Baba mtakatifu91
JF-Expert Member
- Apr 25, 2026
- 3,574
- 7,446
Ukiachilia mbali na vipimo vya DNA nitumie njia gani ili kubaini kama kabeba mimba yangu huyu mwanamke? Nimeandika nikiwa na machungu sana haiwezekani baada ya kunasa ujauzito amekuwa akiniona kama takataka tu. Kama sifai kwa chochote kwake. Tofauti na mwanzo alinipenda sana ila kwa sasa upendo umeshuka kama CD4