Jana nilienda salon moja kusuka mitaa ya Sinza, nikakutana na dada anasimulia kwamba yeye huwa akitembea na mtu, hafuti namba yake, na yeye hawezi ku save number ya mtu ambaye hana interest naye za kingono. Nikashangaa sana.
Nilipofika home kwenye mastory na mzee, nikamwambia hiyo issue, kwani...