Viongozi washamba Yanga hawahitajiki. Tujikite kwenye mechi na Al Ahly

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
56,607
93,385
Kwakweli dunia inakwenda kasi sana, Jana nimeona page ya Yanga ikihamasisha mashabiki kwenda kupokea Mgeni airport, basi nikajuwa ni mchezaji mpya kumbe eti ni msanii.

Viongozi msilete masihara, mechi na Al Ahaly ni ngumu Kwahiyo tuache ujinga ujinga tujikite kwenye maandalizi ya mechi hii muhimu.

Utoto wa kina Ally Kamwe na misuli yao ni upuuzi mtupu, uwanja wa michezo siyo sehemu ya kuvaa misuli kuna sports kit.

Simba na Yanga ni muda wa kuachana na hawa washamba wote.
 
Sasa hapo ni nini mkuu kilichokufanya utoke povu hivyo? Sasa wakifanya hivyo wewe kinakuuma nini? Mbona Hemedy Ally anazunguka mitaani na wachezaji wa 5imba kila siku wanaomba mashabiki wasiwasuse na waje uwanjani? Ni kweli 5 ndio tatizo.
 
Tatizo ni utoto, kuna watu wapo Yanga lakini bado wanaakili za kitoto. Ni muhimu kwa CEO, pamoja na raisi wa Yanga kuchuja matukio sio kuwasikiliza akina Ally Kamwe na Priva kwa kila jambo. Kuangaika na mabango ya magoli matano ulikuwa ni utoto kama wafanyavyo sasa kwa kutengeneza tension kwa mambo ya upumbavu. Tuisushe brand ya Yanga kwa ujinga kiasi hiki.

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Kipindi Cha kwAnza goli litaungwa na mzize na kukataliwa,baadaye nimeona yanga akitawala mpira na kushambulia na kutawala mpira Kwa Kasi kubwa ,Kwa hiyo kipindi Cha kwAnza kitaisha 1-1,yanga atasawazazisha Kwa mpira wa kutengwa kutokea upande wa Julia,kwa upande wa Simba nimekutana na mashabaki wake wakiwa wapole mno kipindi Cha kwAnza,wakianza kuondoka kwenye mabanda ya kuangalia mpira.ila sijui Kwa upande wa yanga itaisha vipi.watu wa Simba mjipange kisaikolojia.mvua itanyesha kiasi lakini Hali itakaa sawa
 
Kipindi Cha kwAnza goli litaungwa na mzize na kukataliwa,baadaye nimeona yanga akitawala mpira na kushambulia na kutawala mpira Kwa Kasi kubwa ,Kwa hiyo kipindi Cha kwAnza kitaisha 1-1,yanga atasawazazisha Kwa mpira wa kutengwa kutokea upande wa Julia,kwa upande wa Simba nimekutana na mashabaki wake wakiwa wapole mno kipindi Cha kwAnza,wakianza kuondoka kwenye mabanda ya kuangalia mpira.ila sijui Kwa upande wa yanga itaisha vipi.watu wa Simba mjipange kisaikolojia.mvua itanyesha kiasi lakini Hali itakaa sawa
Miafrika bwana,
 
Kipindi Cha kwAnza goli litaungwa na mzize na kukataliwa,baadaye nimeona yanga akitawala mpira na kushambulia na kutawala mpira Kwa Kasi kubwa ,Kwa hiyo kipindi Cha kwAnza kitaisha 1-1,yanga atasawazazisha Kwa mpira wa kutengwa kutokea upande wa Julia,kwa upande wa Simba nimekutana na mashabaki wake wakiwa wapole mno kipindi Cha kwAnza,wakianza kuondoka kwenye mabanda ya kuangalia mpira.ila sijui Kwa upande wa yanga itaisha vipi.watu wa Simba mjipange kisaikolojia.mvua itanyesha kiasi lakini Hali itakaa sawa
Ki ujumla Kuna mtu atafungwa mbili moja hata kama goli litakataliwa.
 
Kipindi Cha kwAnza goli litaungwa na mzize na kukataliwa,baadaye nimeona yanga akitawala mpira na kushambulia na kutawala mpira Kwa Kasi kubwa ,Kwa hiyo kipindi Cha kwAnza kitaisha 1-1,yanga atasawazazisha Kwa mpira wa kutengwa kutokea upande wa Julia,kwa upande wa Simba nimekutana na mashabaki wake wakiwa wapole mno kipindi Cha kwAnza,wakianza kuondoka kwenye mabanda ya kuangalia mpira.ila sijui Kwa upande wa yanga itaisha vipi.watu wa Simba mjipange kisaikolojia.mvua itanyesha kiasi lakini Hali itakaa sawa
Wewe nawe na LIKUD mnafanana, Sasa una uhakika gani Mzzize ataanza kipindi cha kwanza, wakati mara zote anaingia sub

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Jamani wanaichiiii jmos hamuwezi kushindwa kwa mkapa...
Mech ya al ahly na medeama al ahly wakiwa nyumbani, medeama kpnd cha kwanza walikomaa wakamaliza 0:0, kipindi cha pili medeama wakapigwa 3:0, yanga tuna cha kujifunza kwenye ile mech, al ahly wana mbinu sana, ila yanga ikijipanga vzur na kutokufanya makosa madogomadogo kama waliyofanya kwenye mech na CR, kuna uwezekano wa 60% yanga kushinda mech yake dhidi ya al ahly.
 
Kipindi Cha kwAnza goli litaungwa na mzize na kukataliwa,baadaye nimeona yanga akitawala mpira na kushambulia na kutawala mpira Kwa Kasi kubwa ,Kwa hiyo kipindi Cha kwAnza kitaisha 1-1,yanga atasawazazisha Kwa mpira wa kutengwa kutokea upande wa Julia,kwa upande wa Simba nimekutana na mashabaki wake wakiwa wapole mno kipindi Cha kwAnza,wakianza kuondoka kwenye mabanda ya kuangalia mpira.ila sijui Kwa upande wa yanga itaisha vipi.watu wa Simba mjipange kisaikolojia.mvua itanyesha kiasi lakini Hali itakaa sawa
Ndio maana serikali inakataza ramli chonganishi
 
Kwakweli dunia inakwenda kasi sana, Jana nimeona page ya Yanga ikihamasisha mashabiki kwenda kupokea Mgeni airport, basi nikajuwa ni mchezaji mpya kumbe eti ni msanii.

Viongozi msilete masihara, mechi na Al Ahaly ni ngumu Kwahiyo tuache ujinga ujinga tujikite kwenye maandalizi ya mechi hii muhimu.

Utoto wa kina Ally Kamwe na misuli yao ni upuuzi mtupu, uwanja wa michezo siyo sehemu ya kuvaa misuli kuna sports kit.

Simba na Yanga ni muda wa kuachana na hawa washamba wote.
Naunga mkono hoja,hivi vilabu vimepatwa kweli kweli na washabiki washamba na viongozi wenye utoto mwingi.
 
Back
Top Bottom