A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

Kama ni kweli Rais huyu dhaifu atakuwa anakosea sana,ni mapema mno kwake kufanya hivyo Hapo MMC pako hot sana,yote haya ni kutokana na kuwa na washauri dhaifu pia.anataka kujikosha halafu aseme atapelekwa india ili wakammalizie huko Ashindwe na alegee na adondoke chini akikanyaga maeneo ya muhimbili.

si shaka mheshimiwa atakuja na usalama wengine ambao nao watataka kumpa pole kwa kumgusa gusa. teh teh teh teh
 
Duh ningekuwa nafikiria kama wewe hata 1/10000000000000000000000000000000, ningeomba israeli anichukue:sad:

Nimeipenda kauli yako hata ikiwa ya kizandiki lakini muelewe kabisa kuwa sisi tunasema chezea chochote humu duniani lakini siyo maisha ya mtu tena acha kabisa kuchezea maisha ya watu kwa maslahi binafsi.utakufaaa!!
 
Are u naive or plain stupid ? to fake so as to gain what ? for all those injuries sustained ?

WOW, mnama, those highlighted words proves u r both......naive and plain stupid.....lini ulianza kufatilia mabadiliko mengi katika nchi tofauti?? au experience yako ni kwa Tanzania tu, na pengine hii ndo story yako ya kwanza kuisikia??....acheni upuuzi, msome articles mbalimbali, jitihada ambazo wanaharakati wa kweli wanazifanya kuinfluence mabadiliko...yeah i accept amesustain a lot of injuries, but HAJAFA...wengine, wanapanga hiyo kitu, na wanaaamua kuuawa ili kuokoa maisha ya wengi.....seriously, nasema tena, kama ingekuwa ni kazi ya serikali, ulimboka tusingekuwa naye tena....na huo ndo msimamo wangu.........
 
Meno katolewa bila ganzi, kucha kanyofolewa hali yake ni maumivu na anaendelea kupata wanachokipata wananchi waliowasusia matibabu.

hivi mamaako yupo proud kuwa na mtoto kama wewe? Kama umesoma umetudhalilisha wasomi!
 
Kwa hali ilivyo sasa nidhahiri kuwa Ikulu ya tanzania kupitia kitengo chake cha kunyamazisha watete haki dhidi ya serikali dhalimu. kwa habari za ndani zinasema kitengo hicho kiliundwa na nyerere enzi za kuweka watu kizuwizini lakini baada ya kuondoa sheria hiyo hicho kitendo kimebakia cha kufanya kazi maalumu ya kuwashughulikia wanaokinzana na serikali.
pia kitengo hicho ndo kinatumika na CCM kuchinja watu wanaoipinga ccm watu hao tunaishi nao mitaani sio rahisi kuwatambua.
 
wanagoma na mwisho wa mwezi wanaenda na ATM kudraw Bank fedha zetu walipa kodi huku wagonjwa wetu wanakufa hospitali. hii ni halali? kwanini waendelee kulipwa mwezi huu? kwanini serikali haigomi kuwalipa kwa kususa kwao? hawatendi haki hata kidogo.
wewe kikwetu unaitwa Isembo!! unataka wafanye kazi hakuna vifaa hata gloves, wagonjwa wanalala chini x-rays na ultra sound machine hazifanyi kazi madoctor wafanyeje? pia zungumzia wabunge wanaotoa udenda bungeni mwisho wa mwezi wanaenda kuvuta 10,000,000/-
 
WOW, mnama, those highlighted words proves u r both......naive and plain stupid.....lini ulianza kufatilia mabadiliko mengi katika nchi tofauti?? au experience yako ni kwa Tanzania tu, na pengine hii ndo story yako ya kwanza kuisikia??....acheni upuuzi, msome articles mbalimbali, jitihada ambazo wanaharakati wa kweli wanazifanya kuinfluence mabadiliko...yeah i accept amesustain a lot of injuries, but HAJAFA...wengine, wanapanga hiyo kitu, na wanaaamua kuuawa ili kuokoa maisha ya wengi.....seriously, nasema tena, kama ingekuwa ni kazi ya serikali, ulimboka tusingekuwa naye tena....na huo ndo msimamo wangu.........

dhaifu.
 
To make your story total and complete add this!!1. Afsa aliyekuwa naongea naye alimchukua alimuita kando akiwa hapo LEADERS CLUB! Na Ma Dr wenzake usiku huo.2. Baada ya kutoonekana wenzake hapo Leders Club waliwasilina na Watu wa haki za binadamu na kuwajulisha.3. Ma Dr wenzake this time wakina na Hellen Kijo Bisimba ... (manomuona hapo kwenye picha za DR ulimboka)... waliondoka na kwenda kuripoti kwenye vituo kadhaa vya polisi.4. Polisi wote walisema hawana taaarifa ya mtu kama huyo na walishauriwa kurejea subuhi .5. Asubuhi wakapata taarifa toka kituo cha polisi cha Tegeta kuwa ameletwa na wanchi waliomuokota njiani...6. Source ... Hellen Kijo Bisimba ...Mwanaharakati ...!!!

Hivi Hellen Kijosimba na hicho Kitengo chake ndio wapewe Taarifa ya kupote/kutekwa Mtu kabla ya Jeshi la Polisi ? Inakubalika kweli?. Hellen afike eneo la Tukio ndio waende Polisi!! Mbona Madaktari wantuletea Hadithi za kusadikika? Eti wasomi hao..........!!
 
Are u naive or plain stupid ? to fake so as to gain what ? for all those injuries sustained ?
Mkuu hayo ni mawazo yake tuu ni kama mawazo yangu na yako hivyo usiwe mkali tufikiri kwa uhuru
 
Unakariri! dhaifu ni mtu anayeamini hafanikiwi kwa sababu kuna kitu au mtu anasababisha hivyo. Nitajie nani si dhaifu, uchadema unakutia upofu wa ubongo.
 
wewe ungekuwa na akili kuleta ujumbe wa wale waliokutuma bor mara 100 ungesema serikali inahusika kuliko kusema wananchi, so unamuua anaekutibu kesho atakutibu nani? So madk na manesi waache kuhudumia wagonjwa wote kwa vile mnawaua, hiyo serikali yako itabaki madarakani? Hata hujui kuwatetea waliokutuma, hapa serikali hawatoki, sijui hata mnapataje hizi kazi ilihali mnashindwa kufikiri cha kusema kwa mambo madogo km haya
wewe umetumwa na nani?
 
Mkuu kwenyen red hapo nadhani humjui vizuri JK. hakuna raisi aliwahi kuwa na visasi kama tuliye naye leo.

Natafuta Contacts za Babu Seya anaweza akawa anamfahamu vizuri JK kuhusiana na tabia yake ya visasi hata kwa vitu vidogo tu.
 
Mimi kila siku husema serikali hii imejaa majambazi, magaidi, mafisadi, wazinzi na ndiyo maana MUNGU ameilaani serikali hii na KAMWE nchi hii haitaendelea chini ya uongozi wa hawa watu. Sasa kitakachofuata ni viongozi kuanza kushambuliwa na raia muda si mrefu.
 
Mtuhumiwa mkuu kivipi! Msivuruge njia za upepelelezi ili watu waamini serikali ndio imefanya hivi. Kwanini isiwe chadema? Unabisha, ya Chaha wangwe yalikuwaje! Vyombo vya usalama viachwe vifanye kazi zake, "umdhaniae ndiye kumbe siye" Tupeni basi ushahidi wa tukio kutoka kitengo cha makachero wa chadema ili tuamini mnayosema. Tunamwombea Mungu Ulimboka apone ili ukweli uwe wazi
 
Mkuu umenena maisha magumu ni kwa kila Mtanzania...kila taaluma ina umuhimu wake.Watanzania wote tuwalaani madaktari kwa kitendo chao cha kinyama

Wewe mwenyewe taaluma yako ni ipi? Kama una taaluma ya EPA unahitaji mshahara wa nini? Madaktari wanahitaji kusikilizwa kama vile wanavyotusikiliza sisi tukienda kuwaona tuwapo wagonjwa. Hivi kama madaktari kila mgonjwa akienda kuwaona wakasema na wao kuwa 'liwalo na liwe' Tanzania itakuwaje? Tutumie maneno ya busara katika kuhusiana halafu tuwapo vijiweni au niwapo peke yangu hata nikitaka nijitukane ni safi tu hakuna shida.
 
Nnaomba nisome michango yenu tu huku wadau wenzangu,nnaweza changia ikafuatia ban.
 
imefika kipindi hata vijana wadogo wakitanzania tunafikiri na kutumia akiri za wazee, hivi kweli bado kuna kijana wwakati huu anaona hata kuwa mtumwa sawa ndani ya nchi yake? siku zaja wanafiki wote watalia na kusaga meno! Dr Ulimboka afe au apone haibadilishi mind au mawazo ya wataka mabadiliko nawazalendo wa haki.
 
Back
Top Bottom