Yanga wanacheza kwa papara, jazba na kukamia, hawajui mpira

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Oct 23, 2016
2,070
3,705
Hapo vipi?

Kuna jambo nimejifunza sana kwenye hii michuano ya club bingwa.

Kwanza uelewe hizi timu zinazocheza ni bora sana, hilo ni la kwanza kabisa.

Hivyo wanapokuja katika michuano hii hawachezi kwa lengo la kumiliki mpira na kushambulia ila wanacheza technically (mpira wa akili na wamaarifa za hali ya juu).

Yanga naona amekuja kama mshamba fulani katika michuano hii. Mfano wake mrahisi ni sawa sawa na mtu aliyetoka porini au kijiji akafika mjini akaanza kufanya mambo ambaya yanautambulisha ushamba wake. Yaani kuwaona watu wa mji ule hawajui hizo swaga zake, kumbe zilishapitwa na wakati.

Hivyo hizi timu bora na zenyeuzoefu na michuano hii zinatumia ushamba wa Yanga kucheza technically na kuondoka na point kilaini. Kwa hiyo ulemmchezo wa yanga ni mpira inayochezwa na timu inayoitwa siamini kushiriki mashindano haya.

Yanga inaweza kufungwa karibia mechi zote katika league hii, hata kesho kuna magoli yasiopungua 2 au matatu.

Angalia hata Ally Ahly alivyocheza na Yanga, hana pressure wala haraka.
 
Hapo vipi?

Kuna jambo nimejifunza sana kwenye hii michuano ya club bingwa.

Kwanza uelewe hizi timu zinazocheza ni bora sana, hilo ni la kwanza kabisa.

Hivyo wanapokuja katika michuano hii hawachezi kwa lengo la kumiliki mpira na kushambulia ila wanacheza technically (mpira wa akili na wamaarifa za hali ya juu).

Yanga naona amekuja kama mshamba fulani katika michuano hii. Mfano wake mrahisi ni sawa sawa na mtu aliyetoka porini au kijiji akafika mjini akaanza kufanya mambo ambaya yanautambulisha ushamba wake. Yaani kuwaona watu wa mji ule hawajui hizo swaga zake, kumbe zilishapitwa na wakati.

Hivyo hizi timu bora na zenyeuzoefu na michuano hii zinatumia ushamba wa Yanga kucheza technically na kuondoka na point kilaini. Kwa hiyo ulemmchezo wa yanga ni mpira inayochezwa na timu inayoitwa siamini kushiriki mashindano haya.

Yanga inaweza kufungwa karibia mechi zote katika league hii, hata kesho kuna magoli yasiopungua 2 au matatu.

Angalia hata Ally Ahly alivyocheza na Yanga, hana pressure wala haraka.
Mnaojua mmefanya Nini Sasa....Yanga inatisha inacheza soka tamu! Kama unabisha kataa mara 5.
 
Hapo vipi?

Kuna jambo nimejifunza sana kwenye hii michuano ya club bingwa.

Kwanza uelewe hizi timu zinazocheza ni bora sana, hilo ni la kwanza kabisa.

Hivyo wanapokuja katika michuano hii hawachezi kwa lengo la kumiliki mpira na kushambulia ila wanacheza technically (mpira wa akili na wamaarifa za hali ya juu).

Yanga naona amekuja kama mshamba fulani katika michuano hii. Mfano wake mrahisi ni sawa sawa na mtu aliyetoka porini au kijiji akafika mjini akaanza kufanya mambo ambaya yanautambulisha ushamba wake. Yaani kuwaona watu wa mji ule hawajui hizo swaga zake, kumbe zilishapitwa na wakati.

Hivyo hizi timu bora na zenyeuzoefu na michuano hii zinatumia ushamba wa Yanga kucheza technically na kuondoka na point kilaini. Kwa hiyo ulemmchezo wa yanga ni mpira inayochezwa na timu inayoitwa siamini kushiriki mashindano haya.

Yanga inaweza kufungwa karibia mechi zote katika league hii, hata kesho kuna magoli yasiopungua 2 au matatu.

Angalia hata Ally Ahly alivyocheza na Yanga, hana pressure wala haraka.
Ila simba
 
Sasa wewe unayeujua mpira mbona sijaona ukielezea kitaalamu wanatakiwa kucheza vipi?
Huko kucheza technically ndio kukoje?

Kuna shida gani katika mfumo, wanatakiwa wabadili kwenda mfumo gani, wakishambulia waende vipi na wakati wa kushambuliwa wajilinde vipi.

Vyote hujaelezea zaidi ya kuongea yasiyo na maana. Wakati mwingine mjaribu kutafakari kabla ya kuanzisha thread, msituchoshe kusoma ujinga inakera.
 
Sasa wewe unayeujua mpira mbona sijaona ukielezea kitaalamu wanatakiwa kucheza vipi?

Kuna shida gani katika mfumo, wanatakiwa wabadili kwenda mfumo gani, wakishambulia waende vipi na wakati wa kushambuliwa wajilinde vipi.

Vyote hujaelezea zaidi ya kuongea yasiyo na maana. Wakati mwingine mjaribu kutafakari kabla ya kuanzisha thread, msituchoshe kusoma ujinga inakera.
Siwezi mpa mpumbavu mbinu hata siku moja,acha afe na upumbavu wake
 
Back
Top Bottom