yanga

Young Africans Sports Club (maarufu kama Yanga ni Timu ya Soka nchini Tanzania iliyoanzishwa mnamo mwaka 1935.

Jina la utani wanajulikana kama Timu ya Wananchi (Wananchi) au Wanajangwani.
  1. M

    Wana Yanga SC mlimpenda sana Rage alipokuwa akiinanga Simba SC, sasa na Leo kuweni pia Wavumilivu tu kwa hizi ' Sindano Dozi ' zake Kali Kwenu

    " Ni Tanzania tu TFF ndiyo imekuwa wapole ila kwa Kitendo alichofanya Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC Fredrick Mwakalebela huku akijua tena Kikanuni tu the right channels za Kupeleka Malalamiko yake Hukumu aliyopewa ni halali yake kabisa * " Kitendo cha Uongozi wa Yanga SC kujitokeza Kumtetea...
  2. M

    Maajabu haya yanapatikana tu Yanga SC

    Wakati Klabu ya Simba ikiwa inashangilia Kutinga Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika tena Convisingly kabisa huko Yanga SC katika hali ya Kushangaza leo nao Wameshangilia urejeo wa Mshambuliaji wao Mburundi Saido Ntibanzonkiza. Kuna Watu hata Aibu hawana na wala hawaogopi kutokana na Simba SC...
  3. Expensive life

    Krosi zanoga Yanga

    Mabingwa wa kihistoria ligi kuu bara, yanga sc wameendelea kujifua huko Avic town. Katika mwendelezo wa mazoezi yao mwalimu aliyepewa mikoba ya kukinoa kikosi hicho kwa muda, amekuja na programu kabambe. Programu hiyo kabambe ameipa jina KROSI.... Mikimbio kwa siku zinapigwa takribani krosi...
  4. M

    Mashabiki wa Yanga SC wakiambiwa ni ' Vichwa Maji ' / ' Kipa Katoka ' achilia mbali ' Utopolo ' wasiwe Wananuna

    Kauli za Mashabiki wa Yanga SC kabla ya Mechi ya Simba SC na El Merreikh leo.... " Leo mtafungwa hamtoamini " " Mtakoma mnacheza bila Watazamaji leo " " Leo mmekomolewa na CAF hivyo mnacheza bila Mashabiki na hamtoingia na Paka wenu wale " Kauli za Mashabiki wa Yanga SC mara baada ya Simba SC...
  5. Erythrocyte

    Uchebe akikubali kufundisha timu mbovu ya Yanga nitashangaa sana!

    Taarifa za chini kwa chini zinadokeza kwamba Timu mbovu ya Yanga imewasiliana na AFC Leopard ya Kenya kwa lengo la kumnunua kocha wake Patrick Ausem, kocha aliyewahi kuifundisha Simba ya DSM kwa mafanikio ili kuziba pengo la Kaze aliyetimuliwa. Kiukweli ikiwa kama Uchebe anataka kudhalilika...
  6. M

    Hivi Wanachama wenzangu wa Yanga SC tunasubiri nini Kumbutua (Kumuondoa) Injinia Hersi na GSM yake?

    Hakuna asiyejua kuwa All - Rounder ni mwana Yanga SC tena mwenye Umiliki wa Kadi yangu namba 357....13. Nawaombeni wana Yanga SC wote mlioko JF hebu kuanzia Kesho Alhamisi tuungane Jangwani ili tushinikize GSM na Injinia Hersi watuachie Time yetu haraka iwezekanavyo. Nataka tuwalazimishe hawa...
  7. kavulata

    Yanga jikiteni zaidi kwenye mabadiliko ya timu sio ubingwa.

    Msipokuwa makini kuna kila dalili ya kukosa vyote, ubingwa na mabadiliko ya mfumo wa club. Nionavyo mimi tumieni nguvu zenu nyingi kufanikisha mageuzi ya mfumo wa uendeshaji wa klubu yenu badala ya kufarakana wakati wa kuutafuta ubingwa wa msimu huu unaokaribia kuwaponyoka. Waambie mashabiki...
  8. N

    Fiston na Kisinda waleta raha mpya jangwani yanga

    Baada ya jana mwenyekiti Msolla kufafanua kwa ufasaha issue zinavyoenda na jinsi maadui wa team hiyo walivyo hack simu yake na kumtukana Metacha Mnata kwamba ni duka na mchawi mambo yameendelea kuwa mazuri kwa wana yanga kwani baada ya mgogoro kumalizwa rasmi na Mwenyekiti leo wachezaji wao...
  9. M

    Kwa tuliomsikiliza aliyekuwa Kocha wa Makipa Yanga Mburundi Niyonkuru katika Kipindi cha Kipenga Extra EA Radio leo, Mchawi wa Yanga SC hajajulikana?

    "Ndugu Mwandishi kuna Kiongozi Mmoja Yanga SC sitomtaja Jina kwa sasa ndiyo Sumu Kubwa ndani ya Timu na Wanayanga wasipokuwa makini nae atakuja Kuwaumiza zaidi ya hapa na Kujikuta pabaya" "Na ni Kiongozi huyo huyo pia amekuwa na tabia ya kuja Kwangu Kocha wa Makipa na mpaka kwenda kwa Kocha...
  10. Kasomi

    Historia ya Simba na Yanga

    Yanga na Simba zilianzishwa mwaka 1935 na 1936 baada ya kutokea mvurugano baina ya viongozi wa pande hizo mbili. Yanga ndio timu kongwe zaidi Tanzania ilianza 1935 wakati Simba ikitokea ubavuni mwa Yanga baada ya mvurugano huo na kuunda timu nyingine inayoitwa Sunderland. Lengo sio kutaja...
  11. Erythrocyte

    Juma Mwambusi ateuliwa kuwa kocha mpya wa muda wa Yanga

    Hii ni baada ya benchi lote la ufundi kutimuliwa. Ikumbukwe kwamba Mwambusi aliondoka kwenye benchi la ufundi la Yanga kwa sababu zilizotajwa kuwa za kiafya, lakini sasa amerejeshwa kama kocha wa muda.
  12. kavulata

    Yanga mrudisheni Zahera haraka

    Kama Zahera ataifundisha Yanga isiyotembeza bakuli yenye wachezaji kama hawa walioko sasa, mtaona maajabu ya Mussa.
  13. Erythrocyte

    Mapendekezo ya kuisaidia Yanga kuinua kiwango chao cha soka yanahitajika

    Tunawaomba wadau wa soka wote wa ndani na nje ya nchi kuisaidia timu ya Yanga katika kipindi chake kigumu inachopitia , timu hii kiukweli haikuwa na kocha , Kaze hakuwa kocha , hajui chochote kuhusu soka na sidhani kama alifurahia kazi aliyopewa . Tunawaomba wapenda soka hata kwa gharama zenu...
  14. kavulata

    Yanga dhidi ya Polisi: Nani angefanya nini ili Pius Buswita asifunge goli lile?

    Kwangu mimi hakukuwa na namna nyingine ya kumzuia mfungaji wa goli lilitosababisha Kaze afukuzwe kazi zaidi ya kusababisha penaliti. Buswita ni mrefu na alitumia urefu wake kufungu, full stop!!. Matokeo kwenye round ya pili ni hayahaya tu kwa timu zote hasa baada ya timu kufanya makosa ya...
  15. Chizi Maarifa

    Kipindi Simba wanaanza kujipanga kwa ajili ya Msimu huu wa Ligi, sisi Yanga...

    Tulikuwa busy sana na kuandaa namna ya kuwabeba akina kisinda, Sarpong, Hersi, Mukoko n.k hii ilinipa shida kiasi kikubwa sana kwa ile imani kuwa tumesajili team kabambe na hakuna team ambayo itatuzuia. Huu wazimu nikikumbuka huwa naumia sana maana nilikuwa mmoja ya watu ambao walipinga sana...
  16. F

    Mchawi wa Yanga ni mfumo wa uongozi. Msolla na Mwakalebela waondoke kwanza

    Habari wadau, Nimeona yanga leo tumemfukuza kocha Kaze. Hii haijatosha. Niliwahi kuandika kwenye uzi wa Enyimba success case study maneno haya. Mimi ni mwanayanga ila naona kabisa simba atatwaa caf champions league mapema kuliko yanga yangu kwa staili yetu ya kuwapa vyeo kina Msolla. Wazee...
  17. Shark

    Tatizo la Yanga ni "kujilinganisha na Simba"

    Wakuu Kwema? Nimekaa nimetafakari nimeona wacha niwasaidie hawa watani zangu. Afande Sele aliwahi kuuliza "Mfano Yanga Ikifa Simba itacheza na Nani?", hivyo hata kama ni Mwana Msimbazi sio vibaya nikiwasaidia. Ligi Kuu ina timu 20. Ukiiondoa Simba S.C hakuna timu katika 18 zilizobaki...
  18. ESPRESSO COFFEE

    Yanga SC yavunja benchi lake la ufundi na kuachana na Kocha Mkuu, Cedric Kaze

    Taarifa Rasmi Kutoka Yanga ni Kuwa wameamua Kuachana Na Kocha Wao Mkuu: Pamoja na Benchi Lote la Ufundi.
  19. Chura

    Yanga mchunguzeni Senzo huenda ni pandikizi la Simba

    Kuna viashiria vingi kuondoka kwa Senzo Simba haikuwa bahati mbaya bali mpango mahususi wa kuiangamiza Yanga maana huyu bwana tangu ujio wake ni draw na aibu za wagosi. Hii tabia ya utani wa jadi ya kukomoana imesababisha Yanga kuokota jasusi la msimbazi wao wakidhani wanaikomoa Simba kumbe...
  20. Shadida Salum

    Klabu bingwa Afrika: Simba ugenini kuchuana na Al Merrekh

    Al Merrekh watawakaribisha wababe wa Msimbazi katika Dimba la Al Hilal huko Khartoum saa kumi jioni, katika mchezo huo Wasudan watatafuta kupata ushindi wao wa kwanza katika hatua ya makundi ya mashindano hayo Al Merrikh watawakaribisha Simba SC ambao wameshinda michezo yote miwili ya...
Back
Top Bottom