asingekuwa na haja ya kutumia njia ya aibu namna ile.

Mtu anayesababisha shida ya madaktari ni waziri mkuu. Ameshidwa kumshauri rais ipasavyo kwenye jambo hili.

Wewe ndio amekutuma umetetee? yaani wewe ndio unamjua sana, kwani nani kasema ni mtu wa visasi?
 
Hadi leo tangu afariki Mh Chacha Wangwe hakuna mtanzania yoyote anae weza elezea ni nini hasa kilicho muua,hadi leo hata Chadema hawaja wahi kuibana serikali iwambie Watanzania nani alie muua Wange,kwa utata kama huu naona hata kupigwa kwa Dr Ulimboka kutabaki siri na watanzania watatafutiwa jambo la kusahau na watasahau!
 
Madaktari hawapo katika kutetea huduma za afya wangekuwa wanatetea kuboreshwa huduma wasingekuwa wanagoma kuacha watu wafe. Wao wapo ki maslahi binafsi!
Si dhambi kudai maslahi katika nchi ambayo Raisi wake anatengewa billioni 500 kwa safari ni haki yao nao wapate keki ya taifa kwa nini iwe Kikwete tuu na wanawe
 
Unafiki at its best... Aliyemwambia Ulimboka anataka kuonwa nae nani?

Han safari ya nje?
 
nyie mnaomtetea dr ulimboka hana akili wote kwa sababu serikali haiusiki hata kidogo kwa swala la kupigwa kwa dr,na kwa taarifa yenu aliyehusika na kitendo hiki ni wananchi wenye hasira kali ni baada ya kupotelewa na kufiwa kwa ndugu zao
 
I salute you Brother. Nimeipenda sana ya wananchi kuisusia serikali ingawa binaona kama ni strategy yenye kuhitaji/chukua muda kwani kwanza kabisa inabidi wananchi wenyewe waelimishwe haki zao na kuelimishwa umuhimu wa kuzidai na kwa staili gani.

Ya kusubiri manesi nao wagome pia ni nzuri ambayo inawezakuwa suluhisho la adha hii kwa sababu punde wakigoma tu na sie wananchi tutaandamana kudai huduma. Lakini sasa itawachukua muda gani manesi wote katika zahanati zote kugoma?

It is very easy mkuu. Wala hulazimiki kuwategemea walioko kijijini kuleta mageuzi haraka, kwa sababu hao ndio watawala wetu wanawapump lugha zenye utata kuwachanganya ili waungane nao. Walioko mijini wapo wengi wanaoona hali halisi na wanaelewa haraka. Ukitaka kumdhibiti adui unatakiwa kujua pressure points za kuzilenga (wanajeshi wanajua).

Kuna sehemu za mwili ambazo zikiguswa adui yako unammaliza nguvu. Hata nyoka usimpige mkia, unalenga kichwa ama sivyo atakuua. Simba mkamate mkia na kumburuza usiuache hatakudhuru mkigombana. Hospitali kubwa ndizo haswa waweke silaha chini na serikali itaelewa kiswahili sanifu.

Kijijini wakiambiwa govu zinahitajika kumzalisha mama anayejifugua watakushangaa, kwa sababu wamezoea kutopata glovu za kutosha na hivyo pamoja na ukimwi kuenea wanazalisha kavukavu kuokoa maisha pasipo kujali wataambukizwa au kuambukiza.

Mjini halipo hilo, no glove, no infective procedure. Serikali inawaambia watu wa kijijini kwamba madaktari wanataka pesa kubwa, lakini hawawaambii kila kitu.

Sio kila barabara zilizoko ndani ya jeshi ni smart areas. Strategies ziwe kuhakikisha mahospitali makubwa yameelewa nini kinaendelea, kisha vijijini wataelewa polepole na manufaa yakija yataenda mpaka kijijini na hapo watajua ahaaaaa, kumbeee!
 
Haya ndo mambo yanayoweza kumfanya mtu akajitolea kufa kwa hasira! Hii inadhihirisha wazi kuwa hapa kuna mkono wa serikali.Je,hii ni halali? Ee mungu tazama watu wako tunavyoangamizwa na hawa mafisadi,utufungulie njia ya ukombozi mwaka 2015.
 
nyie mnaomtetea dr ulimboka hana akili wote kwa sababu serikali haiusiki hata kidogo kwa swala la kupigwa kwa dr,na kwa taarifa yenu aliyehusika na kitendo hiki ni wananchi wenye hasira kali ni baada ya kupotelewa na kufiwa kwa ndugu zao
Fool you are self munaogopa nini IKULU iliyojaa damu mikononi ,mwambie Jakaya yeye na kizazi chake watapata shida sana kwa sera zake mpya alizozianzisha za uuaji
 
tumheshimu rais ndugu zanguni. ana haki ya kwenda muhimbili kumjulia hali raia wake. uli mwenyewe atafarijika kwa kuona anatembelewa na rais. mnapo shauri akatae kutembelewa, mnamsababishia matatizo. jueni kuwa nyinyi mna maisha yenu na yeye ana maisha yake. analala kivyake, anakula kivyake na alikamatwa kivyake. mnaongelea pembeni huku mpo baa mnakunywa. acheni unafiki! mbona mnapitisha hukumu haraka? sidhani kama serikali inahusika. kama serikali inahusika basi angeuawa. walio muadhibu hawakua na nia ya kumuua nahisi waliofanya hivyo ni watu ambaye wametaka kuipaka matop serikali ya jk


japo sina ushahidi lkn nahisi waliomteka ni wafuatao:-
1- baadhi ya watu waliokua serikalini baadaye wakafukuzwa au kupelekwa mahakamani. wana hasira na jk. wanaweza kufanya hivyo ili kuharibu jina la serikali yke.


2- wanaharakati ambao wanatengeneza dili za kutumiwa pesa zaidi. mazingira ya yeye kufikiwa na wanaharakati akina gisimba mapema saa moja asubuhi huku wana camera za video yanazidisha wasiwasi.



3- wafuasi wa chama kilicho na uzoefu wa kuteka watu. kilimteka mkuu wa wilaya ya igunga, tabora, kitashindwa kumteka dr uli!? kinaweza kufanya hivyo ili kuchafua jina la serikali ya jk.
 
Back
Top Bottom