Karibuni tufuatilie mechi hizi pamoja
Tushuhudie vigogo hawa watakavyofanya hii Leo
Utaburi wangu
Prison 0- 3 Simba
Yanga 1- 3 Tanpolis
OKW BOBAN SUNZU GENTAMYCINE @Forteleza na wengine toka vyurani
Updates
Kikosi cha simba
Manula
Kapombe
Tshabalala
Nyoni
Onyango
Mkude
Mzamiru
Bwalya...
habari wapenda soka,
jana kulikuwa na mechi ya nusu fainali ya kwanza ya ligi ya mabingwa africa, kati ya Waydad casablanca na Al ahly
mechi hiyo ilichezwa mjini Cassablanca huku waydad akiwa mwenyeji. na al ahly alikuwa ugenini.. mechi iliisha kwa al ahly kushinda goli 2-0 ugenini
katika...
Kitendo cha baadhi ya mashabiki kuhamasishana wakaishangilie timu ya taifa la kigeni ni sawa na kuifanyia nchi ya kigeni ujasusi dhidi ya nchi yako ambayo huhesabiwa ni uhaini na adhabu yake ni kunyongwa hadi kufa
Wasalaam
Aambiwe kwamba
1. SIMBA SC is another level hapa VPL
2. Viwango vya wachezaji wa Yanga ni vya chini ukilinganisha vya wale wa Simba
3. Kwenye derby ya Kariakoo asijichanganye akachezesha free game kisa achezeshe pira biriani, atajuta (a) kuijua Simba (b) kuifundisha Yanga
Mpelekeeni...
“Sichezeshi wachezaji 11 bora uwanjani nachezesha timu bora uwanjani. Sichezeshi jina wala staa, nachezesha timu ambayo italeta mafanikio na usishangae mchezaji mkubwa akawa anakaa benchi. Tunaangalia timu zaidi” Cedric Kaze'
HabariLeo na Mwanaspoti
Kama kuna Kosa ambalo huyu Kocha Mburundi...
Wote waliopo 'pale' hakuna aliyeitwa National Team hata kwa kutajwa tu...Hata hivyo Yanga imemnasa Kitasa Saidi Ntibazonkiza. Tunasema hivi Yanga ilipo tupo.. Bw Saidi akifika tunamsubiri kwa hamu tukamlaki Pale Airpprt
Kuna wakati unashindwa kuelewa kile wanachokifanya uongozi wa Yanga. Iko siku uongozi huu utaingia kwenye ugomvi mkubwa na wanachama na wadau wa Yanga.
Matukio ya hovyo mpaka sasa chini ya uongozi huu:
1. Kumpoteza Beno Kakolanya
2. Kufujuza mpambanaji Zehera
3. Kuwafukuza akina Balinya
4...
Natamani iandaliwe mechi hiyo iwe official kabisa pale kwa mkapa..
Wachezaji wawepo mashabiki kindakindaki wa timu hizo pendwa nchini..ikibidi ni wale tu ambao wana fahamika..yaani watu maarufu mfano ..viongozi wa kidini, kisiasa, kielimu nk. wasanii, waburudishaji, watu wa media, social...
Moja ya sababu ya msingi ambayo TFF kwa kujua au kutojua kuhairisha mechi ya yanga na Simba kuelekea UCHAGUZI imesaidia Sana kuja kutumika kutunishiana kifua kwa wagombea wa Uraisi.
Kwa bahati mbaya kabisa Mpira wa miguu hasa timu za Simba na yanga uhusishwa Sana na siasa.
Ingawa haijulikani...
Ndugu zangu kama kichwa kinavyojieleza,, Tff wapo serious au mimi ndio sijaelewa?? Mechi ya Tunisia na taifa stars imepishana siku mbili Kati ya timu zenu kongwe,, sababu ilikua nini kuhairisha mechi in the first place??
1. USHIRIKINA
Tambueni ya kwamba katika Mechi hiyo (hii) Yanga SC ndiyo Mwenyeji na hakuna asiyejua kuwa Timu hizi Mbili (Vilabu hivi Vikubwa viwili ) ni 'Mabingwa' wa 'Ushirikina / Ndumbaism' na hata kwa 99% Matokeo ya Mechi zao huamuliwa na 'Majini' tupu na siyo Makocha, Wachezaji au Waamuzi...
1. Zlatko amewakataa baadhi ya Wachezaji ambao Yanga SC imewaleta kwa Mbwembwe nchini na kudai hawana Uwezo
2. Zlatko amekataa Klabu ya Yanga Kuendekeza sana Ushirikina katika Mechi zake na kusema kuwa hakuzoea Upumbavu huo
3. Zlatko ameomba atafute Kocha Msaidizi kwakuwa ameona Kocha Juma...
Hakuna haja ya kumgombania Morrison mmoja...
Nachoamini vilabu vyetu vikubwa hapa nchini vinakosa scouting nzuri za kuibua vipaji maridhawa kutoka hapa hapa nchini.
Yanga bwanaa
Au kisa Ni ile pasi ya morisson kumpa chama na chama kumpasia mfungaji kwa kisigino.
Natamani kuona vilabu vyetu...
Hii akili ya wapi? Ni akina nani wanamtuma Kubwa Jinga Mwakalebela kwa suala la Morrison?
Yanga wamepita wachezaji wangapi wakaondoka team ikabaki? Kwa nini Morrison anaonekana kututesa sana mioyo? Fredrick Mwakalebela hivi hutumii hata akili za kawaida?
Mkataba wa Morrison na Simba wewe...
Je, anayoiongoza Yeye ni Young Africans kama aliyokuwa akiitaja leo au ni Yanga African au ni Yanga Sports Club au Dar es Salaam Young African?
Kisha akishamaliza 'Kunijibu' hili namwomba pia anipe tofauti kati ya neno 'Kintu' alilokuwa akilitaja katika 'Press' yake ya leo na neno 'Kitu' ambalo...
Kwa mara nyingine timu Yanga imeendeleza WIMBI la ushindi baada ya kuikung'uta bila huruma timu 'NGUMU' kutoka ZNZ ya KMKM.
Sifa zimwendee Tonombe ambaye leo amekua mwiba MKALI baada ya kupasua NGOME IMARA mithili ya UKUTA WA BERLIN ya KMKM...!Bravo YANGA...! moto uendelee
Wadau wa michezo toka enzi na enzi tunataniana na si kuvuka mipaka ya kuanza kutafutana matawi na kuanza kubomoleana vizimba vya matawi. Toka muda mrefu nimemfuatilia msemaji wa Simba kwa kauli zake yeye anaita za kukera ndizo chokochoko ambazo washabiki wa Simba nao wanazibeba kisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.