Rekodi imeandikwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es salaam leo tarehe 5 Nov 2023,timu Bora barani Afrika, Yanga imeifunga timu bora ya Simba magoli 5-1, katika mchezo ulioonyesha ubora wa timu ya Yanga ukifanana na ubora wa Mabingwa wa Afrika mwaka 2016 timu ya Mamelodi Sundowns...