GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,548
- 108,859
Siku hizi hata simu zangu viongozi hawapokei na wengine wame niblock kabisa zaidi na ambiwa tu kua nikipona nitafute timu nyingine sina tena nafasi."Balama Mapinduzi.
Chanzo: simbascdaily
Na bahati mbaya sana Mdogo wangu najua hilo Jeraha ni Kipapai ( Kurogwa ) na Mchezaji aliyekimbia Marekani ambaye Yanga SC imemuacha pia.
Chanzo: simbascdaily
Na bahati mbaya sana Mdogo wangu najua hilo Jeraha ni Kipapai ( Kurogwa ) na Mchezaji aliyekimbia Marekani ambaye Yanga SC imemuacha pia.