HPAUL
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 410
- 567
Mwezi wa nane mwaka huu Yanga walituaminisha kuwa wamekata rufaa FIFA katika kiengo cha CAS kupinga kitendo cha kamati ya TFF kuamua kuwa mkataba wa miaka miwili na Morrison ni batili. Baadaye Yanga kupitia Mwakalebela ikaibuka na kesi mpya kudai usajili wa Morrison Simba haukukamilika.
Je, kesi zote hizo mbili zimefikia wapi? Mwenye updates anijuze.
Je, kesi zote hizo mbili zimefikia wapi? Mwenye updates anijuze.