A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

Madaktari waache Politics wakafanye kazi zao. Tulipokuwa tunasoma kila mtu alichagua njia yake ya maisha kwa sababu mbali mbali sitaki kuamini kwamba motivation yao ilikuwa ni mapesa tu!

Kwa hiyo ndo wafanye kwenye mazingira magumu?mbona kuna wengine hawajasoma bungeni lakini wananeemeka acha kuonyesha upumbavu wako na kikozi chako cha sociology
 
wanagoma na mwisho wa mwezi wanaenda na ATM kudraw Bank fedha zetu walipa kodi huku wagonjwa wetu wanakufa hospitali. hii ni halali? kwanini waendelee kulipwa mwezi huu? kwanini serikali haigomi kuwalipa kwa kususa kwao? hawatendi haki hata kidogo.

Na sisi tuigomee serikali kukatwa kodi zetu kwa kuwa hatujapata huduma ya afya.
 
Madaktari waache Politics wakafanye kazi zao. Tulipokuwa tunasoma kila mtu alichagua njia yake ya maisha kwa sababu mbali mbali sitaki kuamini kwamba motivation yao ilikuwa ni mapesa tu!

Kama sijakosea umekubaliana na waluomuadhibu!!! Unadhani kuna anaependezwa na migomo ya ma Dr?? Watu tunakubali tu ili haki itendeke .Ulishawahi kuvaa viatu vya Dr au muuguzi yeyote ukaona wanayo kumbana nayo?? Kuna kazi yenye kuitaji moyo kweli kama ya kumtibu binadamu!!

Kulikua na ugumu gani viongozi wetu kukuaa nao na kuelewana kwa hoja zenye muelekeo!!?? Kumpa adhabu hiyo ndo solutions?? Au kwakua wenyewe hawatibiwi hapa ndo mana?

Wanapenda miteremko kwa kwenda kutibiwa nje wakisahau kua misingi mizuri ya uko wanako kimbilia ndo ilopelekea hao kufanya vizuri.

Ifikie mahali sasa bora waumie wachache kwa kipindi kifupi wafaidike wengi kwa baadae.Aaaa inauma sana
 
Ni dhambi kubwa pia kuwa mnafiki,hivi anaenda kumuona ili iweje,wakati vijana wake ndio wametekeleza unyama huo?mi naomba tafuteni sababu zozote asiweze kumuona,au la mjipange kwa wingi sana na muandae mabango makubwa sana yenye kuonyesha namna gani serikali yake imeshiriki,namna gani waziri mkuu wake anavyoropoka,na ni namna gani alivyoshindwa kuingoza nchi na bila kusahau kuandika bango la Udhaifu wake udhaifu wa bunge na upuuzi wa bunge huku mki quote kauli ya Mnyika.
 
wanagoma na mwisho wa mwezi wanaenda na ATM kudraw Bank fedha zetu walipa kodi huku wagonjwa wetu wanakufa hospitali. hii ni halali? kwanini waendelee kulipwa mwezi huu? kwanini serikali haigomi kuwalipa kwa kususa kwao? hawatendi haki hata kidogo.

Hivi wewe unafiki kwa kutumia nini? matope? unaona watumie njia gani kuifanya serikali iwajibike? sina haja ya kurudia madai yao hapa hata mtoto alieko tumboni anayajua... na yanaweza kumalizwa kwa serikali yako kuingia mikataba yenye akili na kuboresha maisha ya watanzania na INAWEZEKANA kama huna hoja ukae kimyaaaaaa kama maiti
 
Unaweza kumkatalia mkuu wa nchi hasimuone mwananchi wake? sijui! Hata hivyo, huo si uamuzi wa maDaktari kumkatalia Rais kwenda kumuona Daktari mwenzao..bali ni uamuzi wa Dr Ulimboka mwenyewe na familia yake. Au Daktari mwangalizi wa Ulimboka anaweza kataa kwa misingi ya kitabibu kuwa mgonjwa wake hana hali nzuri kiasi cha kutembelewa!

Kabisa, kwa sababu za kitabibu unaweza kumkatalia... kwani mimi Rahisi akija nyumbani kwangu ni lazima nikubali anione? Tatizo ni kuwa pale watajaa waandishi wa habari na makada kibao kutaka kujikosha tu na kumsumbua mgonjwa... sifa za kipumbavu kama kawaida yao.....
 
Wewe mvivu wa kufikiri, serikali haiwezi kufanya mbinu dhaifu kama hiyo, bila shaka system inawatu waliofundishwa kufanya hivyo kwa ustadi mkubwa na sio Tanzania tu, nchi zote duniani zina watu hao. Serikali haiwezi kumuua mtu na kuacha 'traces" rahisi hivyo. Kumbuka hawa madaktari wamesababisha watu wengi kufukuzwa kazi, wengi wamefiwa na ndugu zao wapendwa wakati wa mgomo, sasa kwanini hamkuanzia hapo. Unakurupuka na kuishtumu serikali, mawazo yaleyale ya chuki kama yakina Kijo Disimba. Usiwe mchovu wa kufikiri, tumia kichwa kuamua sio moyo

Na vile vile ni system hiyo hiyo ambayo inatuhumiwa kushindwa kumwondoa Mwakyembe na wengineo. Ni system hiyo hiyo iliyoacha traces kwenye kifo cha Gen. Kombe na ni system hii hii yenye uvivu wa kufanya kazi zao ipasavyo matokeo yao wanatuletea chaos tu.
 
Hebu fikiria, ung'olewe meno bila ganzi, ung'olewe kucha na komeo, uvunjwe taya na fuvu la kichwa.... hili haliwezi kuisha hivi ni lazima, kwa namna yoyote ile, iko siku kuna mtu atalipia..... liwalo na liwe.....

Hebu fikiria mama mzee, mlemavu wa kuona anaishi Tandika, mwanaye pekee anaye msaidia kwa kazi ya kuendesha boda boda kapata ajali pale machinjioni temeke. Dr Ulimboka kwa msaada wa wanaharakati wachache wanaotaka kuona malengo ya chama chao ya nchi isitawalike yakifanikiwa, anawachochea madaktari wasimhudumie huyu mtoto wa masikini na hivyo kusababisha kifo chake. Lazima alipie machungu haya LIWALO NA LIWE
 
Jamani tunakoelekea ni kubaya. Nchi hii imekosa mwelekeo kwa kuwa na rais dhaifu, waziri mkuu dhaifu na CCM chovu! Hata siku hizi ukiongea na jamaa wanaojiita usalama wa taifa utagundua hatuna mwelekeo kama nchi. Wao wenyewe wako kwa maslahi binafsi na si ya taifa. Usalama wa Taifa si kama enzi za Nyerere. Uwezo wa kufikiri, kushauri na kutekeleza ni mdogo na ndio maana wanafanya mambo bila kufikiria impact yake itakuwa ni nini. Waziri mkuu anazungumzia swala na amri ya mahakama na jana bungeni anasema serikali ilikuwa inasubiri utekelezaji wa amri ya mahakama na wao kama serikali walikuwa hawataki kuingilia utendaji wa mahakama. Hivi ni nani alipeleka kesi mahakamani? Sio serikali? Je, serikali ilikuwa na namna nyingine ya kukaa na madaktari? Na kama jibu ni ndio na kama walishakaa, je tatizo liko wapi? Nadhani madaktari, pamoja na swala la posho ambalo hata wabunge wanalipigania kila siku na huku wengine wakiwa hawana uwezo wa kuwakilisha wananchi, kuna maswala mengine ya msingi ambayo serikali ina haja ya kuyafanyia kazi ikiwa ni pamoja na uboreshaji wa huduma za afya hospitalini. PINDA fanya kazi, tumechoka na porojo zako. Kama kazi inakushinda, au umezidiwa, anchia ngazi.
 
Udhaifu unaendelea... Hivi inawezekana vp gari isiyokuwa namba itoke Viwanja vya Leaders mpaka Mabwepande bila ya polisi kulikamata, wakati inaeleweka wazi hata gari mpya yenye chasis namba mwisho wa kutembea ni saa 12 jioni zaidi ya hapo inakamatwa? Vyombo vya dola nchi hii vipo kweli?
 
haya ni matatizo ya kuangalia tamthilia za Thailand!!!!

LOL we Bigirita umenifanya nicheke kwa nguvu.

Hivi haijakubalika tu kuwa hii system yao ni feki? Kila siku inafail kazi inayotumwa, kila siku inavujisha siri afu bado watu wana imani nayo? Na si ajabu hiyo hiyo system ndio imefanya makusudi ya ku'mwua' nusu ili ijulikane!
 
wanagoma na mwisho wa mwezi wanaenda na ATM kudraw Bank fedha zetu walipa kodi huku wagonjwa wetu wanakufa hospitali. hii ni halali? kwanini waendelee kulipwa mwezi huu? kwanini serikali haigomi kuwalipa kwa kususa kwao? hawatendi haki hata kidogo.

Mkuu umenena maisha magumu ni kwa kila Mtanzania...kila taaluma ina umuhimu wake.Watanzania wote tuwalaani madaktari kwa kitendo chao cha kinyama
 
wanagoma na mwisho wa mwezi wanaenda na ATM kudraw Bank fedha zetu walipa kodi huku wagonjwa wetu wanakufa hospitali. hii ni halali? kwanini waendelee kulipwa mwezi huu? kwanini serikali haigomi kuwalipa kwa kususa kwao? hawatendi haki hata kidogo.
siyo mzima wewe!
 
Rais wetu ni dhaifu!!
Anapenda sanaaa sifa!
Anapenda saana kujipendekeza!
Tatizo
KUWA NA RAIS DHAIFU.
 
wanagoma na mwisho wa mwezi wanaenda na ATM kudraw Bank fedha zetu walipa kodi huku wagonjwa wetu wanakufa hospitali. hii ni halali? kwanini waendelee kulipwa mwezi huu? kwanini serikali haigomi kuwalipa kwa kususa kwao? hawatendi haki hata kidogo.

Mgomo ni mojawapo ya mwisho kabisa kudai haki. Kama wametumia njia za awali zikashindikana, wana haki kugoma. Aidha, kugoma hakumnyimi mtumishi haki ya mshahara, hata akisimamishwa kazi, ataendelea kupokea hadi pale atakapokutwa na hatia ya kumwondolea utumishi.
 
Back
Top Bottom