Doctor Stranger
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,202
- 6,143
Leo zime tolewa tuzo za mwezi September.. kama kawaida yao kocha Bora Cedric kaze katoka Yanga.. mchezaji bora Serge Mukoko22 katoka yanga.. duh hapa najiuliza yaani biriani lote simba tunalo cheza tikitaka, pasi kisigino hakuna hata mchezaji wala kocha alie kuwepo hata kwenye list ya wanao wania tuzo..
T..F..F haioni hujuma tunazo fanyiwa.. ki ukweli tunashushana maendeleo
#simba_nguvu_moja
Nb.Huyu mukoko atamaliza tuzo.. jamani kama vepe apigwe msumari kama wa fraga
T..F..F haioni hujuma tunazo fanyiwa.. ki ukweli tunashushana maendeleo
#simba_nguvu_moja
Nb.Huyu mukoko atamaliza tuzo.. jamani kama vepe apigwe msumari kama wa fraga