ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,895
Club ya Simba ni moja kati ya Klabu inayopenda sifa za hovyo na za kipropaganda, kesho Jumamosi Simba inaenda kunyolewa huko ugenini na Galaxy, halafu kesho mashabiki wa mihemko wa Simba kama kawaida yao watarudi kwenye Media na kuanza kusema Mangungu aondoke, Try Again, Saido, Chama, Kapombe Mzee, Ngoma tumepigwa, Kosha mpya hatoshei.
Wao siku ya leo Simba wameamua kuwekeza nguvu zao juu ya mambo haya;
1. AL Ahly wamesema Simba ni kubwa Tanzania kuliko Yanga
2. Rais wa FIFA kasema Simba inacheza mpira mzuri kuliko Mamelod na Al Ahly
3. Kocha wao mpya ni kocha wa makombe na Yanga wanamjua, na ameshazifunga AL Ahly na Yanga
4. Yanga Taifa anaenda kupigwa nyingi na Al Ahly
Hizo zote hapo juu ni Propaganda, sasa nyie acheni kudeal na timu yenu, endeleeni kuaingalia Yanga, badala mumuulize Mo ni lini ataleta bilioni 20 za hisa.
Wao siku ya leo Simba wameamua kuwekeza nguvu zao juu ya mambo haya;
1. AL Ahly wamesema Simba ni kubwa Tanzania kuliko Yanga
2. Rais wa FIFA kasema Simba inacheza mpira mzuri kuliko Mamelod na Al Ahly
3. Kocha wao mpya ni kocha wa makombe na Yanga wanamjua, na ameshazifunga AL Ahly na Yanga
4. Yanga Taifa anaenda kupigwa nyingi na Al Ahly
Hizo zote hapo juu ni Propaganda, sasa nyie acheni kudeal na timu yenu, endeleeni kuaingalia Yanga, badala mumuulize Mo ni lini ataleta bilioni 20 za hisa.