A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

siyo ulihifadhi anaitwa Abeid

wakuu hapa JF naomba tusifanye propaganda kama kweli tunachukizwa na kitendo cha serikali kufanya ufisadi wa kupindukia,kufuja mali za umma kwa kufuru,serikali kutokushughulikia mambo ya msingi na kusababisha migomo isiyoisha kwa muda mrefu,kutoka kwa wafanyakazi na wanafunzi na hatimae leo tuko kwenye mgomo unaogusa moja kwa moja uhai wa watanzania hasa wenye kipato cha kati na cha chini,ni vema basi tusikae tunaficha ficha mambo hapa.
NAOMBA TUWATAJE HADHARANI WALE WOTE WALIOHUSIKA KUMTEKA DR ULIMBOKA,HAKUNA SABABU YA KUFICHA WATAJENI WOTE TUWAJUE KWA UWAZI,HATA PICHA ZAO WEKENI HAPA TUWAJUE.
Kuficha ni sawa na kuutetea unyama huo uliofanywa na huenda ukawa endelevu kwa siku zijazo.watajeni,wekeni na picha zao tuwajue hawa wauaji,na hata kale kapolisi mlikokashika Mhimbili wekeni hapa picha yake.mtu mwenye taarifa sahihi za tukio zima alilofanyiwa dr Ulimboka naomba mtuwekee hapa,msiwafiche hawa,tuwaanike walishazoea kuuwa.
Niwakumbushe wale wafanyabiashara wa madini kutoka Mahenge mpaka leo haijulikani nani aliwauwa na hii ni kutokana na tabia ya kuficha mambo.kwa mwenye taarifa nawaomba tuweke hadharani.
 
uenda kapewa adhabu kubwa hivyo wakidhani anawakilisha chadema leo bungeni kiwia kalisema la ulimboka akuna aliyeomba muongozo adhibitishe ndugai alitaka kumueleza kiwia adhibitishe akabonyezwa asiendelee kumuuliza la ulimboka ikaishia hewani cdm makao makuu mnakauli gani juu ya hili na kama chama nini kifanyike?
 
Serikali imeshindwa hoja...inatumia mabavu mtaweza?mtaua wangapi??mbona wabunge mnawapa tu mamilioni kila kukicha?
 
My beloved country Tanzania. Why HAIFU is destructing you? Where is peace said you are an Island of?

This is official announciment of War Iam going frontline follow me I will be the first person to die !!!
 
Yan haya ni mauaji kbisa na tunahitaji tamko la serikali kwa hili.

Kumbe ndio maana ya msemo wa liwalo na liwe.

Kumbe wewe ulikuwa ujui .....? That shinyiem govt.. watesaji hawa wamepata specialised training kuwashughulikia wabaya wa sirikali. wako wengi wa kutosha hawan kazi... Lazaidi mjue this party has to go... acheni kuwachekea.. Silaha yenu iko mikononi mwenu,.. kudai haki zenu mpaka kieleweke..

wanasema pesa hazipo..! za epa, za meremeta za uswiss...je..
 
I think there is a better way to solve this than to resort to use of power
 
Sasa rais ajiuzulu kwa kipi hasa?

Mimi nadhani ingekuwa busara mheshimiwa kiongozi wa madaktari Dr Ulimboka ajiuzulu mara moja kwa sababu wakati anafanya mazungumzo na hao jamaa kama alizungumza nao kama mwakilishi wa madaktari bila kupata idhini ya chama cha madaktari ni makosa makubwa!!
kwenda zako huna jipya wewe usilete siasa zako za kijijini huku
 
Hakuna lisilowezekana kwa Mungu. Ushetani hauwezi kusimama mahali ambapo pana nguvu ya Mungu. Pamoja na uaskari wao walishindwa kujua kama wamemuua Uli au la. Mungu ametaka kuwaumbua. Huo ni mwanzo wa ushindi. Ninawaambia ndugu zangu, na hao maaskari waliotumika ama mtasikia wamekufa au wamehamishwa kwenda mbali kama ilivyotokea kwa Marehem Imran Kombe. Sasa serikali itaua wangapi? mwisho wa yote ni kufa yenyewe na hapo ndipo kibao kitakapogeukia waliojifanya Miungu watu. Sasa hivi hapatawaliki lakini itafikia wakati ambapo patakuwa hapakaliki, na hao miungu watu hawawezi kukimbia na ukoo mzima. Na Mungu atawafunga wasiweze kukimbia ili waonje chungu ya mateso ambayo wengine waliyapata na wanaendelea kuyapata. Serikali fisadi isiyo na haina huruma kwa wananchi wake yenyewe. Mwaka 2015 wataomba kura, toka kwa nani? Tabu ya Askari wanafanya kazi kama 'robot' vichwa vyao sijui vikoje? utafikiri hawajawahi kuenda hata shule za awali (chekechea) Kwani katika moja ya kazi zao (job description ni kuua? Kama ni hivyo basi kazi mbili haziwezi kukaa pamoja - Kulinda usalama na haki za raia na mali zao na ile ya kuua raia. Kama ya kuua siyo moja ya kazi zao, how comes wanatumwa kuua wanakubali? ndiyo maana nasema wako kama hawajahudhuria hata shule ya chekechea. Busara ya kawaida tu na uwepo wa Mungu mioyoni mwao usingewatuma kufanya hivyo, sasa wamepata nini? mwisho wa ubaya ni aibu.
Lakini nadhani askari wengi naturally ni majambazi, hivyo kuua kwao ni sawa tu.
 
Hivi kwani ni lazima jk amalize mda wake? Katiba inasemaje pale kiongozi wa nchi anaposhindwa kuongoza?

Hatuna katiba ndo tunatunga katiba sasa hivi kwa hivyo nadhani umenielewa ok ndoja nikunong'oneze....ata rais hatuna!
 
Comando Uli has become an "enemy of state"

Huyo Dr Ulimboka siyo COMANDO,atakuwa ni mla rushwa (CORRUPT) sana na inavyoonekana anaweza kuwauza wenzake.Nasema hivyo kwa sababu ukiiangalia hii incidence unaona kuwa huyu Dr Ulimboka ana tamaa ya pesa na anaendesha mgomo kwa kushawishi wenzake ili anufaike binafsi.Nasema hivyo kwa sababu hebu fikiria kwa akili ya kawaida tu,wewe una ishu kubwa kama hiyo ya mgomo,halagu unaitwa na mtu usiyemjua ili mkafanye reconcilliation na wewe unaenda tena peke yako!!!!.Bila shaka ni reconcilliation kuhusu mgomo.Hapo naona kuwa anaweza kuitwa na watu asiowajua na yeye akaenda tena peke yake!!!!.Baada ya hapo anaweza kuwageuka wenzake.HAFAI KABISA ANASUMBULIWA NA TAMAA NA NJAA TU.
 
Nina hasira saana, natamani lile gulf stream liporomoke toka mawinguni mpaka ardhini iwe mwisho wa huyu dhaifu anayenyofoa roho za watu kama hana akili nzuri.
 
"Ndugu zangu,
Najaribu kutuliza mawazo ili angalau niweze kuwapa kidogo tulipofikia na tunakoelekea juu ya suala hili. Kwa kweli haivumiliki ukimwona ulimboka kwa jinsi alivyotendewa na hali aliyonayo; kwa wale wanaojua hali za kitabibu, "this is a very unstable condition that demands permanent watch 24/7".
Kwa taarifa tulizokusanya, ulimboka na mwenzake waliitwa na Afisa mmoja (Jina linahifadhiwa) ili kuzungumza mambo (fulani) na wakiwa wanaendelea na mazungumzo bila kuwa na mwelekeo wa muafaka, jamaa akawasiliana na watu (fulani) kwa simu. Ghafla wakajitokeza "ASKARI" wakawataka yule (Afisa) na Dr (aliyeongozana na Ulimboka) waendelee na shughuli zao na kuwambia "Tunamtaka huyu". Wakatumia nguvu, wakamburuta na kumtia kwenye gari jeusi na kuondoka naye wakidai wanampeleka Polisi.

Huku wakiwa wanamtesa, walimlazimisha mambo kadhaa (kwa sasa tusiyataje) wakaenda naye asikokujua, wakampiga sana kwa ngumi, mateke na magongo na wakati mwengine wakitumia Bunduki zao. Wakiwa wanampiga pia walikuwa wakisema kuwa amewatesa/wasumbua sana na kuwa anajifanya mjanja mbele ya (Srk) na hivyo wanamalizana naye; akapoteza fahamu...

Wakamtupa eneo la mapori huko Tegeta hadi alipookotwa na wananchi asubuhi na kukabidhiwa mikononi mwa Wanaharakati waliompeleka Hospitali Muhimbili.

Wakati akipokelewa MOI tayari baadhi ya wanaharakati walishafika eneo lile, kumbe kati ya walimpokea alikuwamo kijana anayesadikiwa kuwa ni "Askari". Huyu aligundulika baada ya mda mfupi akiwa amejificha chooni akiwasiliana kwa simu na watu aliokuwa akiwaambia " Hajafa. Bado anahema.... na maneno mengine yaliyoashiria kuwa waliofanya 'kazi' ile hawakukamilisha 'maagizo'. Vijana wakamfundisha adabu kwa hasira na kumkuta akiwa na RedioCall, ambayo baada ya muda mfupi Polisi FFU walifika na gari na vifaa vya vurugu wakiisaka ile Radio.


Nashindwa kuendelea....."
NB: Haya ni maelezo ya mwanaharakati Albanie Marcossy aliyehusika kumsaka kama nilivyoyanukuu Mabadiliko Forums.

Mimi hapo penye red ndo panaponifanya nishangae sana juu ya hii skendo. Hata kwenye ile thread nyingine nilijikuta nashindwa kuamini kama serikali imehusika.

Swali langu ni kuwa "Ulimboka alitekwa peke yake, na baada ya kuokotwa alikuwa hana fahamu na hawezi kuongea. Je, haya yaliyomtokea kayasema nani?
 
Mbona watu kibao wanakufa kwa ajili ya yeye kuhamasisha mgomo hamsemi? na una uhakika upi ni serikali ? je unajua kuna maadui angapi wake ?
SEMA KWANZA UFISADI MNAOUFANYA WEWE NA CHAMA CHENU CHA CCM AMBAO NDIO CHANZO CHA MIGOMO YOTE ILIYOKWISHA TOKEA,INAYOTOKEA/ENDELEA NA ITAKAYO KUJA KUFANYIKA SOON.
CHANZO CHA MATATIZO YOTE NI CCM,CHANZO CHA VIFO VYA WATU LEO WANAKUFA AMA KWA SABABU YA MGOMO AU KUKOSA HUDUMA NA MADAWA HOSPITALINI NI SABABU YA CCM,WATOTO WANAVYOKAA CHINI HUKO MASHULENI NI SABABU YA CCM,WATOTO WANAFAULU KUINGIA SEKONDARI HUKU HAWAJUI KUSOMA WALA KUANDIKA NI KWA SABABU YA CCM,DHULUMA ZOTE UNAZOZIONA KAMA UNA MACHO NI SABABU YA CCM KUKUMBATIA UFISADI AMBAO MATOKEO YAKE UNMEZAA MATATIZO MENGI KARIBU KATIKA KILA SCTOR,LEO WAFUGAJI WANALIA,WAKULIMA WANALIA,WAVUVI WANALIA,USAFIRISHAJI KUPITIA MALORI(MADEREVA) WANALIA Kumbuka nao walikuwa kwenye mgomo,WALIMU WANALIA,MADAKTARI WANALIA,Kwenye sector binafsi wafanya kazi huko wanalia na wamekuwa katika migomo na msuguano mkali na waajiri wao,Usafiri wa anga wanalia,sasa leo unapohoji eti dr Ulimboka amegomesha madaktari unatia hasira sana natamani nikiuone,hujui aliesababisha mgomo,sio Ulimboka ni CCM kukumbatia ufisadi,leo kuna zaidi ya billioni 300,watu wamehifadhi nje na inasemekana zinatokana na makampuni yaliyowekeza hapa(makampuni ya nje)wakati huo huo unatuambia TZ ni masikini haiwezi kuboresha huduma za afya,na wala kuongeza mshahara wa madaktari.ukome kabisa kuropoka
 
uenda kapewa adhabu kubwa hivyo wakidhani anawakilisha chadema leo bungeni kiwia kalisema la ulimboka akuna aliyeomba muongozo adhibitishe ndugai alitaka kumueleza kiwia adhibitishe akabonyezwa asiendelee kumuuliza la ulimboka ikaishia hewani cdm makao makuu mnakauli gani juu ya hili na kama chama nini kifanyike?

sio CDM sema watanzania tuna kauli gani juu ya hili kwa nn cdm???
 
If they wanted him DEAD, he'd be dead by now, na mngekuwa mnaongea mambo mengine kabisa.......probably, they still need him for something..........the big question is wat is it??

and kimtazamo wangu, 1st, wat has bin done to him isnt fair, Unless, he(ulimboka) framed it....najua kwa hili, wengi mtanilaumu, but mkisoma stories nyingi kama hizi, mtaona, ulimboka hatokuwa wa kwanza, kufake something like this, but FOR GOOD REASONS..............cause, seriously, kama wangetaka afe, angekufa longtym........

2dnly, killing one person for the benefit of two or more people, i find it reasonable................

u must be sick
 
Back
Top Bottom