Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,070
- 3,705
Hapo vip!
Leo ilikuwa nawasikiliza waandishi wa habari walijaribu kuwahoji wachezaji wa ALLy Ahlly dhini ya kujuaa ukubwa wa Simba cl na yanga.
Wachezaji wa Ally Ahly wamesea hawajawahi kukutana na yanga kwasababu ni timu ndogo ila kwa tanzania ni maarufu,wakasema timu kubwa wanaoijua Tanzania na namba moja kwa ubora ni Simba.
Kama muarabu aliyeandikwa kwenye vitabu vyote vya dini amekiri Simba ndio timu bora na namba one Tanzania. Wewe ngozi nyeusi mwenye ukurutu mpaka kwenye akili ni nani? Maana ake huna akili na medula oblangata na ubongo wa mbele itakuwa na ugonjwa wa ubishi na upumbavu.
Leo ilikuwa nawasikiliza waandishi wa habari walijaribu kuwahoji wachezaji wa ALLy Ahlly dhini ya kujuaa ukubwa wa Simba cl na yanga.
Wachezaji wa Ally Ahly wamesea hawajawahi kukutana na yanga kwasababu ni timu ndogo ila kwa tanzania ni maarufu,wakasema timu kubwa wanaoijua Tanzania na namba moja kwa ubora ni Simba.
Kama muarabu aliyeandikwa kwenye vitabu vyote vya dini amekiri Simba ndio timu bora na namba one Tanzania. Wewe ngozi nyeusi mwenye ukurutu mpaka kwenye akili ni nani? Maana ake huna akili na medula oblangata na ubongo wa mbele itakuwa na ugonjwa wa ubishi na upumbavu.