Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,903
- 1,983
Serikali anayo iongoza ni mtuhumiwa mkuu,hivyo rais Kikwete ni mtuhumiwa!!
Nadhani si sahihi kwake kwenda kwa dr Ulimboka bali itakuwa busara kama akijielekeza kujibu tuhuma nzito zinazo elekezwa kwa serikali anayo iongoza.
Nadhani si sahihi kwake kwenda kwa dr Ulimboka bali itakuwa busara kama akijielekeza kujibu tuhuma nzito zinazo elekezwa kwa serikali anayo iongoza.