Umeongea kwa hasira matokeo yake hujajibu swaliNdio maana wanatoa habari hasi kwa Simba na kuficha habari mbaya za yanga ile penati wangepewa simba na yanga kunyimwa penati ungeshangaa vichwa vyao vya habari.
Utopolo huwa wanapendwa na watu wasio na akili kama hawa waandishi wetu kichwani hamna kitu
Jengeni uwanja mmepewa sehemu bure kigamboni halafu kama kawaida yenu mnataka kujimilikisha visivyo vyenuUle ni uwanja wa Yanga .... sema mikia huwa hamuelewi.
Tuntajenga training facility. Uwanja tunao, wa Mkapa ni uwanja wa wananchi na timu yao ni Young Africans. Nyie mikia uwanja wenu ni Bunju MoArena na CCP Moshi.Jengeni uwanja mmepewa sehemu bure kigamboni halafu kama kawaida yenu mnataka kujimilikisha visivyo vyenu
Labda Simba Cement.Nam nitakuuliza swali kwann wapiga picha wengi na wanaochukua video hupenda kukaa nyuma au jiran ya goli la yanga hasa zinappokutana yanga na simba ?
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Young Africans huwa hawavunji viti sasa watakaa vipi na watu bangi wale muda wowote wanang'oa viti!
Mashabiki wa Yanga huwa hawaji kwa wingi(hawajazi upande wao) hivyo kunakuwa na nafasi kubwa kwa wao kufanya shughuli zao tofauti na upande wa Simba hakuna ht sehemu ya kukanyagaNam nitakuuliza swali kwann wapiga picha wengi na wanaochukua video hupenda kukaa nyuma au jiran ya goli la yanga hasa zinappokutana yanga na simba ?
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Kitu kidogo anajifanya haelewi.Young Africans huwa hawavunji viti sasa watakaa vipi na watu bangi wale muda wowote wanang'oa viti!