Tunzo
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 4,021
- 2,296
Wito kwa CAF na FIFA wafwatilie kwa karibu sakata Yanga na Simba, lazima adhabu itolewe iwe Fundisho, kama kweli ratiba ilibadilishwa kwa sababu za itifaki ya kitabu kuwa kuna huduma zingine hii halikubaliki, kwani kabla ya hayo masaa 24 ratiba hiyo ya kiserekal ilikuwa haitambuliki?
Yani habari ya kitabu nimeanza kuisikua muda sana kabla hata wiki kabla ya mechi, huwezi umiza mashabiki na wapenzi wa mpira wakati ulikua unajua kuna mechi kubwa na unajua watu wako uwanjani timu kubwa wanasubiria mtanange, swali la kujiuliza ni je hili swala lililoamua mechi ipelekwe mbele ratiba ilikua haijulikani kabla ya masaa 24?
Yani habari ya kitabu nimeanza kuisikua muda sana kabla hata wiki kabla ya mechi, huwezi umiza mashabiki na wapenzi wa mpira wakati ulikua unajua kuna mechi kubwa na unajua watu wako uwanjani timu kubwa wanasubiria mtanange, swali la kujiuliza ni je hili swala lililoamua mechi ipelekwe mbele ratiba ilikua haijulikani kabla ya masaa 24?