A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

Wewe mvivu wa kufikiri, serikali haiwezi kufanya mbinu dhaifu kama hiyo, bila shaka system inawatu waliofundishwa kufanya hivyo kwa ustadi mkubwa na sio Tanzania tu, nchi zote duniani zina watu hao. Serikali haiwezi kumuua mtu na kuacha 'traces" rahisi hivyo. Kumbuka hawa madaktari wamesababisha watu wengi kufukuzwa kazi, wengi wamefiwa na ndugu zao wapendwa wakati wa mgomo, sasa kwanini hamkuanzia hapo. Unakurupuka na kuishtumu serikali, mawazo yaleyale ya chuki kama yakina Kijo Disimba. Usiwe mchovu wa kufikiri, tumia kichwa kuamua sio moyo
Acha kuonyesha ujinga wako kama hiyo serikali yako, wenyewe hawaaminiani nani atawaamini,kama kweli hao watu wapo wangeanza na serikali yao ambayo inasababisha kuwa na maisha magumu ambayo inapelekea mdr kugoma,wao kosa lao lipo wapi?kudai haki ya msingi?Inawezekana na wewe freemason umehusika?Wezi wakubwa mnataka siku zote watu waone cheupe cheusi,cheusi cheupe,watu wakiona sawa2 inakuwa tabu,sasa mwisho wa siku wamesaidia nini baada ya kumuumiza?ndugu zao wametibiwa pumba........................
 
Angekuwa na akili asingeweka mguu wake Muhimbili kumwona Dr.Ulimboka,possibility ya kummalizia haospitali ni kubwa zaidi.
 
madaktari.
Washenzi kabisa.
Pengine hawana dini ni 'makafiri'.
Mmepewa fani muhimu sana kwa maisha yetu kama wanadamu.
Mnapogoma kwa sababu ya madai yenu kwa serikali, hamtutendei haki watanzania, hasa sisi wa kipato duni tunaojazana kwenye hospitali zenu zenye huduma mbofu mbofu.
Eti mnagoma kuishinikiza serikali, hao wakubwa waa swrikalini wana uwezo wa kutibiwa popote hata kama msingekupo ninyi.

Kuna wapumbavu wengine wanalishabikia hili suala kisiasa, acheni hizo.

Fikiria kama wewe ndo ungekuwa pale na mgonjwa wako mahututi halafu unambiwa kuna mgomo..

Uzalendo unahitajika!

Mbona enzi ya mwalimu hakukuwa upuuzi huu?

Eti migomo inatokea wakati huu ambao wenye taaluma hiyo tunashudia wakiishi maisha ya kifahari.
the highest VAPOUR of the day!
 
Madaktari waache Politics wakafanye kazi zao. Tulipokuwa tunasoma kila mtu alichagua njia yake ya maisha kwa sababu mbali mbali sitaki kuamini kwamba motivation yao ilikuwa ni mapesa tu!
Kuchagua fani hakuhalilishi wewe kufanya kazi kwenye kiyoyozi na meza za kuzunguka na mabeseni mazuri ya kujiosha mikono na vyumba vya chai wakati madaktari lazima wavunje migongo kuwahudumia wagonjwa chini kwa kukosa vizazi
 
Nasikia Dr Ulimboka alikuwa Jolly alipofikwa na maafa haya ni kweli?
Bora wewe umejitambulisha vzr kile unachofwaza na kutenda, ndio maana michango yako imekaa kijolly jolly tu, kutwa nzima unawaza jolly tu! unadhani na wengine wako hvy.
nchi hii imekwisha, kuwa na watu wa jinsi hii serikalini, ee Mola tuepushe na janga hili mbele yetu!
 
Mkuu umenena maisha magumu ni kwa kila Mtanzania...kila taaluma ina umuhimu wake.Watanzania wote tuwalaani madaktari kwa kitendo chao cha kinyama

Ni kweli Mkuu, maisha ni magumu kwa kila mtu, hivyo madaktari ni wawakilishi wa ujumbe kuhusu huo ugumu wa maisha. Kumbuka mwenzako akinyolewa wewe tia maji. Aidha, mimi binafsi nahofia siku ambayo Sekta zote zitaingia kwenye mgogoro kama huo.
 
Hebu fikiria mama mzee, mlemavu wa kuona anaishi Tandika, mwanaye pekee anaye msaidia kwa kazi ya kuendesha boda boda kapata ajali pale machinjioni temeke. Dr Ulimboka kwa msaada wa wanaharakati wachache wanaotaka kuona malengo ya chama chao ya nchi isitawalike yakifanikiwa, anawachochea madaktari wasimhudumie huyu mtoto wa masikini na hivyo kusababisha kifo chake. Lazima alipie machungu haya LIWALO NA LIWE

Ni Kwa sababu Kikwete anamjali zaidi Mwanaasha kuliko huyo mwendesha bodaboda vinginevyo tangu Januari kazi yake ingekuwa kuboresha sekta ya afya
 
Anaendelea vizuri nimechart na jamaa yangu lhrc kaniambia jamaa anarecover ingawa kasema lengo la watekaji ilikuwa ni kuua na walijua wameua!!!!!!!!!!!ngoja nimcheki tena baada ya mida .
 
Hebu fikiria mama mzee, mlemavu wa kuona anaishi Tandika, mwanaye pekee anaye msaidia kwa kazi ya kuendesha boda boda kapata ajali pale machinjioni temeke. Dr Ulimboka kwa msaada wa wanaharakati wachache wanaotaka kuona malengo ya chama chao ya nchi isitawalike yakifanikiwa, anawachochea madaktari wasimhudumie huyu mtoto wa masikini na hivyo kusababisha kifo chake. Lazima alipie machungu haya LIWALO NA LIWE
Kwanza acha kuongelea habari kama hizo,asilimia kubwa ya ajali ni uzembe bara2ni acha wapate hiyo adhabu,kila mmoja angekuwa makini ajali zingetokea?mbona nchi za watu waliostaarabika hakuna ajali za holela kama kwetu,ujuaji umewazidi watu weusi utafikiri vyombo vya moto mnavitengeneza nyinyi,watengenezaji wanaviheshimu lakini nyinyi....kwa hiyo kisa huyo bibi ndo afanye madr waendelee kulipwa kidogo?tena yeye mtoto wake kama hajapata ajali anakusanya hela ya kutosha kwa siku,akatibiwe private
 
Anaendelea vizuri nimechart na jamaa yangu lhrc kaniambia jamaa anarecover ingawa kasema lengo la watekaji ilikuwa ni kuua na walijua wameua!!!!!!!!!!!ngoja nimcheki tena baada ya mida .

Duuu Praise the Lord manake tupo very nervous kujua hali yake!!!
 
wanagoma na mwisho wa mwezi wanaenda na ATM kudraw Bank fedha zetu walipa kodi huku wagonjwa wetu wanakufa hospitali. hii ni halali? kwanini waendelee kulipwa mwezi huu? kwanini serikali haigomi kuwalipa kwa kususa kwao? hawatendi haki hata kidogo.
rais wa tano acha upuuzi wewe, kwani migomo mingine ikitokea watu hawaendi ATM? Au madaktari tu ndio hawapaswi kwenda kwenye ATM wakigoma.
 
Last edited by a moderator:
Hebu fikiria mama mzee, mlemavu wa kuona anaishi Tandika, mwanaye pekee anaye msaidia kwa kazi ya kuendesha boda boda kapata ajali pale machinjioni temeke. Dr Ulimboka kwa msaada wa wanaharakati wachache wanaotaka kuona malengo ya chama chao ya nchi isitawalike yakifanikiwa, anawachochea madaktari wasimhudumie huyu mtoto wa masikini na hivyo kusababisha kifo chake. Lazima alipie machungu haya LIWALO NA LIWE

Anaepigania haki yake anaambiwa anakiuka haki!! Anae subiriwa kutetea haki za wanyonge anawaza ni nchi ipi dunia hii ajatembelea kabla haija fika 2015.
 
madaktari.
Washenzi kabisa.
Pengine hawana dini ni 'makafiri'.
Mmepewa fani muhimu sana kwa maisha yetu kama wanadamu.
Mnapogoma kwa sababu ya madai yenu kwa serikali, hamtutendei haki watanzania, hasa sisi wa kipato duni tunaojazana kwenye hospitali zenu zenye huduma mbofu mbofu.
Eti mnagoma kuishinikiza serikali, hao wakubwa waa swrikalini wana uwezo wa kutibiwa popote hata kama msingekupo ninyi.

Kuna wapumbavu wengine wanalishabikia hili suala kisiasa, acheni hizo.

Fikiria kama wewe ndo ungekuwa pale na mgonjwa wako mahututi halafu unambiwa kuna mgomo..

Uzalendo unahitajika!

Mbona enzi ya mwalimu hakukuwa upuuzi huu?

Eti migomo inatokea wakati huu ambao wenye taaluma hiyo tunashudia wakiishi maisha ya kifahari.
Wewe amba siye kafiri na mwenye dini katibie wagonjwa,kwanza inavyoonyesha wewe ni mvivu wa kufanya kazi,kama umeajiriwa basi wanakuvumilia tu
 
Leo ataijua muhimbili huyu, anadhani Muhimbili kaitengeneza yeye? Kwanza Dr. Uli mwenyewe hawezi kuwa tayari kuonana mtu mnafiki++++++++
 
Walidhamiria kumuua hawa.

Madaktari andamaneni juu ya ukatili dhidi ya Dr. Ulimboka
Wananchi tuandamane kudai huduma mahospitalini na
Wanaharakati wa haki za binadamu, andamaneni dhidi ya ukatili wa Dr. Ulimboka na ukosefu wa huduma kwa wananchi!

Ugua pole Dr.
Mi niko tofauti kidogo. Mambo yaende kimyakimya message inasomwa vizuri sana. Kuandamana sawa, lakini serikali za miafrika zinachomekea maneno tofauti na kubadili maana. Sasa tunangojea manesi waweke silaha chini, wafamasia, maabara na kila mahali, walete wachina wao watibu mpaka kwenye zahanati, maana wanakubali kwamba tatizo lipo na pesa ipo lakini sio ya kuboreshea huduma za afya, ila kuwalipa wachina na yeyote kutoka nje ya nchi na au majeshi.

Wananchi ni kuandamana kwao ni katika kususia serikali dhaifu kwa kuwaweka kando na kuingiza serikali nyingine nayo tuione inaendeshaje. Tanzania ni tajiri sana ila viongozi wake ni wanafiki sana na wabinafsi sana.

Watu wa haki za binadamu waendelee kupigia kelele mabadiliko yaje, lakini Katiba mpya iwe kiboko sahihi kwa viongozi wabovu kama tulio nao sasa.
 
Angekuwa na akili asingeweka mguu wake Muhimbili kumwona Dr.Ulimboka,possibility ya kummalizia haospitali ni kubwa zaidi.

Jamani naona watu mmecharge kama mafahali wawili ndani ya zizi! Ni vizuri kuwa na tahadhari kumhusisha Rais na kutekwa kwa Dr. Yes uongozi wake una matatizo lakini kumhusisha na hili jambo tunakwenda mbali. Kikwete si mtu wa visasi vya namna hii. Ana njia nyingi tu kama angetaka za kumdhibiti Dr. na asingekuwa na haja ya kutumia njia ya aibu namna ile.

Mtu anayesababisha shida ya madaktari ni waziri mkuu. Ameshidwa kumshauri rais ipasavyo kwenye jambo hili.
 
madaktari.
Washenzi kabisa.
Pengine hawana dini ni 'makafiri'.
Mmepewa fani muhimu sana kwa maisha yetu kama wanadamu.
Mnapogoma kwa sababu ya madai yenu kwa serikali, hamtutendei haki watanzania, hasa sisi wa kipato duni tunaojazana kwenye hospitali zenu zenye huduma mbofu mbofu.
Eti mnagoma kuishinikiza serikali, hao wakubwa waa swrikalini wana uwezo wa kutibiwa popote hata kama msingekupo ninyi.

Kuna wapumbavu wengine wanalishabikia hili suala kisiasa, acheni hizo.

Fikiria kama wewe ndo ungekuwa pale na mgonjwa wako mahututi halafu unambiwa kuna mgomo..

Uzalendo unahitajika!

Mbona enzi ya mwalimu hakukuwa upuuzi huu?

Eti migomo inatokea wakati huu ambao wenye taaluma hiyo tunashudia wakiishi maisha ya kifahari.
Hivi wewe enzi za mwalimu viongozi walikuwa wakiishi hivi?au maisha yalikuwa hivi?mnajua kwamba kazi yao inarisk kubwa kuliko unavyofikiria wewe?madr na manesi wangapi wanaambukizwa magonjwa
?unalielewa hili?au ndo tunavutia tu upande wetu,tena nadhani ungekuwa wewe ni dr ungekuwa zaidi ya hao unawaita makafiri,wewe mwenyewe ni shaidi mara ngapi mnakuwa na wagonjwa mnashindwa hata kuwahudumia, sasa mjue mtu anayefanya kazi hiyo ni wakumuheshimu sana
 
Back
Top Bottom