GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,427
- 108,532
Haiwezekani Wewe 24/7 tu Utangazaji wako uwapo hapo Wasafi FM kwa Kushirikiana na Mpuuzi mwenzio Yusuph Mkule nyie Kazi yenu Kuu ni kutafuta tu negative angle ya Kuihusu Simba SC na Kuichafua. Mimi huwa ni mgumu sana Kumsema (Kumnanga) Mtu ila ukiona hadi hivi leo nimekuanzishia hapa JamiiForums huu Uzi jua umenikera.
Uweledi wako katika Utangazaji kila siku unazidi tu Kushuka (Kupungua) na najua wapo Wapumbavu wanaokudanganya kuwa Utangazaji wako huo wa Kinazi wa Kuipendelea sana Yanga SC kwa Gharama ya Kuikandia (Kuisiliba) Simba SC kunakupaisha na unapatia. Kitaaluma kabisa unachokifanya Kimekuharibia na Kukutengenezea Maadui kuliko Wadau muhimu.
GENTAMYCINE sisemi kuwa Wewe (ambaye ndiyo Mkuu wa Kitengo cha Michezo) hapo Wasafi FM msiwe mnaisema Simba SC pale ikitokea imeharibu. Tena nawaomba muwe mnatusema (mnaisema) Simba SC ila iwe ni katika namna ya Uwasilishaji wa Haki na Usawa lakini siyo aina yako Wewe na Kijana Mpuuzi Yusuph Mkule ambayo ni ya Kuichafua zaidi Simba SC kwa Wasikilizaji.
Kwa mfano unaweza kukuta Maulid Kitenge unatumia dakika 120 Kuijadili Simba SC na Kosa walilolifanya ( lililofanyika ) lakini aina ya Kosa hilo hilo likitokea kwa Yanga SC ama utalikwepesha lisijadiliwe (lisiongelewe) au ukiliruhusu lizungumzwe basi utalipa dakika 15 tu na Kujifanya unaharakisha kwenda katika Taarifa zingine. Huu ni Unafiki na very Unprofessional pia.
Najua uelewa wako katika Mambo ya Marketing, PR na hata Media Studies bado ni mdogo (na katika hili usinibishie kwani nakujua kuliko unavyojijua) hivyo basi umeshindwa kujua kuwa kwa Kuwakera Kwako Wasikilizaji wengi wa Simba SC tayari umeshaipunguzia Potential Audience Wasafi FM yako na nina uhakika Watu wenu wa Marketing watakubaliana nami hapa.
Ni kwanini umeshindwa tu hata Kuwaiga Wakongwe (Seniors) Kwako na Watu waliokutoa na Kukutengeneza akina Charles Nkwanga Hillary na Idrisa Abdallah Majura ambao walipokuwa Wakitangaza Vipindi vyao vya Michezo ulikuwa huwezi kujua kuwa Hillary ni Simba SC na Majura ni Yanga SC? Mbona Ibrahim Masoud wa EFM hawezi Unazi wake Simba SC akiwa Redioni?
Sina shida kabisa na aina ya Utangazaji wako kwani hata Mimi japo ni mwana Simba SC naupenda na labda nikuambie tu Wewe umekuwa ni Mtangazaji Mahiri mno wa Michezo katika Watangazaji wa Kizazi hiki cha Kati na umeweza Kuwashawishi Watu wengi (Watangazaji) wengi wa Michezo Kukuiga kwa Mikogo yako ya Kiutangazaji au Unavyohoji ila nakuomba badilika upesi.
Kama unaipenda sana Yanga SC na najua Wewe na Mpuuzi Yusuph Mkule mpo katika Payroll ya Yanga SC ambapo kila mnapokuwa mnaisema (mnaikandia) huku mkiichokonoa Simba SC basi mwisho wa Mwezi mnaingiziwa Pesa zenu. Basi waambie Yanga SC waanzishe kabisa Redio yao ili Wewe na Mpuuzi Yusuph Mkule muhamie huko na msiiharibie Wasafi FM.
Usipobadilika unaweza ukasababisha wale tuliokuwa tukikuvumilia basi kuanzia sasa nasi uvumilivu utushinde na ili nasi pia tuweze Kukunyoosha (hasa Sisi tunaokujua) tokea ukiwa pale kwa Chichi Uwanja wa Taifa na Matendo yako ya sasa hadi hizo Safari zako za Marekani ni za nini tunaweza Kuanika au Kukuanika na ukajiona hufai tena na waliokuheshimu wakakudharau.
Namalizia tu kwa Kusisitiza sisemi muogope / muache Kutusema (Kuisema) Simba SC pale ikikosea ila jaribuni Kutenda haki na msitumike vibaya.
Uweledi wako katika Utangazaji kila siku unazidi tu Kushuka (Kupungua) na najua wapo Wapumbavu wanaokudanganya kuwa Utangazaji wako huo wa Kinazi wa Kuipendelea sana Yanga SC kwa Gharama ya Kuikandia (Kuisiliba) Simba SC kunakupaisha na unapatia. Kitaaluma kabisa unachokifanya Kimekuharibia na Kukutengenezea Maadui kuliko Wadau muhimu.
GENTAMYCINE sisemi kuwa Wewe (ambaye ndiyo Mkuu wa Kitengo cha Michezo) hapo Wasafi FM msiwe mnaisema Simba SC pale ikitokea imeharibu. Tena nawaomba muwe mnatusema (mnaisema) Simba SC ila iwe ni katika namna ya Uwasilishaji wa Haki na Usawa lakini siyo aina yako Wewe na Kijana Mpuuzi Yusuph Mkule ambayo ni ya Kuichafua zaidi Simba SC kwa Wasikilizaji.
Kwa mfano unaweza kukuta Maulid Kitenge unatumia dakika 120 Kuijadili Simba SC na Kosa walilolifanya ( lililofanyika ) lakini aina ya Kosa hilo hilo likitokea kwa Yanga SC ama utalikwepesha lisijadiliwe (lisiongelewe) au ukiliruhusu lizungumzwe basi utalipa dakika 15 tu na Kujifanya unaharakisha kwenda katika Taarifa zingine. Huu ni Unafiki na very Unprofessional pia.
Najua uelewa wako katika Mambo ya Marketing, PR na hata Media Studies bado ni mdogo (na katika hili usinibishie kwani nakujua kuliko unavyojijua) hivyo basi umeshindwa kujua kuwa kwa Kuwakera Kwako Wasikilizaji wengi wa Simba SC tayari umeshaipunguzia Potential Audience Wasafi FM yako na nina uhakika Watu wenu wa Marketing watakubaliana nami hapa.
Ni kwanini umeshindwa tu hata Kuwaiga Wakongwe (Seniors) Kwako na Watu waliokutoa na Kukutengeneza akina Charles Nkwanga Hillary na Idrisa Abdallah Majura ambao walipokuwa Wakitangaza Vipindi vyao vya Michezo ulikuwa huwezi kujua kuwa Hillary ni Simba SC na Majura ni Yanga SC? Mbona Ibrahim Masoud wa EFM hawezi Unazi wake Simba SC akiwa Redioni?
Sina shida kabisa na aina ya Utangazaji wako kwani hata Mimi japo ni mwana Simba SC naupenda na labda nikuambie tu Wewe umekuwa ni Mtangazaji Mahiri mno wa Michezo katika Watangazaji wa Kizazi hiki cha Kati na umeweza Kuwashawishi Watu wengi (Watangazaji) wengi wa Michezo Kukuiga kwa Mikogo yako ya Kiutangazaji au Unavyohoji ila nakuomba badilika upesi.
Kama unaipenda sana Yanga SC na najua Wewe na Mpuuzi Yusuph Mkule mpo katika Payroll ya Yanga SC ambapo kila mnapokuwa mnaisema (mnaikandia) huku mkiichokonoa Simba SC basi mwisho wa Mwezi mnaingiziwa Pesa zenu. Basi waambie Yanga SC waanzishe kabisa Redio yao ili Wewe na Mpuuzi Yusuph Mkule muhamie huko na msiiharibie Wasafi FM.
Usipobadilika unaweza ukasababisha wale tuliokuwa tukikuvumilia basi kuanzia sasa nasi uvumilivu utushinde na ili nasi pia tuweze Kukunyoosha (hasa Sisi tunaokujua) tokea ukiwa pale kwa Chichi Uwanja wa Taifa na Matendo yako ya sasa hadi hizo Safari zako za Marekani ni za nini tunaweza Kuanika au Kukuanika na ukajiona hufai tena na waliokuheshimu wakakudharau.
Namalizia tu kwa Kusisitiza sisemi muogope / muache Kutusema (Kuisema) Simba SC pale ikikosea ila jaribuni Kutenda haki na msitumike vibaya.