Its Jensen
Member
- Mar 30, 2023
- 59
- 97
...
AiseeInch 24 frameless hiyo ndo bei yake full box Kkoo tena siku hizi hadi 150,000 refurbrished wanakupa.
Sijaona ulichokishusha hapo wewe ni winga mbobevu na vistory uchwara vya kutia huruma huna tatizo lolote upate mgao kwa kitu refurbrished.
Ingekuwa inch 27+ unauza kwa bei hiyo hapo kweli tech experts tungejua una shida.
Kama unabisha kazunguke fb market utaona bei za hivyo vidude, havina soko tena.
Mwenye macho na aone, mwenye masikio na asikie.
Winga wapi Mzee monitor ipo nyumbani huoni nimesema na risiti ya manunuzi ninayo? Au kwakua nimetumia picha ya dukaniSio bei yake hio, we winga acha ujinga nna 130k hapa nicheki.
Monitor ni Moja na sijauza bado na ipo nyumbaniFormula yako ya kuuza vitu nimeipenda.
Risiti ya manunuzi ninayo nilinunua kwa Lindsey skycity mallSio bei yake hio, we winga acha ujinga nna 130k hapa nicheki.
Mi nilinunua skycity mall kwa 285K na monitor ipo nyumbani kwangu sio dukani, mi Sina duka la laptop Wala sio wingaInch 24 frameless hiyo ndo bei yake full box Kkoo tena siku hizi hadi 150,000 refurbrished wanakupa.
Sijaona ulichokishusha hapo wewe ni winga mbobevu na vistory uchwara vya kutia huruma huna tatizo lolote upate mgao kwa kitu refurbrished.
Ingekuwa inch 27+ unauza kwa bei hiyo hapo kweli tech experts tungejua una shida.
Kama unabisha kazunguke fb market utaona bei za hivyo vidude, havina soko tena.
Mwenye macho na aone, mwenye masikio na asikie.
Nilinunua 285,000 mpya kwenye box mwezi wa nne skycity watu wanasema mi winga wakati monitor mpaka leo ipo ndanikwa nini unasema bei ya hasara?
Tuma picha ya monitor achana na izo za mtandaoni piga picha monitor ako tuioneNilinunua 285,000 mpya kwenye box mwezi wa nne skycity watu wanasema mi winga wakati monitor mpaka leo ipo ndani
Tuma picha ya nyumbani,sasa unaonyesha kingine unauza kingine unatuchanganya wanunuziMonitor ni Moja na sijauza bado na ipo nyumbani
Hakika, afanye hivi kama yuko serious.Tuma picha ya nyumbani,sasa unaonyesha kingine unauza kingine unatuchanganya wanunuzi